Kwamba Thorontho ya Mwanri ni nzuri kuliko Dodoma? I gues no. Hahahah.Hapana ka Tabora kazuri. DOM ile baridi yabisi inaboa sana.
Kwamba Thorontho ya Mwanri ni nzuri kuliko Dodoma? I gues no. Hahahah.Hapana ka Tabora kazuri. DOM ile baridi yabisi inaboa sana.
😂😂😂😂Katika miji inayoharibu mwili wa binadamu Basi ni dodoma hapafai kuishi binadamu pale wanalazimisha tu,,
Hivi Jangwa Litashinda Na Neema Ya Iringa JamaniHata kwa uzuri tu huwezi kupaweka dodoma na iringa ,,, iringa bado sana .. Dodoma unapata service zote , burudani zote hadi parks .. iringa kidogo tu umekutana na mabonde ya ipogolo ,yaani pale nothing kabisa .
Kwanin mkuu ulikuwa unakaa Sae niniMbeya big no. Sijawahi kuvutiwa na hili Jiji kabisa.Arusha sawa
Kwanini mkuu au unazungumzia ubovu wa miundombinu paleeMbeya nimekataa
Wanajitoa ufahamu.Tunawaachia haters mnaopadis dodoma mpambane na mjionyeshe kua akilo
Zenu ndogo..hivi kamji kadogo ambako kamejengeka sehem moja kama iringa unapafananishaje na dodoma..nyie wehu..kataeni mkubali,ukitoka dsm,mwanza,arusha inayofata ni dodoma,toeni upuuzi wenu,,wengine ata hamjawahi kufika,amna mnachoongelea zaidi ya vumbi ndo ubaya wa mji? Ukiwa maskini kapuku dodoma huwezi kupapenda sbb ni mji ghali na ukiwa unatembelea miguu kuranda mjini huwezi pia kupakubali dodoma..tafuteni hela dodoma ni mji wa matumizi..
Unalinganishaje Iringa Na Uzuri Wote Na Dodoma
Hapo Dodoma Sasa Hivi Vumbi Jumlisha Maji Chumvi Watu Wamepauka
midomo Imepasuka Kama Wanakunywa Pombe Ya Moshi
Inzi Nao Waodandia Kwenye Macho






Tena wee pazia zako zile na ile rangi ndo fresh hapo Dom[mention]Kelsea [/mention] ona hi



