Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 1,914
- 6,033
Mwigizaji wa Bongo Movie, Irene Uwoya anasema huwa anaogea maziwa ili aweze kulinda na kutunza ngozi yake ili iendelee kuwa na mvuto. Ameyasema hayo akiwa kituo cha radio cha Clouds Fm.
Nini maoni yako?
Nini maoni yako?