Iringa (V) Kama Hii ni Kweli Basi Kazi Ipo

Faana

JF-Expert Member
Dec 12, 2011
31,824
33,209
Nilikuwa nawasikiliza wazee fulani kwenye mjadala wao hapa mijini, wanashangaa maamuzi ya kujenga ofisi za Halimashauri ya Iringa Vijijini huko Ihemi, yaani kilomita 155 toka Mtera na kilometa 130 kutoka Ruaha Mbuyuni, ikimaanisha wananchi kutoka maeneo hayo mawili Mtera na Ruahambuyuni watasafiri mpaka Igumbilo, kisha wapande mabasi kwenda Ihemi, na wale wa Mtera watapanda bus kwa utaratibu huohuo kitu ambacho siyo rafiki kwa muda hata uchumi

Screenshot_20211123-190721_Samsung Internet.jpg
 
Nilikuwa nawasikiliza wazee fulani kwenye mjadala wao hapa mijini, wanashangaa maamuzi ya kujenga ofisi za Halimashauri ya Iringa Vijijini huko Ihemi, yaani kilomita 155 toka Mtera na kilometa 130 kutoka Ruaha Mbuyuni, ikimaanisha wananchi kutoka maeneo hayo mawili Mtera na Ruahambuyuni watasafiri mpaka Igumbilo, kisha wapande mabasi kwenda Ihemi, na wale wa Mtera watapanda bus kwa utaratibu huohuo kitu ambacho siyo rafiki kwa muda hata uchumi

View attachment 2021173
Ruaha Mbuyuni sio Iringa vijijini ni Kilolo.
Mbona ofisi zimejengwa Kalenga?
 
130 ruaha mbuyuni ipo wilaya ya kilolo
Pia umesahau hao wananchi wa Ruaha mbuyuni mpaka kufika kilolo wilyani au bomani au kwa Mkurugenzi ni km 165
 
Nilikuwa nawasikiliza wazee fulani kwenye mjadala wao hapa mijini, wanashangaa maamuzi ya kujenga ofisi za Halimashauri ya Iringa Vijijini huko Ihemi, yaani kilomita 155 toka Mtera na kilometa 130 kutoka Ruaha Mbuyuni, ikimaanisha wananchi kutoka maeneo hayo mawili Mtera na Ruahambuyuni watasafiri mpaka Igumbilo, kisha wapande mabasi kwenda Ihemi, na wale wa Mtera watapanda bus kwa utaratibu huohuo kitu ambacho siyo rafiki kwa muda hata uchumi

View attachment 2021173
Mapendekezo ya hao wazee wanaona pajengwe wapi au hata wewe unaushauri gani kwa hili.
Me naona panafaa maana panafikika kwa wote sababu kijiji cha ihemi kimepitiwa na Mbeya road
 
Mapendekezo ya hao wazee wanaona pajengwe wapi au hata wewe unaushauri gani kwa hili.
Me naona panafaa maana panafikika kwa wote sababu kijiji cha ihemi kimepitiwa na Mbeya road
Distance ni mzigo ukizingatia uchumi wa watu vijijini uko chini, ni bora wangejenga njiamanda ya Tosa
 
Back
Top Bottom