Hata ingekua weweMpunga wote huo haiwezekan ukasalimshwa kama ulivyo aisee kwa mshahara gan hasa wanaolipwa
Hata ingekua wewe..!Hata kama walikamata zote polisi wasingeweza kurudusha zote piga ua, sio hawa polisi wetu!
Bullet proofToyota Harrier ya million 72, ikoje hiyo??.
Unarudi kufanya nini?Hawa jamaa wameiba pesa, bila yakujipanga! Unaweza vipi kuiba pesa ndefu kama hii,na bado ukawa upo Tanzania unashangaa mataa??
Yaani nipige pesa kama hii,napotea kabisa Tanzania,narudi baada ya miaka kadhaaa
Tako la nyaniUtakua unaishi kijijini na huna elimu, thamani ya gari huendana na mwaka uliotengenezwa(model)
Harrier zipo za mil 15, 25, 40, 70, 80 , 120, 150, 170
Ni wewe tu unataka ipi.
Bei ya harrier ya 2020 unataka ifanane na harrier ya 2006 mnayoiita tako la nyani?
Hiyo harrier ipo hapo chini unahisi ni sh.ngap?
View attachment 2116185
Hizo pesa wezi walizitoa kutoka mfumo wa electronic kuwa cash. Wakanunua magari na vingine na kuficha mahali tofauti hivyo usishangae maana electronic bila kubadilisha kuwa hard cash wasingeweza kuzitumia.Zilizopatikana ni hizo mil 900 Na ushehehe. Je hizo ambazo polisi wamepiga wao na kugawana Mbona hazijatajwa.
Dili kama hizo polisi Huwa wanapiga mpunga mrefu kuanzia Boss wao Na vijana waliozamu.
Ila Tz ni nchi ya hovyo sana, Polisi wanazunguka na mpunga wote huo ili iweje ? Kama huo mpunga ulikuwa kwenye Electronic na mifumo, inamaana polisi wameenda kutoa Benk Na kutembea nazo au ...,; maelezo hayajakamilika na usikute huu nao ni uongo wa polisi kujifanya wanaokoa mali kumbe ni janja janja.... hakuna kitu kama hicho .
Polisi Watoe kWanza maelezo.... wizi umefanyika kupitia electronic, wao Hayo makeshi wametoa wapi ?
Harrier 72M
Mpila wa kibabe huoNimeshangaa sana
Bora umesaidia wasiojua na wakacomment wakijidai wanajua😢. Sijui kwanini watu wengi hawapendi kujifunza na badala yaje wanakinbia kubeza bila kujua kuwa wao ndio hawajui😃🤔Kwani bei ya hii Harrier hapa chini huwa ni kiasi gani?
Hapo sijui na wao wamechukua kiasi gani? Unaambiwa Harrier milioni 72.Wasiwaue tu
Bora umesaidia wasiojua na wakacomment wakijidai wanajua😢. Sijui kwanini watu wengi hawapendi kujifunza na badala yaje wanakinbia kubeza bila kujua kuwa wao ndio hawajui😃🤔
Wapuuzi hao wanaibaje hela kizembe hivyo? Si wangeniambia niwape njia iliyo nyooka wangepiga pesa washangae
Hebu tuambie hiyo njia sisi hapa mkuu...
Hizo pesa wezi walizitoa kutoka mfumo wa electronic kuwa cash. Wakanunua magari na vingine na kuficha mahali tofauti hivyo usishangae maana electronic bila kubadilisha kuwa hard cash wasingeweza kuzitumia.
lingefaa kuandikwa kizungu