Iran yatungua Drone ya US RQ-4 Global Hawk

Iran yatungua Drone ya US RQ-4 Global Hawk

Meli kuzuiliwa tu naona na BA wamesitisha safari zake za Egypt kwa wiki moja na sababu hawazisemi ila tunaoona tunajua
 
Inawezekana hii ni janja ya America kutungua ndege yake mwenyewe ili kuishambulia Iran kama chadema wanavyowateka kuwapiga Risasi na kuwaua wanachama wake ili ionekane serika Ndiyo inafanya. Hizi mbinu Mataifa ya Magharibi wanatumia sana.
Naamini America wametungua ndege yao wenyewe ili kuambiwa washirika wake kuwa Iran imewachokoza
Inaonesha ni namna gani huamini Iran anaweza kuitungua ndege ya marekani.pole sana
 
Inawezekana hii ni janja ya America kutungua ndege yake mwenyewe ili kuishambulia Iran kama chadema wanavyowateka kuwapiga Risasi na kuwaua wanachama wake ili ionekane serika Ndiyo inafanya. Hizi mbinu Mataifa ya Magharibi wanatumia sana.
Naamini America wametungua ndege yao wenyewe ili kuambiwa washirika wake kuwa Iran imewachokoza

Mh akili ya mtanzania mungu tusamehe
 
Katika hali ya Uhasama inayoendelea baina ya US na Iran Leo Iran imeitungua Ndege isiyokua na Rubani aina ya Global Hawk uko mashariki mwa Iran maeneo ya Jask! RQ-4 Global Hawk ni aina ya Drone inayotegemewa sana na Marekani ktk masuala ya Intelligence, kwani sifa yake kubwa ni kupaa ktk attitude ya juu sana na kukaa hewani bila kuongezewa mafuta kwa masaa mengi na iliundwa maalaumu kuzinguka dunia kwa mantiki iyo duru zinaonesha huenda ilitokea Germany kwenda directly to Iran then irudi ni Drone kubwa sana zaidi ya Ndege nyingi tu kwa ukubwa wa mabawa yake.

IRANI sio wa kulaumiwa! Alitoa tahadhar KITAMBO maana alishtukia huo mpango mapema BAADA YA KUFANYA UDUKUZI WA KIJESHI(hucking) Hilo likafichuliwa
Screenshot_20210120-135730.jpg
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Iran iliwahi kuishusha (HACK) US DRON miaka kadhaa huko nyuma

Wanajitahidi ila yaliyoikuta Iraq, Libya yanawakaribia
[emoji12][emoji12][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Back
Top Bottom