TANZIA Iringa: Mwandishi Mwangosi auawa katika vurugu kati ya Polisi na CHADEMA

Pichani marehemu mwangosi (kulia)akiwa na mwenyekiti wa lindi press club hivi karibuni katika semina elekezi ya sensa kwa wanahabari manispaa ya iringa.
 

Attachments

  • MAREHEMU.jpg
    MAREHEMU.jpg
    43.6 KB · Views: 100
Uongo mkubwa hakuna chochote acheni uchochezi na ujinga wa chadema

Sijakoma, Dont let your love for your political party cripple your sense of thinking and reasoning.

Mikutano ya CHADEMA ilisitishwa hadi zoezi la sensa litakapokwisha, lakini RPC amesema aliruhusu huo mkutano(si ile ya uamsho, M4C) ila ule wa kufungua tawi.

MAKOSA:
-Polisi hapaswi kwenda na risasi za moto katika mikutano
ya watu.
-Hata kama ni risasi za mpira bado hupigwa kwenda
juu(hewani/angani).

Mwisho, Kama Polisi wanashidwa kulinda na kutimiza wajibu wao, Wananchi wenyewe watafanya hivyo(bila uzoefu ila kwa hisia-hasira n.k) na nchi haitakalika esp kwenye zoezi muhimu kama la sensa.
Pole wafiwa wote(familia, wanahabari,nk)
MUNGU wabariki waandishi wa habari,
MUNGU ibariki Tanzania.
 
acha ujinga wewe sasa unauliza nn hujui kaz ya wanahabar kwel we hazimo!?


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums[/QUOTE]
 
Ni kama kuna thread moja iliandika jambo hili kama taarifa kuwa litatokea hili. Pole wafiwa na R.I.P mwandishi wa habari. Tusubiri polisi kulikanisha hili utasikia " rimarehemu rinepigwa na kitu chenye ncha kari". wapii.

Kama kulikuwa na thread hiyo,mods tunaomba muiweke stiky.
 
Kwa mwendo huu mtasababisha wanachi nao wawe full armed maana ishakuwa Syria sasa
 
Sijakoma, Dont let your love for your political party cripple your sense of thinking and reasoning.

Mikutano ya CHADEMA ilisitishwa hadi zoezi la sensa litakapokwisha, lakini RPC amesema aliruhusu huo mkutano(si ile ya uamsho, M4C) ila ule wa kufungua tawi.

MAKOSA:
-Polisi hapaswi kwenda na risasi za moto katika mikutano
ya watu.
-Hata kama ni risasi za mpira bado hupigwa kwenda
juu(hewani/angani).

Mwisho, Kama Polisi wanashidwa kulinda na kutimiza wajibu wao, Wananchi wenyewe watafanya hivyo(bila uzoefu ila kwa hisia-hasira n.k) na nchi haitakalika esp kwenye zoezi muhimu kama la sensa.
Pole wafiwa wote(familia, wanahabari,nk)
MUNGU wabariki waandishi wa habari,
MUNGU ibariki Tanzania.
Kama polisi wanauwa wananchi,nani mlinzi wa wananchi?obvious umefikikia wakati ambapo wananchi wanatakiwa wajilinde wenyewe.Ni muhimu sana.
 
R.I.P. Mwangosi. I still struggle to come into terms with this yet another political murder by the police. Surely b4 they go on CHADEMA need to act one way or another.
 
Kwa mwendo huu mtasababisha wanachi nao wawe full armed maana ishakuwa Syria sasa

Ishakuwa Libya, tatizoZanzibar ni ndogo ,lakini naamini kabisa kama ingekuwa kubwa kama Tanganyika basi wakato huu kungekuwa kunazungumzwa hadithi zingine ,maana ingekuwa ama zao ama za wananchi ,huko bara mmezubaa !!
 
Back
Top Bottom