Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,377
Iringa bomba saaana, nimeishi pale 7 good years, kwa kweli nili enjoy sana! Kale kaubaridi, shughuli za kiuchumi, ifugaji. Hasa mitaa yangu ya kujidai kibwabwa, nyamhanga, ipogoro na indiuka hahaha mnoge yuvee! Use ludodo tulonge! Nyela Iringa raha kwa watani wangu



Mbeya, Dom, Arusha, Tanga, na bila kuusahau mji wa Iringa japo sio jiji??