Iringa ni pazuri kuliko Dodoma

Iringa ni pazuri kuliko Dodoma

Tunawaachia haters mnaopadis dodoma mpambane na mjionyeshe kua akilo
Zenu ndogo..hivi kamji kadogo ambako kamejengeka sehem moja kama iringa unapafananishaje na dodoma..nyie wehu..kataeni mkubali,ukitoka dsm,mwanza,arusha inayofata ni dodoma,toeni upuuzi wenu,,wengine ata hamjawahi kufika,amna mnachoongelea zaidi ya vumbi ndo ubaya wa mji? Ukiwa maskini kapuku dodoma huwezi kupapenda sbb ni mji ghali na ukiwa unatembelea miguu kuranda mjini huwezi pia kupakubali dodoma..tafuteni hela dodoma ni mji wa matumizi..
Nikitokaga moro kwenda dodoma najihisi kabisa nimetoka mjini naenda kijijini
 
Iringa hukujui wewe Acha maneno yako huwezi kufananisha Dodoma na Iringa labda kama umeshindwa maisha wewe
Dodoma ina hipita iringa mjini zaidi ya mara 100
Out of point. Tunazungumzia uzuri wa mji wewe unazungumzia ukubwa wa mji. Tunajua Dodoma ni kubwa kuliko Iringa ila ukweli mchungu ni kwamba Iringa ni nzuri kuliko Dodoma
 
Iringa usafi tuu , na huduma za kijamii papo Bomba Sana , hata hvyo ni mwehu tuu anayeweza linganisha Dodoma na Iringa , Dodoma imejengeka Sana , tatizo la Dodoma ni Hali ya hewa , vumbi , ukame , jua linalofisha na bard Kali usku ...mambo ambayo almost ni nature .... Ila bado nailaumu serikali ya Maghufuli kukurupuka kuijenga Dodoma Kwa kutumia master plan ya zaman ambayo tayar ilishakuwa corrupted
 
Tunawaachia haters mnaopadis dodoma mpambane na mjionyeshe kua akilo
Zenu ndogo..hivi kamji kadogo ambako kamejengeka sehem moja kama iringa unapafananishaje na dodoma..nyie wehu..kataeni mkubali,ukitoka dsm,mwanza,arusha inayofata ni dodoma,toeni upuuzi wenu,,wengine ata hamjawahi kufika,amna mnachoongelea zaidi ya vumbi ndo ubaya wa mji? Ukiwa maskini kapuku dodoma huwezi kupapenda sbb ni mji ghali na ukiwa unatembelea miguu kuranda mjini huwezi pia kupakubali dodoma..tafuteni hela dodoma ni mji wa matumizi..
Hakuna kitu. Matumizi gani hapo ? Vumbi tu
 
Dodoma kama hauna pesa utaipata vizuri ila dar hata kama hauna pesa unaishi poa tu

Hakuna sehemu ukiwa huna pesa utapainjoi hata dar yenyewe kuna watu wanaishi chumba kimoja, hakina umeme wala maji. Bati zinavuja na zikija mvua inabidi wahame kwa muda hadi maji yapungue

Watu wanaunga miguu ya kuku na vichwa au kifungu cha dagaa mchele plus ugali mkubwaa.. Na usidhani hapo milo mitatu ni mmoja au miwili kama unajiwezaweza

Au unaongelea dar ipi mkuu
 
Daslam watu wakienda na kutakata wanatakata..Ukiwa njema tena ndo kabisa maisha yanakuwa matamu..kero zinazotajwa kuhusu Dodoma hata ukiwa njema kuna namna huwezi kuzikwepa.
Dar ni joto Tu mkuu wala sio kingine.. Ngozi inaglow lakini hiyo ni kwa wenye usimple wa maisha. Mtu ni kuli, unapiga bhangi, msosi wa kuungaunga na double kiki, hiyo ngozi itang'aa saa ngapi

Kuhusu ngozi kupauka Dom ni hali ya hewa Tu na ukiishi fresh mbona ipo kawaida

Kiufupi Dom na Dar hazichekani japo dar mishe ni nyingi sababu ya population kubwa ndio unafuu ulipo..

Japo kuna section za dar ukiziishi ni kheri ukae mkoani
 
Dar ni joto Tu mkuu wala sio kingine.. Ngozi inaglow lakini hiyo ni kwa wenye usimple wa maisha. Mtu ni kuli, unapiga bhangi, msosi wa kuungaunga na double kiki, hiyo ngozi itang'aa saa ngapi

Kuhusu ngozi kupauka Dom ni hali ya hewa Tu na ukiishi fresh mbona ipo kawaida

Kiufupi Dom na Dar hazichekani japo dar mishe ni nyingi sababu ya population kubwa ndio unafuu ulipo..

Japo kuna section za dar ukiziishi ni kheri ukae mkoani
 
Kiufupi haka kamji kamejengeka vizuri.

Kuna haja ya kupewa jiji sasa!
Ingawa Iringa iko concetraced at center lakini kuna uzuri ambao hauko sehemu nyingine.

Kwanza pale town center hapana vumbi hata moja wamesakafia hadi pembeni aisee nilipita nilishaangaa

Pili inasehemu kubwa ya mji tofauti na Dodoma.

Checki baadhi ya sehemu za Iringa zilizotulia.

View attachment 2274857
Uzuri unapimwa vipi? Make kwa wenzetu ukisikia uzuri ni New york sio yale Magorofa bali ni utajiri ulioko pale New york
 
Out of point. Tunazungumzia uzuri wa mji wewe unazungumzia ukubwa wa mji. Tunajua Dodoma ni kubwa kuliko Iringa ila ukweli mchungu ni kwamba Iringa ni nzuri kuliko Dodoma
Kama kwa uzuri huo unaomaanisha wewe basi iringa ni zaidi ya Dar na Mwanza
 
Back
Top Bottom