Dripboy
JF-Expert Member
- Mar 22, 2019
- 3,178
- 4,603
Huna uwezo wa kujenga hoja?Ulichokiandika kama bata kapatwa na kipindupindu .
Au unataka battle ya ushenzi nikuonyeshe kuwa mimi ni mshenzi zaidi yako?
Huna uwezo wa kujenga hoja?Ulichokiandika kama bata kapatwa na kipindupindu .
Huna uwezo wa kujenga hoja?
Au unataka battle ya ushenzi nikuonyeshe kuwa mimi ni mshenzi zaidi yako?
Soma mkuu, usiseme tu ni propaganda wala haija side upande wowote, imeeleza ukweliHahaha propaganda tu hizo wanatafuta visingizio baada ya kuwa wame -fail. . Walijisahau sana Wakawaacha Russia na china wajiimarishe --matokeo yake ndio hayo ---Assad mtu asiye na nguvu zozote za kijeshi dhidi ya USA Aliye paswa kupigwa na kuondolewa kwa muda wa ndani ya week 1 ..sasa ame-wagharimu zaidi ya miaka 5...what a lost! !!!?
Soma mkuu, usiseme tu ni propaganda wala haija side upande wowote, imeeleza ukweli
Aibu sana m-dege wote huu Umeshushwa chini ....dah! !!!View attachment 1132679
Mkuu iran washasema kama usa nwanaume kweli basi asogeze ile meli yake kibwa ya kubebea ndege kwenye maji ya iran. Kasema ataizamisha ndani ya dakika moja. Iran amesema hiyo meli ibaki huko huko na watalii wake. Hahah eti wanajeshi wa marekani watalii nimecheka sana
Hahaha hizi Dharau sasa
Huo ni "USHABIKI" uliopitiliza ndugu!Mkuu iran washasema kama usa nwanaume kweli basi asogeze ile meli yake kibwa ya kubebea ndege kwenye maji ya iran. Kasema ataizamisha ndani ya dakika moja. Iran amesema hiyo meli ibaki huko huko na watalii wake. Hahah eti wanajeshi wa marekani watalii nimecheka sana
Hahahhh kaka huyo jamaa naye ana majungu!!Hahaha hizi Dharau sasa
Hahahhh kaka huyo jamaa naye ana majungu!!
Huo ni "USHABIKI" uliopitiliza ndugu!
Huo ni "USHABIKI" uliopitiliza ndugu!
Duh watali tena si waje kwa mjomba jiwe tupate pesa!Mkuu iran washasema kama usa nwanaume kweli basi asogeze ile meli yake kibwa ya kubebea ndege kwenye maji ya iran. Kasema ataizamisha ndani ya dakika moja. Iran amesema hiyo meli ibaki huko huko na watalii wake. Hahah eti wanajeshi wa marekani watalii nimecheka sana
Duh watali tena si waje kwa mjomba jiwe tupate pesa!
Sema dah jamaa wamewaita watali wanao.shangaa maji au!Sio maneno yangu hayo mkuu
Mtamponza mwenzenu kwa kumpa kichwaHatari sana. Alafu iran wamesema kuangusha ile ndege ni salaam tu kuonyesha kuwa wapo tayari kwa vita
Ata iyo drone Trump kasema wameitunguwa ikiwa kwenye anga huru!Hahaha. Sasa kama meli yao USA ipo km10,000,000 kutoka kwenye bahari/teritorry ya iran si watalii to hao
Wasije wakalalamika oooh tunaonewa.
Iran iliwahi kuishusha (HACK) US DRON miaka kadhaa huko nyuma
Wanajitahidi ila yaliyoikuta Iraq, Libya yanawakaribia
Sema dah jamaa wamawaita watali wanao.shangaa maji au!
Poleni Sana , hila US amezidi kumfuata kumfuata Iranmkuu sisi tulioko huku Gulf ndio tunausoma mchezo wote hali ni hatari sana usiombe kaka. Tuombe dua haya mambo yaishe kimya kimya tu wengine tunaishi jirani na ma base ya us, logistic inayofanywa si mchezo kaka, hawa jamaa wasikie tu.