nizakale
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 4,034
- 2,945
Hapana ka Tabora kazuri. DOM ile baridi yabisi inaboa sana.Dodoma labda tulinganishe na Tabora.
Hapana ka Tabora kazuri. DOM ile baridi yabisi inaboa sana.Dodoma labda tulinganishe na Tabora.
Mbeya big no. Sijawahi kuvutiwa na hili Jiji kabisa.Arusha sawaDodoma sababu ya ukame na hali ya vumbi mji haupendezi. Iringa ni ndogo lakini ule ukijani na kukosa vumbi hakika mji unapendeza the same to Arusha Moshi na Mbeya ni miji mizuri
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Shida ya Morogoro mi maji kuwa na madini ya ulanga. Mara nyingi wageni hupatwa na ugonjwa wa tumboHa ha ha ha bora nijitulize hapa morogoro hata kama ni manispaa lakini ni Kuna majiji hayafui dafu
Mimi huwa naona Makao Makuu bora yangewekwa Singida.Dom jangwa..ni mwendo wa kupauka tu na kuchanika midomo.
#MaendeleoHayanaChama
Hatuzungumzii ukubwa wa mji. Tunazungumzia uzuri wa mjiHuwezi linganisha Dodoma na mji wa iringa..iringa haina maajabu kabisa ...mji uko very linear...ukienda 5 km unaanza kuimaliza mji ..mimi sio wa Dodoma ila iringa hapana
Wewe ndio mshamba. Nani kakuambia kwmba mji unajengwa na serikali ? Tunazungumzia uzuri wa mji. Dodoma pa hovyo sana baridi ya ajabu ajabu na vumbi jingi. Aidha toka bunge na serikali vimehamia Dodoma mbona mzunguko wa pesa hakuna ? Naunga mkono hoja Iringa ni pazuri kuliko Dodoma. Aidha usilinganishe Jiji la Mwanza na hicho kijiji chenu sijui unakiita Idodomya.Shida mnaenda dodoma pesa hamna mifukoni mwenu, jiji la dodoma ni kama Dar ukiwa na pesa hakuna dhambi utaacha kuona ila kama huna pesa wewe nenda huko iringa na mwanza mkapuyange na washamba wenzenu. Na akili za mtoa Mada haziko Sawa yani unafananisha jiji lenye kila wizara, bunge, chuo kikuu kikubwa Africa mashariki, malls za kutosha na Iringa yenye maziwa ya asasi na karenga hotel chenye ghorofa tatu. Mshamba kweli wewe
Iringa hukujui wewe Acha maneno yako huwezi kufananisha Dodoma na Iringa labda kama umeshindwa maisha weweWewe ndio mshamba. Nani kakuambia kwmba mji unajengwa na serikali ? Tunazungumzia uzuri wa mji. Dodoma pa hovyo sana baridibka ajabu ajabu na vumbi jingi. Aidha toka bunge na serikali vimehamia Dodoma mbona mzunguko wa pesa hakuna ? Naunga mkono hoja Iringa ni pazuri kuliko Dodoma. Aidha usilinganishe Jiji la Mwanza na hicho kijiji chenu sijui unakiita Idodomya.
Hata mkipakataa ndiyo pameshakuwa makao makuu. Hakuna anayelazimishwa kukaa Dodoma. Tuacheni na jiji letu kaa unapoona panakufaa. Nakushauri jikite zaidi kuangalia ustawi wa familia yako na usipoteze muda kuijadili Dodoma maana hakuna namna kwa sasa kubadili maamuzi maana Dodoma patakuwa makao makuu ya nchi daima hata iweje.Dom wengi wanapakataa sijui kwanini!
Daslam watu wakienda na kutakata wanatakata..Ukiwa njema tena ndo kabisa maisha yanakuwa matamu..kero zinazotajwa kuhusu Dodoma hata ukiwa njema kuna namna huwezi kuzikwepa.Dodoma sio mbaya kama mnavyoisagia kunguni humu dahhh![]()
Ni ukame Tu ndio sababu au mna mengine,
mbona dar kuna joto, foleni, kimvua kidogo mito inafurika na kuna uswahili mwingii lakini bado mnaipenda
Dodoma ina ubaya wake lakini si kwa kiwango hicho![]()
Dodoma sababu ya ukame na hali ya vumbi mji haupendezi. Iringa ni ndogo lakini ule ukijani na kukosa vumbi hakika mji unapendeza the same to Arusha Moshi na Mbeya ni miji mizuri
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Dodoma kama hauna pesa utaipata vizuri ila dar hata kama hauna pesa unaishi poa tuDodoma sio mbaya kama mnavyoisagia kunguni humu dahhh 😁😁
Ni ukame Tu ndio sababu au mna mengine,
mbona dar kuna joto, foleni, kimvua kidogo mito inafurika na kuna uswahili mwingii lakini bado mnaipenda
Dodoma ina ubaya wake lakini si kwa kiwango hicho 😁😁😁🙌🙌🙌


Dodoma watu wake ukiwaona kwa mbali unawaona kama wanacheka wakisogea karibu ndio unajua midomo imepauka.


Hata mkipakataa ndiyo pameshakuwa makao makuu. Hakuna anayelazimishwa kukaa Dodoma. Tuacheni na jiji letu kaa unapoona panakufaa. Nakushauri jikite zaidi kuangalia ustawi wa familia yako na usipoteze muda kuijadili Dodoma maana hakuna namna kwa sasa kubadili maamuzi maana Dodoma patakuwa makao makuu ya nchi daima hata iweje.
Iringa hukujui wewe Acha maneno yako huwezi kufananisha Dodoma na Iringa labda kama umeshindwa maisha wewe
Dodoma ina hipita iringa mjini zaidi ya mara 100
Hata kwa uzuri tu huwezi kupaweka dodoma na iringa ,,, iringa bado sana .. Dodoma unapata service zote , burudani zote hadi parks .. iringa kidogo tu umekutana na mabonde ya ipogolo ,yaani pale nothing kabisa .Hatuzungumzii ukubwa wa mji. Tunazungumzia uzuri wa mji