Is this the end of CHADEMA?

Is this the end of CHADEMA?

Status
Not open for further replies.
Haya ona sasa,
Kila mtu akiwakosoa katumwa na Zito
Mie ni chilisosi na situmwi, I am my own boss
By the way mie natuma situmwi

Chilisosi,

Huna hoja mheshimiwa.
Sijali umetumwa au huwa unatuma lakini kwa hoja hii wewe UNATUMIKA!
Hakuna chama cha siasa chochote ambacho kitakosa migongano ya hapa na pale unless hicho chama kimekufa kwa maana ya non-exisiting.

Ujue kuwa any active political party lazima kiwe na migogoro. Chukulia mfano tu wa chama chako cha Magamba-CCM. Kwa taarifa yako CCM ndicho kina michafuko na mitafaruku kibao. Mwenyekiti wenu aliwahi kusema kwamba kwa sasa CCM ilipofikia mtu hawezi kuacha glasi ya maji au kinywaji kwenye meza aliyokaa na wana-CCM wenzake!!!!Yote hiyo ni shida ya Ufisadi na tamaa ya madaraka nadni ya Chama cha Magamba.

Waulize kina Lowassa,Sammy Sitta,Harrison Mwakyembe na John Pombe Magufuli kwa walio hai na pia uulizie habari za kina Marehemu Horace Kolimba,Amina Chifupa,Edward Moringe Sokoine na wengi wengineo waliofia ndani ya CCM kwa kutaka mabadiliko ya haki.

Kwa taarifa yako migogoro iliyoko ndani ya CHADEMA ni nafuu zaidi ya mara mia ya migogoro iliyoko ndani ya CCM.
 
Teher is no doubt chadema inakufa. Vijana wametueleza mengi kuhusu ubaguzi wa ukabila unaoendelea humo. Mwenyekiti wa chadema freeman mbowe, mwenyekiti wa jumuiya ya wanawake wa chadema suzan lyimo katibu wa vijana wa chadema dogratias mushi na john mrema woote wameapa kulinda post zao. Vijana wanasema wafanye maamuzi magumu kukinusuru chama na kuandamwa na ukabila ambao unaonekana waziwazi kwa nafasi zote tamu tamu mpaka wahasibu?? Ni

chadema hakina uwezo wa kuwayumbisha hawa vijana kinaowatisha kuwafukuza na wengine kutishiwa maisha. Kosa la zitto watanzania hawajaliona. Shida ni slaa kuwatumia bavicha kujihakikishia kugombea urais bila kujali demokrasia. Masikini sasa hii ndiyo movement for change waliokuwa wakiililia
 
Yes indeed,
Jua ndio linatua na mbwa mwitu (chadema) hajakamata mlo hivyo inabidi waanze kutafunanana wenyewe kwa wenyewe, atakaeonekana mwoga tu anarukiwa na kufanywa dinner. tayari leo wameishatolewa kafara watatu bado zitto sema wanamuogopa tu lakini he is next na baada ya hapo Chadomo itakuwa history
 
kama ilivyokuwa kwa nccr mageuzi baada ya uchaguzi wa 1995 chama kinachojiita cha demokrasia chadema kimekumbwa na migogoro isiyokwisha
kila kukicha hapa utasikia ngumi zimezuka kona fulani
mara ooh saa nane kamuanika zito
mara ooh zito msaliti
mara ooh sshibuda anadhamini wasaliti
mara ooih ccm wanaingiza mapandikizi,
mara ooh juliana kafanya vilee
mara ooh sijui nani kafanya vile, yaani imekuwa kero sasa kwani kila siku sasa ukiingia jamii forums au kusoma magazeti hukosi vichwa vya habari vya chadema wakinyoosheana vidole na kutimuana kama kuku bila kufuata katiba wanayodai kuwa ndiyo ya kidemokrasia.
Hiki chama mie nimeanza kukitilia mashaka kuwa kinaweza kuja kuleta maafa kwa nchi yetu kwani wao hawahubiri amani bali wanaeneza machafuko kama vile uamsho tu hakuna tofauti yoyote.
Hebu fikiria suala la gesi watu na akili zao wanashinikiza maandamano gesi ibakli mtwara. Haya yangesemwa huko zenji ingekuwa balaa hapa. Huu si uchonganishi huu, unaposhinikiza hayo maandamano hujui sie wahehe, wanyakyusa, wakurya, waha, wafipa, wahaya, wachaga nk pia tunahitaji kuona faida ya hiyo gesi.
Uliwahisikia wasukuma wakiandamana kudai mapato ya dhahabu na almasi au minofu yawe kwa ajili ya mwanza tu?
Au uliwahi sikia umeme unaotengenezwa mtera wahehe na wagogo wakasema ubaki iringa na dodoma tu taifa libaki kiza?
What about gesi itakayopatikana lake rukwa? Lake tanganyika? Selous?
Chadema mie kwa sasa nawafananisha na kundi la mbwa mwitu waliokosa mawindo kwani wana hasira kali na matokeo yake wamepoteza muelekeo wanaanza kuumana wenyewe kwa wenyewe
1.1276530557.wild-dogs-fighting.jpg


ptuuuuuuh,,
hii haja kubwa uliyoidondosha hapa ina harufu mbaya sana,hebu kuja haraka sana uizoe na kuipeleka mahala stahiki,ona inzi wa chooni wanavoizengea zengea kwanza..
 
Teher is no doubt chadema inakufa. Vijana wametueleza mengi kuhusu ubaguzi wa ukabila unaoendelea humo. Mwenyekiti wa chadema freeman mbowe, mwenyekiti wa jumuiya ya wanawake wa chadema suzan lyimo katibu wa vijana wa chadema dogratias mushi na john mrema woote wameapa kulinda post zao. Vijana wanasema wafanye maamuzi magumu kukinusuru chama na kuandamwa na ukabila ambao unaonekana waziwazi kwa nafasi zote tamu tamu mpaka wahasibu?? Ni

chadema hakina uwezo wa kuwayumbisha hawa vijana kinaowatisha kuwafukuza na wengine kutishiwa maisha. Kosa la zitto watanzania hawajaliona. Shida ni slaa kuwatumia bavicha kujihakikishia kugombea urais bila kujali demokrasia. Masikini sasa hii ndiyo movement for change waliokuwa wakiililia

Tatizo ccm wanamuogopa dr slaa.
 
mbona hajasema migogoro iliyomo CCM. kwa hiyo nayo yaelekea kufa?
 
- Chadema wamekuwa wakifanya kosa moja kubwa sana na kwa muda mrefu sana, kuzuia challenge from within the party, ambayo kwa maana nyingine ni kuficha ugonjwa sasa wanafichuliwa na maradhi, hawatakufa kama chama hapana isipokuwa wataishia kuwa na vyama viwili baada ya 2015, kwa sababu hawatashinda Urais na watapoteza viti vingi sana vya ubunge,

- Ndani ya Chadema kuna udikteta sana tena wa kutisha sana, nimewasikia mara nyingi sana wale walio ndani ya Chadema wakilalamika kwa siri, na siku zote wana walalamikia Slaa na Mkewe sana, wengi wao wanamuogopa sana Mbowe, so ndani ya Chadema kuna Kundi la Slaa, Mbowe na Zitto, Kundi lenye matatizo makubwa nia la Slaa kwa sababu halipendwi na wengi walio ndani ya Chadema, lakini linakubalika sana na walio nje ya Chadema na hasa wasio wanachama, halafu Chadema inajiumiza sana mara kwa mara inapotegemea sana ideas za hapa JF, makundi ya Zitto na Mbowe hayako mbali sana kiitikadi na yanaweza kuelewana, lakini la Slaa haliwezi kuelewana na yoyote hapa ni lazima kila mmoja awasikilize wao.

- Ujumbe wangu kwa Chadema ni kwamba kama kweli mnataka kusimama na kuwa one thing kabla ya cuhaguzi ujao ni lazima sasa hivi huko kwenu ufanyike uchaguzi wa kihalali tu, ndio kitakachowafikisha 2015 mkiwa na nguvu japo kidogo, otherwise huu mzimu unaowatesa sasa hivi hauondoki soon, na ninaomba kuwakumbusha CCM kwamba sio our interest Chadema kuvunjika sasa hivi kama kuvunjika wavunjike baada ya uchaguzi wa 2015, so ni muhimu sana tukawasaidia wasivunjike.

KIDUMU CCM!!

LE MUTUZ



leo sio interest yako cdm kuvunjika? Acha unafik mzee. Sijaona kicheko chako leo, au ndo wkt wa kuomboleza?
 
Mkuu nikusahihishe jambo hapo tafadhali
Chadema hakuna uchaguzi wa haki au halali, huo ushauri utakufanya utukanwe hapa,
Hawa jamaa wanaongozwa kidikteta lakini kwa sababu wanawategemea sana wanaowaongoza hawawezi kukemea kitu
Hebu angalia wanavyovunja katiba yao yenyewe, hawa kweli ndio wataweza kuiongoza nchi kwa staili hii?
Wao wakiona chopa limepita hewani tuu basi wameridhika ndio maana kuna kipindi niliwawekea picha ya chopa hapa walinigongea like 1000 within ten minutes hahahah LOL!



" Hebu angalia wanavyovunja katiba yao
yenyewe, hawa kweli ndio wataweza
kuiongoza nchi kwa staili hii?"

utahama nchi na huyo mzee mwenzio km hutoafikiana na uongoz wa cdm. Alekwambia twarizika na uongoz wenu ni nan?
 
Hata fisi siku zote huwa anadhani mkono wa binadam,umekaribia kudondoka kwa sababu unaning'inia,matokeo yake miaka inakatika na mkono uko palepale.
 
Mume uliyemkimbia anakuhusu nini tena jamani?i knew it sooner or later you will start this.............
 
Hivi siamini kama kuna watu wapo serious au ndio propaganda. Hivi yale makundi ya ccm na ule ufisadi na rushwa, chuki na uzandiki wa ccm hauonekani? Ila najua wengi mnashadadia migogoro isiishe cdm ili chama kidondoke. Hilo mtasubiri sana aisee.
Najua hapo kiroho kinawauma kama vile walivyopigwa chini wale madiwan wa Arusha. Ila Cdm ni mpango mwingine haiwezi kutatua matatizo yake kwa kufuata mnavyofanya nyie mafisadi mnaolindana.
 
Nazani ungeweka hii picha tungekuelewa vizuri zaidi kuliko ya hao mbwa manake umetufanya wengine tucheke sana
200513Thairath.jpg
 
Sijui ni lini nitajua tofauti kati ya
Chilisosi na Chris Lukosi

Kama ilivyokuwa kwa NCCR mageuzi baada ya uchaguzi wa 1995 chama kinachojiita cha demokrasia chadema kimekumbwa na migogoro isiyokwisha
Kila kukicha hapa utasikia ngumi zimezuka kona fulani
Mara ooh Saa nane kamuanika Zito
Mara ooh Zito msaliti
Mara ooh Sshibuda anadhamini wasaliti
Mara ooih CCM wanaingiza mapandikizi,
Mara ooh juliana kafanya vilee
Mara ooh sijui nani kafanya vile, yaani imekuwa kero sasa kwani kila siku sasa ukiingia jamii forums au kusoma magazeti hukosi vichwa vya habari vya chadema wakinyoosheana vidole na kutimuana kama kuku bila kufuata katiba wanayodai kuwa ndiyo ya kidemokrasia.
Hiki chama mie nimeanza kukitilia mashaka kuwa kinaweza kuja kuleta maafa kwa nchi yetu kwani wao hawahubiri amani bali wanaeneza machafuko kama vile uamsho tu hakuna tofauti yoyote.
Hebu fikiria suala la gesi watu na akili zao wanashinikiza maandamano gesi ibakli mtwara. haya yangesemwa huko zenji ingekuwa balaa hapa. huu si uchonganishi huu, unaposhinikiza hayo maandamano hujui sie wahehe, wanyakyusa, wakurya, waha, wafipa, wahaya, wachaga nk pia tunahitaji kuona faida ya hiyo gesi.
Uliwahisikia wasukuma wakiandamana kudai mapato ya dhahabu na almasi au minofu yawe kwa ajili ya mwanza tu?
Au uliwahi sikia umeme unaotengenezwa mtera wahehe na wagogo wakasema ubaki iringa na dodoma tu taifa libaki kiza?
What about gesi itakayopatikana lake rukwa? lake tanganyika? selous?
Chadema mie kwa sasa nawafananisha na Kundi la mbwa mwitu waliokosa mawindo kwani wana hasira kali na matokeo yake wamepoteza muelekeo wanaanza kuumana wenyewe kwa wenyewe
1.1276530557.wild-dogs-fighting.jpg
 
Last edited by a moderator:
Punde Halima Mdee na Josephina utasikia wametupiana maneno.Sasa havi katiba hawaifuati hati bavicha wanamfuka mtu uanachama.Chezea mtumwa Heche
Ficha upumbavu wako, usifiche hekima yako. Hapa Halima na Josephine wameingiaje? Mtumwa ni wewe unaekubali kutumiwa!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom