Mzungu anakufa anakatwa koromeo kama kuku wa pasaka huko it is not easily as we think tazama askari ambao Obama aliwatoa Iraq.Marekani hacheleweshagi kashaweka kambi zake hapo Syria,unadhanin Mchina ni mjinga kumlinda NK coz anajua bwana mdogo akichapwa bhas Marekani atakua mlangoni mwake
Mkuu hujaleta mabandiko yako ulituahidi aisee tunakusubiriKuna kitu nakiona kwenye mada hii.....
Huenda kuna kitu kizuri sana hapa....
Usijali mkuu utaona tu....Mkuu hujaleta mabandiko yako ulituahidi aisee tunakusubiri
huwezi jua
Hapo namaanisha kuna baadhi ya mambo sivyo kama yalivyo au yanavyoonekana machoni pa wengiUsijali mkuu utaona tu....
Kwanini umesema "huwewezi jua"?
Unamaanisha nini?
Sasa Babeli ambayo ni magofu na ni nyumba ya Mbwa-mwitu na ya mzomeo pasipo kukaa watu ni ipi Sadam alitaka kuireje?Yeremia 51 : 37 - Na Babeli utakuwa magofu, makao ya mbwa-mwitu, ajabu, na mazomeo, pasipo mtu wa kukaa huko.
Huo ndio mwisho wake Babeli (Iraki) hata mwanadamu angefanya jitihada gani halitawezekana hilo Sadam alijaribu kutaka kuurejesha akakumbana na vita ya ghuba akaacha vita ilipoisha akaanza harakati tena marekani wakavamia mpk kifo chake na sasa Isis nk kuthibitisha Neno la Mungu huo mji utakuwa magofu hautajengeka tena
Ukirejea kwenye hoja yangu ya awali utaona kuna mahali nilisema japo ziwepo jitihada za wanadamu kutaka kurejesha mji wa babel hilo halitawezekanaSasa Babeli ambayo ni magofu na ni nyumba ya Mbwa-mwitu na ya mzomeo pasipo kukaa watu ni ipi Sadam alitaka kuireje?
Sorry nina dharura sijatulia bado nitarejeaNaunyita huu uzi lakin unasuasua kweli. Mkiweka kambi mnikumbushe nije
Yaliyotokea Iraq wakati wa vita huwezi amini, viatu vya wanajeshi vilikuwa vinayeyuka kwa juaMzungu anakufa anakatwa koromeo kama kuku wa pasaka huko it is not easily as we think tazama askari ambao Obama aliwatoa Iraq.
most of us tunasikiliza
BBC
CNN
DW
ABC
zote Western broadcasts.
Mtu anaenda mzima anarudi chizi.
Delta force commando analia kwenye TV program kama mtoto.
Babeli unayoisema wewe haipo kabisa leo?Ukirejea kwenye hoja yangu ya awali utaona kuna mahali nilisema japo ziwepo jitihada za wanadamu kutaka kurejesha mji wa babel hilo halitawezekana
Mji wa Babeli ulitamkiwa hayo miaka mingi nyuma kuanzia kwa mfalme Nebukadneza mpk mwisho wake enzi za mjukuu wa Nebukadneza ambaye alikuwa mfalme Belshaza sasa toka wakati huo mpk leo ni lazima mji ulijengwa tena kama ambavyo sehemu nyingine zilivyojengwa na hivyo Sadam Hussein alikuwa na lengo la kuifanya Iraki ama Babeli irudie ktk enzi zake na aliazimia kuujenga upya na maandiko mengi yameandikwa juu ya hilo lkn biblia ilishasema kama nilivyoquote hapo juu kuwa halitawezekana
Endelea tafadhaliYaliyotokea Iraq wakati wa vita huwezi amini, viatu vya wanajeshi vilikuwa vinayeyuka kwa jua
Lakini Mimi nilikuwa huko miaka kibao sijawahi ona vikiyeyuka.
Nge walikuwa wanatoka mamia kwa mamia
Mengine ni kama ndoto acha niishie hapo
Unabii huja kwa namna tofautiIna maana unabii wote huu hautuhisu ss ngozi nyeusi ni wao tu.Mwenye jibu anisaidie tafadhari mbona kwetu hakuna hivi vitu?
Sent using Iphone 7+
Bro mshana check your PM..please
Yaliyotokea Iraq wakati wa vita huwezi amini, viatu vya wanajeshi vilikuwa vinayeyuka kwa jua
Lakini Mimi nilikuwa huko miaka kibao sijawahi ona vikiyeyuka.
Nge walikuwa wanatoka mamia kwa mamia
Mengine ni kama ndoto acha niishie hapo
Yaliyotokea Iraq wakati wa vita huwezi amini, viatu vya wanajeshi vilikuwa vinayeyuka kwa jua
Lakini Mimi nilikuwa huko miaka kibao sijawahi ona vikiyeyuka.
Nge walikuwa wanatoka mamia kwa mamia
Mengine ni kama ndoto acha niishie hapo