jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 21,691
- 41,849
Dom jangwa..ni mwendo wa kupauka tu na kuchanika midomo.Dom wengi wanapakataa sijui kwanini!
#MaendeleoHayanaChama
Dom jangwa..ni mwendo wa kupauka tu na kuchanika midomo.Dom wengi wanapakataa sijui kwanini!
Inabidi serikali itengeneze mvua bandia ili ituluze vumbi la sivyo watu watavimba macho ha ha ha😂🤣😅😆😁😄😃😀 Ukifika Dodoma Sasa Hivi Kupauka, Vumbi, Inzi Machoni, Midomo Kupasuka
Heeh!!Dodoma pa hovyo sana. Basi tu.
Huo ni wivu.Dodoma pa hovyo sana. Basi tu.
Sio kweli hamna mkoa wenye mazingira ya kinyamwezi sana kama Dodoma kwa sasa.😂🤣😅😆😁😄😃😀 Ukifika Dodoma Sasa Hivi Kupauka, Vumbi, Inzi Machoni, Midomo Kupasuka
Hujui unaloandika na pengine hata huijui dodoma wewe njoo ushangaeMagufuli alijaribu kupapigania Dom aligawa mpaka maeneo ya kujenga ofisi za mabalozi.yani mabalozi watoke Dar wahamie Dom ili tu mji unawiri,haaa lakini wapi mambo magumu kwa Dom.
Yani haka ka mji kapazidi Dodoma? 😝😝😝 Mashkolo mageni
Dom bila serikali kuwekeza mambo magumu..kama vile wanaume wa dar bila mkongo mambo hayaendi.Magufuli alijaribu kupapigania Dom aligawa mpaka maeneo ya kujenga ofisi za mabalozi.yani mabalozi watoke Dar wahamie Dom ili tu mji unawiri,haaa lakini wapi mambo magumu kwa Dom.
Dom wengi wanapakataa sijui kwanini!
Mkoa wa hovyo sana huu!
Hauna eneo la kupumzikia..
Vumbi kupaukaa..
Kila kitu kinaagizwa mikoani..
Unalinganishaje Iringa Na Uzuri Wote Na Dodoma
Hapo Dodoma Sasa Hivi Vumbi Jumlisha Maji Chumvi Watu Wamepauka
midomo Imepasuka Kama Wanakunywa Pombe Ya Moshi
Inzi Nao Waodandia Kwenye Macho


Dom bila serikali kuwekeza mambo magumu..kama vile wanaume wa dar bila mkongo mambo hayaendi.
#MaendeleoHayanaChama
Hivi Dodoma ni Jiji?Dom hapaeleweki kabisa ukilinganisha na majiji mengine yote
Unalinganishaje Iringa Na Uzuri Wote Na Dodoma
Hapo Dodoma Sasa Hivi Vumbi Jumlisha Maji Chumvi Watu Wamepauka
midomo Imepasuka Kama Wanakunywa Pombe Ya Moshi
Inzi Nao Waodandia Kwenye Macho


Ha ha ha ha bora nijitulize hapa morogoro hata kama ni manispaa lakini ni Kuna m jiji
Inabidi serikali itengeneze mvua bandia ili ituluze vumbi la sivyo watu watavimba macho ha ha ha