Sendoro Mbazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 3,557
- 2,336
Ameshapata sababuKifupi marekani anatafuta sababu,tarataibu anamuingiza Iran kwenye 18.
Muajemi anakaribia kunyolewa bila maji
Ameshapata sababuKifupi marekani anatafuta sababu,tarataibu anamuingiza Iran kwenye 18.
Iran amesema 'huo ni mwanzo tu tunaposema hatutanii, mtu yoyote sio tu marekani akicheza na anga letu au sehemu bahari yetu tunachapa, tupo tayari kwa vita'. Hayo ni maneno ya waziri wa ulinzi wa Iran
Hiyo habari nimeitoa huko. Jamaa naona wapo vzr sanaNimesoma hiyo habari aise jamaa hawaogopi mtu
Mkuu hearly mara yako ya mwisho kusikia vuguvugu la kumtoa Assad madarakani ilikuwa mwaka gani?Hahaha yaani taifa kubwa kama USA lina hangaika kumtoa Asad Zaid ya miaka 5 sasa '' ina maana USA wamesha kuwa mbwa koko au?
Mkuu -- Tangu mwaka jana 'baada ya USA na washirika wenzake wa NATO kurusha mabomu Syria wakijidai kumtuhumu assad kuwa ametumia kemikali kama silaha za maangamizi dhidi ya wananchi --Mkuu hearly mara yako ya mwisho kusikia vuguvugu la kumtoa Assad madarakani ilikuwa mwaka gani?
Fact! hakuna aliyetayari kwa vita.Trump akianzisha vita Irani atashindwa uchaguzi, Wamarekani hawana muscle ya kubeba vita nyingine baada ya Afghanistan na Iraq.
Hiyo habari nimeitoa huko. Jamaa naona wapo vzr sana
sasa si ndo maana ya sapoti hyo huon vietnam marekan alipigwaUnakwama mkuu wanaingia indirect wanasupply silaha sio kupigana, hata Vietnum Russia aliingia kuuza silaha, we ulizani anapeleka jeshi??
kwa sapot ya mmarekaniKumbukumbu[emoji56][emoji56][emoji56]View attachment 1132284
Hivi kama una akili timamu mkuu unadhani hilo jambo linawezekana? Au hujui njia U.S. ambazo amekuwa akizitumia mara zote kufanikisha malengo yake?😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤪🤪Tunasubiri wakavamie pale kwa Maduro 😂😂😂😂😂
Hivi mbona mrusi mnamtaja sana as if ana jambo la maana analolitenda.Endelea kuota huku ukidanganywa na HELMET wanaojifanya kuwa ni waokoaji kumbe ni kikundi cha USA na Israel ambacho kimeshashindwa mbele ya Russia.
iran yeye anajilinda hapo hakuna sheria aliyovunja ukiingiza ndege kwenye anga ya mtu af unataka uchekeweUS hawez kataliwa ,subiri SC itumie Article 39,41,42 na 51 ili isikiuke ruke 2(4) ndo utajua
Kama 18 alizochemka kwa kim.Kifupi marekani anatafuta sababu,tarataibu anamuingiza Iran kwenye 18.
Mkuu -- Tangu mwaka jana 'baada ya USA na washirika wenzake wa NATO kurusha mabomu Syria wakijidai kumtuhumu assad kuwa ametumia kemikali kama silaha za maangamizi dhidi ya wananchi --
Hahaha propaganda tu hizo wanatafuta visingizio baada ya kuwa wame -fail. . Walijisahau sana Wakawaacha Russia na china wajiimarishe --matokeo yake ndio hayo ---Assad mtu asiye na nguvu zozote za kijeshi dhidi ya USA Aliye paswa kupigwa na kuondolewa kwa muda wa ndani ya week 1 ..sasa ame-wagharimu zaidi ya miaka 5...what a lost! !!!?
Mkuu pitia hiyo Washington post ya mwaka jana, Assad must go! Ila mpaka successor wake atakapopatikana na kiwa na mlengo wanaoutaka wa U.S. wenyewe
Aibu sana m-dege wote huu Umeshushwa chini ....dah! !!!
Mkuu pitia hiyo Washington post ya mwaka jana, Assad must go! Ila mpaka successor wake atakapopatikana na kiwa na mlengo wanaoutaka wa U.S. wenyewe
Ulichokiandika kama bata kapatwa na kipindupindu .Hivi mbona mrusi mnamtaja sana as if ana jambo la maana analolitenda.
Ni jambo gani mrusi analifanya hasa na amefanikiwa ulimwengu ukatambua vita ya nchi fulani walikuja warusi wakaimaliza au kasaidia taifa fulani kutokana na maradhi ya ebola sasa hivi halina waathirika wa ebola?
Achilia mbali vita ya miongo mingi iliyopita dhidi ya waNazi.
"Unamsikia mtu ananena kwa kukaza mishipa ya shingo kabisa mmarekani hawezi kusogeza pua Venezuela mrusi yupo" like seriously?
Ni wanajeshi wangapi wa Russia wapo Venezuela na je kazi ipi?
Kinachofahamika wapo wanajeshi wachache wakirusi wanaomlinda maduro! Nchi zote zinazoizunguka Venezuela hawamtaki maduro hivi wananchi wakianzisha maandamano yasiyo na ukomo na vurugu unahisi Maduro hatokimbia nchi?
Juan guaido anaogopwa sana na Serikali ya maduro yani sijui nikusimulieje, Maduro hatamani kuona wanajeshi wa U.S. wapo ardhini kwake na anafahamu CIA wapo tayari ndio maana anamtengenezea skendo Guaido ili wafadhili wamuone hafai
Naamini USA is infallible,ni issue ya muda tuuUlichokiandika kama bata kapatwa na kipindupindu .
Yangu macho mkuu!Aibu sana m-dege wote huu Umeshushwa chini ....dah! !!!View attachment 1132679