Hakuna Iraq iliokwa na nguvu kijeshi imaginary, kutokana na wingi na ubora was ana Kama ile iliopigana na Iran kwa miaka 8. Iraq alisaidiwa na marekani na allies wake wote. Hiyo isitoshe Soviet Union waliwageuka pia wakisambaza silaha kwa Saddam. Hilo lilifanyika coz Soviet waliogopa kusambaa kwa Imani za kishia katika Soviet.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Iran alipigana na weak Iraq back in days saivi anasumbuliwa na Israel pale Syria
Hats hivyo wairaq walipigika isivyo kawaida japo walikufa weng kwa pande zote.