Dodoma ni jiji lililo na giza na huduma mbovu za usafiri

Mikdde

JF-Expert Member
Sep 12, 2018
5,721
5,582
Licha ya kupewa hadhi ya makao makuu lakini suala la huduma za usafiri hapa mjini ni kero kuanzia saa tatu huwezi kupata daladala za kuelekea mitaa mbalimbali ya Dodoma itakubidi utumie gharama kuchukua boda au bajaji.

Suala la giza barabarani, nilijua Mwanza itakuwa inaongoza lakini Dodoma kuna Giza balaa na taa za kumulikia magari zipo njia Moja ya morogoro na mitaa ya CBD.

Barabara ya Iringa ni Giza, barabara ya Arusha ni Giza, barabara ya Singida nayo ni Giza

Ukifika Dodoma huwezi hisi upo ndani ya Jiji labda Kijiji

My consideration:
Serikali ijaribu kuwa serious na makao makuu ya nchi, mji unakua lakini mipangilio ni mibovu ujenzi holela upo sana kuanzia Nala, Mbwanga ,na Miyuji.

Jengeni barabara, pandeni miti, wekeni taa, boresheni huduma za usafiri
masare ChoiceVariable
 
Gadafi alivyokuja Tanzania akapelekwa dodoma akaambiwa hapa ndio makao Makuu ya nchi alishangaa sana ikabidi awasaidie tu akashusha msikiti unaitwa Muamar Gaddafi na mfame wa MORROCO aliahidi uwanja baada ya kuona mji mkuu jinsi ulivyo na vumbi hauendani kabisa na uhalisia
 
Dodoma bado aisee
Haikutakiwa kuwa jiji
Jiji ilitakiwa iwe kahama
Dodoma pa ovyo sana
Kuanzia Dar, Mwanza, Arusha, Mbeya & Tanga zote zilipewa hadhi ya kuwa Jiji wakati huo zilikuwa hazina sifa.

Pia kumbuka kwa sera za Tanzania, Kahama haiwezi kuwa JIJI hata kama iwe na flyovers & interchanges kama NEW YORK.

Sababu Jiji lazima liwe makao makuu ya mkoa... tayari hapo kahama haina sifa.
 
Hata Kisasa Bado kuna nyumba za tope kunaitwa "block
Licha ya kupewa hadhi ya makao makuu lakini suala la huduma za usafiri hapa mjini ni kero kuanzia saa tatu huwezi kupata daladala za kuelekea mitaa mbalimbali ya Dodoma itakubidi utumie gharama kuchukua boda au bajaji.

Suala la giza barabarani, nilijua Mwanza itakuwa inaongoza lakini Dodoma kuna Giza balaa na taa za kumulikia magari zipo njia Moja ya morogoro na mitaa ya CBD.

Barabara ya Iringa ni Giza, barabara ya Arusha ni Giza, barabara ya Singida nayo ni Giza

Ukifika Dodoma huwezi hisi upo ndani ya Jiji labda Kijiji

My consideration:
Serikali ijaribu kuwa serious na makao makuu ya nchi, mji unakua lakini mipangilio ni mibovu ujenzi holela upo sana kuanzia Nala, Mbwanga ,na Miyuji.

Jengeni barabara, pandeni miti, wekeni taa, boresheni huduma za usafiri
masare ChoiceVariable
F)
 
Ukiishi nje ya Tanzania, kwenye haya majiji ya uhakuka, kwa muda wa mwaka halafu ukarudi Tanzania sehemu kama Dar ilivyo na giza utadhani uko shimoni. Ni kitu gani CCM inaweza?
Niliondoka huku miaka miwili iliyopita lakini hamna kilichobadilika ni vile vile
 
Gadafi alivyokuja Tanzania akapelekwa dodoma akaambiwa hapa ndio makao maki ya nchi alishangaa sana ikabidi awasaidie tu akashusha msikiti unaitwa muamar Gaddafi na mfame wa MORROCO aliahidi uwanja baada ya kuona mji mkuu jinsi ulivyo na vumbi hauendani kabisa na uhalisia
Hivi ule uwanja umejengwa upande gani kwa hapo DODOMA!!?

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Gadafi alivyokuja Tanzania akapelekwa dodoma akaambiwa hapa ndio makao Makuu ya nchi alishangaa sana ikabidi awasaidie tu akashusha msikiti unaitwa Muamar Gaddafi na mfame wa MORROCO aliahidi uwanja baada ya kuona mji mkuu jinsi ulivyo na vumbi hauendani kabisa na uhalisia
Wadanganye washamba ambao hawajawahi kufika Dom City....ebu nitajie barabara ya vumbi ndani ya Dodoma CBD.Dodoma ndio Jiji pekee lenye mtandao mpana wa barabara za lami.Dom ukwame wapi kila mtaa barabara za lami hadi ndani ndani huko Nkuhungu kwenye nyumba za watu.
Kamwe usilinganishe Dom kwenye eneo la barabara za lami hawa wanapendelewa sana na serikali ukijumlisha na ule mradi wa World Bank wa TSCP barabara za lami zimejengwa kila sehemu huwezi kulinganisha na Jiji lolote Tanzania hii.
Majiji mengine yote ya Tanzania barabara ni changamoto sana na kilio cha kilamwaka ila kwa Dom City hakuna changamoto ya barabara labda kwa maeneo machache ambayo yako nje ya mji.
Nimeambiwa ring road ishaanza kujengwa tayari...watu wapo site😆😆
 
Back
Top Bottom