Is this the end of CHADEMA?

Is this the end of CHADEMA?

Status
Not open for further replies.
Kma ilivyokuwa kwa NCCR mageuzi baada ya uchaguzi wa 1995 chama kinachojiita cha demokrasia chadema kimekumbwa na migogoro isiyokwisha
KJila kukicha hapa utasikia ngumi zimezuka kona fulani
Mmara ooh Saa nane kamuanika Zito
Mara ooh Zito msaliti
Mara ooh Sshibuda anadhamini wasaliti
Mara ooih CCM wanaingiza mapandikizi,
Mara ooh juliana kafanya vilee
Mara ooh sijui nani kafanya vile, yaani imekuwa kero sasa kwani kila siku sasa ukiingia jamii forums au kusoma magazeti hukosi vichwa vya habari vya chadema wakinyoosheana vidole na kutimuana kama kuku bila kufuata katiba wanayodai kuwa ndiyo ya kidemokrasia.
Hiki chama mie nimeanza kukitilia mashaka kuwa kinaweza kuja kuleta maafa kwa nchi yetu kwani wao hawahubiri amani bali wanaeneza machafuko kama vile uamsho tu hakuna tofauti yoyote.
Hebu fikiria suala la gesi watu na akili zao wanashinikiza maandamano gesi ibakli mtwara. haya yangesemwa huko zenji ingekuwa balaa hapa. huu si uchonganishi huu, unaposhinikiza hayo maandamano hujui sie wahehe, wanyakyusa, wakurya, waha, wafipa, wahaya, wachaga nk pia tunahitaji kuona faida ya hiyo gesi.
Uliwahisikia wasukuma wakiandamana kudai mapato ya dhahabu na almasi au minofu yawe kwa ajili ya mwanza tu?
Au uliwahi sikia umeme unaotengenezwa mtera wahehe na wagogo wakasema ubaki iringa na dodoma tu taifa libaki kiza?
What about gesi itakayopatikana lake rukwa? lake tanganyika? selous?
Chadema mie kwa sasa nawafananisha na Kundi la mbwa mwitu waliokosa mawindo kwani wana hasira kali na matokeo yake wamepoteza muelekeo wanaanza kuumana wenyewe kwa wenyewe
1.1276530557.wild-dogs-fighting.jpg
Mungu bwana wa majeshi na aufenye uwe ndio mwisho wako kwa usaliti unaowafanyia wanyonge wasiojua kujitetea.
 
Punde Halima Mdee na Josephina utasikia wametupiana maneno.Sasa havi katiba hawaifuati hati bavicha wanamfuka mtu uanachama.Chezea mtumwa Heche
 
Mkuu suala la gas tuachie sisi wana Mtwara tupambane nalo, wala usiwasingizie Chadema, sisi tunasema 'Gas kwanza vyama baadae' kama mmeshachukua ten percent ya ujenzi wa bomba imekula kwenu, maana naona mnahangaika kweli.
 
Mkubwa,,, TUKUTUKU;; Mi kwa mtazomo wangu huyu hajui asemalo................sijui anafikiri raia wako karne ile ajuayo Mi nahisi atakuwa anapewa cha bure leo weekend na mafisadi............atashangaa na roho yake 2015,,,,,!!!


Mkuu Chilisosi kwa kuweka picha hii ulikuwa unakusudia kutuma ujumbe gani?
 
Last edited by a moderator:
Yeah, Mtumwa si wa kuchezea. Nasikia kashasema kuwa hata wewe lazima akufukuze JF.

Muone ulivyokomaa hadi unasikia maumivu.... Sasa Josephine na Halima Mdee wanaingia hapa?
Punde Halima Mdee na Josephina utasikia wametupiana maneno.Sasa havi katiba hawaifuati hati bavicha wanamfuka mtu uanachama.Chezea mtumwa Heche
 
Chilisosi,

Ni chama kipi hakina misuguano? Hata hapo kwa Malkia, ni chama kipi hakina misugano?

Kwenye hili la gesi na watu wa Mtwara, can you tell me ni kwanini unadhani wahusika ni CHADEMA na sio watu wa vyama vingine au wananachi wenyewe wa Mtwara? Umepata nakala ya statement ya Prof Lipumba (CHADEMA?). Na ni nani anayesema kuwa wananchi wa Mtwara hawana utashi au uwezo wa kudai kile wanachamini ni haki yao? Haya si madharau kwa watu wa Mtwara?

Pia ingekuwa vema kama ungesoma madai wa watu wa Mtwara vizuri. Ni tofauti na ulichoandika. Pengine nikuulize, kuna ubaya gani kama Mtwara ingefanywa centre ya Oil & Gas? Kwanini tunalundika kila kitu Dar? Hata kiusalama si jambo zuri kuweka kila kitu sehemu moja!

NB: Zanzibar walishasema siku nyingi, rasilimali zinapatakana kwao i.e oil, ni zao. Adjust your engine search!
 
Is that what you wish or it is your nothing sweet dream?

CDM ilishatokea fight kama ccm hadi wanashikiana bastola?

Are you not ashamed of finger pointing CDM for such minor issues ambazo kama zina athari yoyote ni kuimarisha uwezo wa CDM katika kumanage complicated matters ingawa CDM haina somo katika hilo?

At times muwe mnaona haya japo kidogo!
 
Mkubwa,,, TUKUTUKU;; Mi kwa mtazomo wangu huyu hajui asemalo................sijui anafikiri raia wako karne ile ajuayo Mi nahisi atakuwa anapewa cha bure leo weekend na mafisadi............atashangaa na roho yake 2015,,,,,!!!
Mkuu LiverpoolFC Sisi tumejipanga vizuri,propaganda zao haziwezi kudhoofisha chama chetu!
 
Last edited by a moderator:
ni kawaida mbwa mwitu wakikosa mawindo huanza kung'atana wenewe kwa wenyewe

Sawa mkuu Chilisosi,lakini haina uhusiana na mambo ya chadema,labda picha iliangukia kwa bahati mbaya!
 
Last edited by a moderator:
Watanzania bana,

Yaani wewe kwenye jambo la muhimu kama hili la watu kupoteza ajira zao na chama kuonekana kwenye kioo cha watanzania kikiwa mitazamo tofauti tofauti unaleta utani wa mbwa mwitu.

Hata kusikitika nimeshindwa na nimeishia kucheka kutokana na picha ya hao mbwa mwitu.

Watanzania kweli tuna vituko. we are not serious.
 
What is your point? Je wewe unasemaje? Je CDM inaweza kuisha kwa hisia za watu? Je umetumwa na Zitto au umejituma? Hizo ohoo ulizikia lini na wapi? What next then and there? Je nayo matusi na mifananisho ya ajabu ni sehemu ya sera zenu? Je fisi anaweza kumcheka fisi mwenzake?

Huyu bwana mi namsupport kwa % 100 hata mimi nimepata wasiwasi huo kwa chama changu, kweli kila siku maandamano tu, hamna njia nyingine ya kutatua matatizo/kudai haki zaidi ya maandamano? Pili: Mbona shu2ma ndani ya cdm @ siku? Mara oh huyu mara huyu why why why?

La mwisho, tuache ushabiki mtu humu akipost ukweli kuhusu chadema, anatukanwa na kukashifiwa why why kwani sisi wanainchi tuliojenga imani ya dhati na chadema hatuna haki ya kutoa maoni pale tùnapoona chama kimepotea/kinapotea hauna haki yakutoa maoni yetu. Watu humu mmekaa kuponda ponda 2 kila m2 anapotoa maoni yake kuhusu chadema anavyoiona?? Why why?
 
Life without challenges is like trying to fly without considering the effect of gravitational force... lazima haya yote yaikumbe chadema ili kweli kiwe chama cha kutumainiwa na kutegemewa na watanzania wote kwa kusolve changamoto zinazokuja mbele yake kila kukicha
 
Kama ilivyokuwa kwa NCCR mageuzi baada ya uchaguzi wa 1995 chama kinachojiita cha demokrasia chadema kimekumbwa na migogoro isiyokwisha
Kila kukicha hapa utasikia ngumi zimezuka kona fulani
Mara ooh Saa nane kamuanika Zito
Mara ooh Zito msaliti
Mara ooh Sshibuda anadhamini wasaliti
Mara ooih CCM wanaingiza mapandikizi,
Mara ooh juliana kafanya vilee
Mara ooh sijui nani kafanya vile, yaani imekuwa kero sasa kwani kila siku sasa ukiingia jamii forums au kusoma magazeti hukosi vichwa vya habari vya chadema wakinyoosheana vidole na kutimuana kama kuku bila kufuata katiba wanayodai kuwa ndiyo ya kidemokrasia.
Hiki chama mie nimeanza kukitilia mashaka kuwa kinaweza kuja kuleta maafa kwa nchi yetu kwani wao hawahubiri amani bali wanaeneza machafuko kama vile uamsho tu hakuna tofauti yoyote.
Hebu fikiria suala la gesi watu na akili zao wanashinikiza maandamano gesi ibakli mtwara. haya yangesemwa huko zenji ingekuwa balaa hapa. huu si uchonganishi huu, unaposhinikiza hayo maandamano hujui sie wahehe, wanyakyusa, wakurya, waha, wafipa, wahaya, wachaga nk pia tunahitaji kuona faida ya hiyo gesi.
Uliwahisikia wasukuma wakiandamana kudai mapato ya dhahabu na almasi au minofu yawe kwa ajili ya mwanza tu?
Au uliwahi sikia umeme unaotengenezwa mtera wahehe na wagogo wakasema ubaki iringa na dodoma tu taifa libaki kiza?
What about gesi itakayopatikana lake rukwa? lake tanganyika? selous?
Chadema mie kwa sasa nawafananisha na Kundi la mbwa mwitu waliokosa mawindo kwani wana hasira kali na matokeo yake wamepoteza muelekeo wanaanza kuumana wenyewe kwa wenyewe
1.1276530557.wild-dogs-fighting.jpg

Dua la kuku halimpati mwewe.
 
Dah ! ndugu Chilisosi hata kama ulikuwa na ugomvi na CDM , LAKINI bado hauna haki ya kuwahusisha na Gesi ya Mtwara , maana yake ni sawa na kusema kwamba watu wa Mtwara hawajitambui ! kitu ambacho si cha kweli ! Kitendo cha kuwafananisha CDM na Mbwa yeyote hata kama ni wa kufugwa kimenifanya niutilie mashaka uwezo wako wa kufikiri .
 
Kama ilivyokuwa kwa NCCR mageuzi baada ya uchaguzi wa 1995 chama kinachojiita cha demokrasia chadema kimekumbwa na migogoro isiyokwisha
Kila kukicha hapa utasikia ngumi zimezuka kona fulani
Mara ooh Saa nane kamuanika Zito
Mara ooh Zito msaliti
Mara ooh Sshibuda anadhamini wasaliti
Mara ooih CCM wanaingiza mapandikizi,
Mara ooh juliana kafanya vilee
Mara ooh sijui nani kafanya vile, yaani imekuwa kero sasa kwani kila siku sasa ukiingia jamii forums au kusoma magazeti hukosi vichwa vya habari vya chadema wakinyoosheana vidole na kutimuana kama kuku bila kufuata katiba wanayodai kuwa ndiyo ya kidemokrasia.
Hiki chama mie nimeanza kukitilia mashaka kuwa kinaweza kuja kuleta maafa kwa nchi yetu kwani wao hawahubiri amani bali wanaeneza machafuko kama vile uamsho tu hakuna tofauti yoyote.
Hebu fikiria suala la gesi watu na akili zao wanashinikiza maandamano gesi ibakli mtwara. haya yangesemwa huko zenji ingekuwa balaa hapa. huu si uchonganishi huu, unaposhinikiza hayo maandamano hujui sie wahehe, wanyakyusa, wakurya, waha, wafipa, wahaya, wachaga nk pia tunahitaji kuona faida ya hiyo gesi.
Uliwahisikia wasukuma wakiandamana kudai mapato ya dhahabu na almasi au minofu yawe kwa ajili ya mwanza tu?
Au uliwahi sikia umeme unaotengenezwa mtera wahehe na wagogo wakasema ubaki iringa na dodoma tu taifa libaki kiza?
What about gesi itakayopatikana lake rukwa? lake tanganyika? selous?
Chadema mie kwa sasa nawafananisha na Kundi la mbwa mwitu waliokosa mawindo kwani wana hasira kali na matokeo yake wamepoteza muelekeo wanaanza kuumana wenyewe kwa wenyewe
1.1276530557.wild-dogs-fighting.jpg

BWANA CHRIS MKOSI YUKO SAHAHIHI KABISA EBU CHUNGULIA HII

Hali CCM Dar si shwari


na Abdallah Khamis




UONGOZI wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, unalalamikiwa na baadhi ya wanachama wake na viongozi kwa madai ya kutoa nafasi za uongozi kwa baadhi ya watu kwa ajili ya kulipa fadhila.

Wakielezea mchakato mzima wa jinsi baadhi ya viongozi walivyoingizwa katika moja ya kamati, baadhi ya viongozi wa CCM kutoka wilaya ya Ilala na Kinondoni (majina yanahifadhiwa), walisema hivi karibuni kamati ya siasa mkoa ilikutana kwa ajili ya kufanya uchaguzi wa kuwapata viongozi wa kamati.

Walisema uchaguzi huo uliwashirikisha wagombea 17 badala ya 15 kama sheria inavyotamka kuwa jina moja ligombewe na watu watatu.

“Wagombea waliokuwa wanatakiwa ni watano, hivyo walitakiwa wawe 15 badala ya 17 na hii ilifanyika kwa baraka za mwenyekiti wa chama mkoa lengo likiwa ni kuhakikisha wanawapata wale waliowakusudiwa,” alisema mmoja wa viongozi hao.

Aliongeza kuwa hata baada ya kuruhusu wagombea wote wapigiwe kura, mwenyekiti na msimamizi wa uchaguzi walikataa kuwaruhusu wagombea wakashuhudie zoezi la kuhesabu kura kwa maelezo kuwa eneo la kuhesabia ni dogo, hivyo wasubiri watafahamishwa majina ya washindi.

Kiongozi huyo alisema katika utaratibu wa kawaida wagombea walitakiwa wakasimamie uhesabuji wa kura zilizopigwa na kueleza kama Mwenyekititi wa CCM Mkoa, Ramadhan Madabida, alivyowaeleza kuwa alitumia busara kuruhusu majina yote kurudi basi angeendeleza busara hiyo hiyo kuhakikisha wagombea wanahesabu kura zao.

Alisema kuwa katika uchaguzi huo Ilala iliwakilishwa na wagombea watano, Temeke sita na Kinondoni sita ambapo Kinondoni kulikuwa na watu wanaoingia moja kwa moja kutokana na nafasi zao.

“Hatukatai kwa wale waliokuwa wanaingia moja kwa moja kwa mujibu wa nafasi zao ila kilichotushangaza ni busara ya mwenyekiti kuruhusu majina yote kurudi na kisha kuwakataza wagombea wasisimamie kura zao,” alisema mjumbe mwingine kutoka Ilala.

Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhan Madabida, alipotakiwa kutolea ufafanuzi madai hayo alisema masuala hayo hayamhusu mwandishi wa habari hizi kwa kuwa si mwanachama wa chama hicho.

“Wewe mpaka umekuja kuniuliza utakuwa umeshapanga cha kuandika na ninajua mnatumiwa juu ya suala hili, nami siwezi kusema kama ndiyo au hapana wewe kaandike unavyojua,” alisema Madabida.
 
CCM watwangana Dar


na Irene Mark




WAFUASI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Jangwani jijini Dar es Salaam, jana walitwangana makonde na hivyo kusababisha kuvunjika kwa uchaguzi wa Jumuiya ya Wazazi wa kata hiyo.

Vurugu hizo zilifanyika mbele ya Katibu wa Jumuiya ya Wazazi Wilaya ya Ilala baada ya wafuasi wa kundi linalodaiwa kuwa chini ya aliyekuwa diwani wa kata hiyo, Abuu Jumaa, kuvamia chumba cha mkutano.

Hii si mara ya kwanza kwa chaguzi za kata hiyo kuvurugika ambapo kwa zaidi ya miezi saba sasa hakuna uongozi kutokana na vurugu zinazoongozwa na makundi mawili mahasimu wa kisiasa.

Katika uchaguzi wa jumuiya hiyo, wagombea wa uenyekiti ni Gungu Tambaza na Malipula Mohamed ambao wote na makundi yao nao waliathirika kwa vurugu hizo.

Wakizungumza na Tanzania Daima kwa nyakati tofauti, baadhi ya makada wa chama hicho walihoji sababu za Jumaa na familia yake kuingilia chaguzi za kata hiyo.

Kwa mujibu wa wana CCM hao, vurugu hizo zimefanyika mbele ya Katibu wa Fedha na Uchumi Mkoa wa Pwani ambaye ni mtoto wa Jumaa aitwaye Haji.

Pamoja na mtoto huyo, alikuwepo pia Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Wilaya ya Kibaha Vijijini ambaye ni mke wa Jumaa.

"Sababu kubwa ya hiyo familia ya mzee Jumaa kujiingiza kwenye vurugu za Jangwani ni kuwa, wanataka kuweka watu wao ili iwe rahisi kwa mzee wao kurudi kwenye udiwani," alisema mmoja wa makada.

Hata hivyo baada ya vurugu hizo, wapambe wa Jumaa walikwenda kutoa taarifa kwenye Kituo cha Polisi Msimbazi ili wapate fomu ya matibabu kutokana na majeraha yaliyosababishwa na vurugu hizo.

Hadi sasa Jangwani ni kata pekee ya chama hicho tawala Tanzania nzima ambayo haijafanya uchaguzi wa viongozi wa jumuiya na kata wakati mwenyekiti wao wa taifa, Jakaya Kikwete, alihitimisha chaguzi za chama hicho Novemba mwaka jana akiwataka wafuasi wao kuvunja makundi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom