Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 22,513
- 34,136
Unamaanisha Africa ya sayari ipi ?Israel hakua peke ake alikua na baba yao US! Na US pekeeake ni sawa na Bara zima LA Africa
Unamaanisha Africa ya sayari ipi ?Israel hakua peke ake alikua na baba yao US! Na US pekeeake ni sawa na Bara zima LA Africa
US sasa hivi aHata Iraq na Libya mlisema hivyo hivyo
[emoji23][emoji23]mmarekani sikuhz anachezewa sharubu
Na bado atatiwa hadi vidole,kazi kutengeneza vindege vyake ili akatafute uumbea kwenye nchi za watu
HahahaRussia tayari ashampa tahadhari USA.Si unajua tena sehemu anapotia mguu Russia, USA anakuwa mpole.
Usiwaamini WAZUNGU propaganda nyingi wanauza silaha
HahahaMbona anashikwa matako kabisa.
Israel hakua peke ake alikua na baba yao US! Na US pekeeake ni sawa na Bara zima LA Africa
Hahaha yaani taifa kubwa kama USA lina hangaika kumtoa Asad Zaid ya miaka 5 sasa '' ina maana USA wamesha kuwa mbwa koko au?Urusi anafanya mashambulizi mara kwa mara Syria na juzi kafanya tena alafu cha ajabu analenga misikiti na makazi ya watu akiulizwa kwanini anajibu ni target za maadui!
U.S. hajaufyata Syria bado yupo Assad lazima ataondoka muda wake haujawadia tu, Maduro huoni propaganda zake alizozianza kuwa Juan guaido anatumia fedha za U.S. vibaya anatanua na makahaba kwenye hotel za nyota tano katoa hadi ushahidi wa risiti ili U.S. waache kumuunga mkono.
Jeshi la U.S. linaogopwa sana na maduro sasa hivi wanaishi maisha kama ya Cuba ya enzi za Fidel Castro, maduro asipoondoka sasa muda wa uchaguzi ukifika unakuwa mwisho wake mbaya!
Sasa ndugu yangu una tegemea kwamba USA wangekubali hahah. ..yaani unajua fika kabisa kuwa nivigumu kwa wao kuku Bali ila unaamua kujipofusha. .juzi drone yao imetunguliwa na Iran Waka kataa ---Baada ya Iran kutoa evidence wakakubali. ...... Hivi una toa wapi ujasiri wa kuwaamini waongo wa kiasi hichoUs alikataa hata kuiuzia ndege Israel kipindi kile ikabidi anunue kwa Ufaransa View attachment 1132322View attachment 1132325
You are outdated mkuu
Taratibu utamfanya ze kukoyo akimbie Jukwaa ''yeye huwa amekarili kuwa Mambo Mazuri yanatoka USA tu pekeeS57 bado haijaingia sokoni mkuu wala s500 zipo kwenye majaribioView attachment 1132364View attachment 1132365
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2957][emoji2957]Tunasubiri wakavamie pale kwa Maduro [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
US sio sawa na Iran au Russia,kwenye ukweli anasema ukweli sio propagandaTaratibu wameshaanza kukubali.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
U.S. drone shot down by Iranian missile in international airspace: U.S. source
A U.S. military drone has been shot down in international airspace over the Strait of Hormuz by an Iranian surface-to-air missile, a U.S. official said on Thursday, speaking on condition of anonymity.
[emoji810] @ReutersWorldChannel [emoji810]
WameshakubaliUSA anajifanya kukataa,kumbe ni kweli ashatandikwa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]