ISIS yatafuta kiki kupitia Uislam

ISIS yatafuta kiki kupitia Uislam

Ugaidi ni roho ya dhambi inayotafuta kuchukua roho za watu wasio na hatia. Ukiona una ndugu ana element za ugaidi toa ripoti polisi kwa kuwa ukikaa kimya anaweza kukuua wewe au ndugu zako wa karibu kwa kuwa yeye hupenda damu za watu zimwagike. Kushabikia ugaidi kwa kuufananisha na ujasiri ni upuuzi.

Gaidi ni muuaji toa taarifa za ugaidi kwenye jeshi la polisi.
 
.....acha kupotosha umma hao unaowataja ni wajinga tu kwanza hao dini yao haiendi kwa ilmu zaidi ya rai muislamu ni wajibu kwako kusoma dini ili uweze kutofautisha baina ya haqi na batwil!! Mkuu nitumie namba zako kwa pm nikutumie sauti za watu wenye elimu kubwa ya dini hasa masheikh wakisunni wakitahadharisha umma dhidi ya ugaidi
Binafsi nimekuelewa
 
wewe ni muongo, tunaishi na waislamu na wanashabikia wakristo kuuawa eti ni makafir, Kwa hiyo uislamu ni ugaidi kabisa, si ndo nyie mkiuwa kafir Kwa kujilipua mnaenda peponi na kupewa wabikra 72 na juice tamu?
Sasa kama akiua kafir (kama ulivyosema) Anakwenda peponi, akiua muislam mwenzie anaenda wapi?

Kaka ...
 
mtu kitu Jifunze basi hata kuandika vizuri,fungua akili uone mbali siyo kubaki gizani.
Mimi najifunza kila wakati ila kuna wengine wamefungwa na " dini " zao, na watu hao ndo hushabikia mauwaji ya wenzao, ila kila " dini " ina watu wabaya na wazuri, Mfano
1 - Israel ni wayahudi ( hawamtambui Yesu kama ni masihi, wanasema Yesu ni muongo n.k ). Wanawafanyia ukorofi wakristo na waislam.
2- nchi nyingi za kiarabu wanawanyanyasa watu wasio kabila Lao ( wao hawajali dini wala nini)
3- Mabuda kule Burma /Myanmar wanawatesa kabila la Rohingya kwa dini yao na uonekaji wao ni tofauti
Mifano ni mingi na yapo kweli haya mambo .
Ole wao wenye upofu na" dini" zao
 
Mtoa mada analeta habari ya MKAA SAFI,
hii haiwezekani na haiwezi kua.Mkaa hata ukiuita msafi nikujifurahisha tu lakini ukweli utabaki palepale kwamba huwezi cheza na mkaa ukatoka salama bila ya masizi.
 
Wanawalipua waislamu wenzao ambao hawana imani Kali kama mtoa mada..Isis ni wakatili dah..
 
Ndugu zangu, UKWELI ni kwamba UISLAMU SIO DINI KUTOKA MBINGUNI, BALI NI DINI KUTOKA MAHALA PA JUU PA DUNIA HII AMBAPO NI WATU WACHACHE SANA HUPATA NEEMA YA KUPAVUKA MAHALI HAPO.

MIMI NI MMOJA WAO.

UISLAMU = UKATORIKI

#NB, ndio maana huwezi kukuta waislamu wana swali kwa kuvukisha Mikono yao juu ya Dunia ( kuvuka kichwa )

bf55b9dba0f3696b05df85957863d2ef.jpg


1c8a1be0932afd07e9f516dde1444bab.jpg

48a1562aa263d14cb6ff32df4f36b226.jpg
 
mleta mada yuko sahihi na nikweli kabisaa hamna hata aya moja ktk qurani inayotaka watu wauane....na ukisoma vzr historia ya uislamu utagundua maswahaba wengi walikuwa wakiabudia miti na vitu vinginevyo sa lau kama mtume Angekuwa na msimamo kama wa isis wakuua kila asiyekuwa muislam je hao maswahaba Wangeingia vp ktk uislamu maana angewaua wotee!! dini ya uislamu inavyofahamika tofauti na ilivyo na mtu akitaka kuufaham uislam kwa elimu basi ni lzm akae chini asome mfano uislamu unazingatia haqi za jirani ambae si muislam tena haqi hizoo ametufundisha mtume sasa he lau kama mtume angekuwa muuaji kama Osama bin laden je hata hizo haqi za jirani asiye muislam angezifundisha? tafadhali ndugu zetu ktk utu na ubinadamu acheni dhana potofu dhidi ya uislamu!! uislamu haukubaliani kabisa na vitendo vya kigaidi


Wewe ujui unachoongea. Madina kulikuwa na koo nyingi za wayaudi. Alafu wakajua muhamad akija atawamaliza waka mualika na kujisalimisha. Ila muhamad alienda akawafanyia kitu mbaya zaidi ya watusi walichofanyiwa. Sasa jiulize kwanini hakuna wayaudi madina.
 
Katika Quran hakuna hicho ulichokieleza ila Quran inasema kwamba Atakaeua nafsi moja isiyo na hatia ni sawa na ameua ulimwengu mzima na atakayeiokoa nafsi moja ni sawa na ameuokoa ulimwengu mzima. Pia quran inasema kuwa tusiwacheke na kuwakejeli wanaoabudu wengine Zaidi ya Allah. sasa sijui hao wanaoua wapate mabikira 72 wanasoma Quran Gani ama wanafata muingozo gani,na nahisi hao unaowasikia wakikupa habari hizo ni wale waislam majina. kumbuka Kuitwa Rashid hakumfanyi mtu kuwa muislam. Shukran
Umejibu vizuri mkuu but ningeshukuru kama mngewasaidia hao wanaowaza ivo kwa imani hiyo na muwape hiyo quran mnayotumia angalau dunia ingetulia na hili janga maana nashangaa hata wale walioua kenya CCTV ilionyesha walikua wanasali baada ya mashambulio tena adhana ya saa moja usiku wameweka silaha pembeni kisa adhana inalia nilishindwa kulia au kucheka.
 
"ISIS sio waislam kwa sababu hakuna muislam mwenye akili timamu atakayeweza kwenda kulipua Madina" mwisho wa kunukuu.
Inaonyesha kua wanakua Waislamu wenye akili timamu wakishambulia sehemu nyingine ambazo mnaamini ni za makafiri na mnakuja na thread zenye kuwapongeza sana ila leo dogo kakojolea na kunyea godoro la nyumbani mmeamua kumkana.
 
Unajua Unaweza Kuwatetea Ila Kwa Matendo ya Waislamu Yanayofanywa Mfano Tu Zanzibar hapo Inaniwia Vigumu kusema Magaidi Si Waislamu
Mkuu RGforever, Zanzibar mbali sana, kumbuka sakata la kitoto la Mbagala. Watoto wadogo kubishana kulikaribia kusababisha maafa makubwa!
 
Asalam Aleikum..!

Nasikitika kusema kuwa watu wengi hawajajua kuwa waislam ndo target kubwa ya magaidi. ISIS sio waislam kwa sababu hakuna muislam mwenye akili timamu atakayeweza kwenda kulipua Madina. Hii inadhihirisha wazi kwamba ISIS, Al Qaeda na wengineo wako after something else na sio kwa ajili ya dini.

Uislam ni salama na umejitenga mbali na upuuzi unaofanyika kwa jina la Uislam. Kwa akili ya kawaida tujiulize kwanini hao wanaojiita waislam wanalipua ndani ya misikiti, wanaua katika miji ya waislam?

Ndugi zanguni nawaombeni tuuweke Uislam mbali na upuuzi huu na tuwaone hao magaidi ni wapuuzi wasio na akili ambao wanafurahia kumwaga damu za watu wasio na hatia. Angalieni kule Syria hao ISIS wakiteka mji wanaua wanaume wote na kuwateka wanawake na kuwafanya watumwa wa ngono.

Mimi ni muislam na kamwe siwez kuwasaport wala kuwafurahia magaidi kwa sababu dini yangu hairuhusu unyama unaofanywa na Magaidi.

Wasalam
Acha umbea una uhakika ni wao?
Huu muda unaoutumia ungekuwa unampikia futari ungepata thawabu nyingi, hebu nenda kapike futari huko.
 
Asalam Aleikum..!

Nasikitika kusema kuwa watu wengi hawajajua kuwa waislam ndo target kubwa ya magaidi. ISIS sio waislam kwa sababu hakuna muislam mwenye akili timamu atakayeweza kwenda kulipua Madina. Hii inadhihirisha wazi kwamba ISIS, Al Qaeda na wengineo wako after something else na sio kwa ajili ya dini.

Uislam ni salama na umejitenga mbali na upuuzi unaofanyika kwa jina la Uislam. Kwa akili ya kawaida tujiulize kwanini hao wanaojiita waislam wanalipua ndani ya misikiti, wanaua katika miji ya waislam?

Ndugi zanguni nawaombeni tuuweke Uislam mbali na upuuzi huu na tuwaone hao magaidi ni wapuuzi wasio na akili ambao wanafurahia kumwaga damu za watu wasio na hatia. Angalieni kule Syria hao ISIS wakiteka mji wanaua wanaume wote na kuwateka wanawake na kuwafanya watumwa wa ngono.

Mimi ni muislam na kamwe siwez kuwasaport wala kuwafurahia magaidi kwa sababu dini yangu hairuhusu unyama unaofanywa na Magaidi.

Wasalam
Acha unafiki wewe wale ndio wanafuata dini ya uislam na watampga yyte ambae anapnga au hatekelezi maandiko!!Eb kakisome kitabu chenu ukimalize ukielewe
AF uje kujibu haya
Kwanini hawataki kuigeuza quaran" kwa lugha za husika kama kiswahili au kingereza n.k ili kila MTU a some aielewe!!mnatetea eti utapunguza swawabu!!
2.Wazinzi wakikamatwa mwanamke inabidi apgwe mawe ,mbona hampgi
3. Wasio waamini uislam mnawaita kafiri,na kadiri yenu kafiri hatakiwi wala Hana haki ya kuishi
Wanachofanya IS wapo sawa kadiri ya maandiko yenu !!Huwez kuyapnga hayo makundi wakati dini yenu ndo inasema hivo!!
Kumbuka tu kilichotokea Kenya!! Wale wanatekeleza kilichoandkwa!!
 
wewe ni muongo, tunaishi na waislamu na wanashabikia wakristo kuuawa eti ni makafir, Kwa hiyo uislamu ni ugaidi kabisa, si ndo nyie mkiuwa kafir Kwa kujilipua mnaenda peponi na kupewa wabikra 72 na juice tamu?
uislam ni Amani best anayeshabikia mauaji mitaani kwenu chunguza vizuri utakuta ni member wa hao wauaji
 
Dini yako hairuhusu ila kwa mujibu wa dini yao isis imeruhusiwa kabisa kwenye kitabu chao kitakatibu ya kwamba jihad ni moja ya nguzo muhimu.
 
wewe ni muongo, tunaishi na waislamu na wanashabikia wakristo kuuawa eti ni makafir, Kwa hiyo uislamu ni ugaidi kabisa, si ndo nyie mkiuwa kafir Kwa kujilipua mnaenda peponi na kupewa wabikra 72 na juice tamu?

Acha unafiki wewe nani alikwambia kuwa ukimuua kafir unaenda peponi. Uache kufanya Ibada zako uwaze kuua watu wasio na hatia huo ndio ukafir wenyewe kama hujui.
 
Asalam Aleikum..!

Nasikitika kusema kuwa watu wengi hawajajua kuwa waislam ndo target kubwa ya magaidi. ISIS sio waislam kwa sababu hakuna muislam mwenye akili timamu atakayeweza kwenda kulipua Madina. Hii inadhihirisha wazi kwamba ISIS, Al Qaeda na wengineo wako after something else na sio kwa ajili ya dini.

Uislam ni salama na umejitenga mbali na upuuzi unaofanyika kwa jina la Uislam. Kwa akili ya kawaida tujiulize kwanini hao wanaojiita waislam wanalipua ndani ya misikiti, wanaua katika miji ya waislam?

Ndugi zanguni nawaombeni tuuweke Uislam mbali na upuuzi huu na tuwaone hao magaidi ni wapuuzi wasio na akili ambao wanafurahia kumwaga damu za watu wasio na hatia. Angalieni kule Syria hao ISIS wakiteka mji wanaua wanaume wote na kuwateka wanawake na kuwafanya watumwa wa ngono.

Mimi ni muislam na kamwe siwez kuwasaport wala kuwafurahia magaidi kwa sababu dini yangu hairuhusu unyama unaofanywa na Magaidi.

Wasalam
Ubarikiwe sana mkuu.
Umenena vizuri.
 
Wewe ujui unachoongea. Madina kulikuwa na koo nyingi za wayaudi. Alafu wakajua muhamad akija atawamaliza waka mualika na kujisalimisha. Ila muhamad alienda akawafanyia kitu mbaya zaidi ya watusi walichofanyiwa. Sasa jiulize kwanini hakuna wayaudi madina.
Aliwafanyia nini? Weka na rejea tujifunze kuongeza maarifa. Ahsante.

Kaka ...
 
Acha unafiki wewe wale ndio wanafuata dini ya uislam na watampga yyte ambae anapnga au hatekelezi maandiko!!Eb kakisome kitabu chenu ukimalize ukielewe
AF uje kujibu haya
Kwanini hawataki kuigeuza quaran" kwa lugha za husika kama kiswahili au kingereza n.k ili kila MTU a some aielewe!!mnatetea eti utapunguza swawabu!!
2.Wazinzi wakikamatwa mwanamke inabidi apgwe mawe ,mbona hampgi
3. Wasio waamini uislam mnawaita kafiri,na kadiri yenu kafiri hatakiwi wala Hana haki ya kuishi
Wanachofanya IS wapo sawa kadiri ya maandiko yenu !!Huwez kuyapnga hayo makundi wakati dini yenu ndo inasema hivo!!
Kumbuka tu kilichotokea Kenya!! Wale wanatekeleza kilichoandkwa!!
Quran Za kiswahili zipo kama hijaziona pole. Naomba uniambie ama unukuu katika quran sehem ilosema kuwa Kafiri hastaili kuishi.!
 
Back
Top Bottom