Wild Thoughts
JF-Expert Member
- Mar 17, 2019
- 562
- 992
Mbona anashikwa matako kabisa.[emoji23][emoji23]mmarekani sikuhz anachezewa sharubu
Mbona anashikwa matako kabisa.[emoji23][emoji23]mmarekani sikuhz anachezewa sharubu
Mwanzoni nilijua kuwa shule zenu za kata "zinawafunza" ujinga, lakini kumbe si hilo tu; zinawafunza pia "kujivunia" ujinga! Hongera mno mkuu! Umehitimu.Bora tukae na ujinga wetu,kuliko kuwa wambea kwa kuchunguza vya watu[emoji3]
😂😂😂😂😂😂Mbona anashikwa matako kabisa.
Zaku ibiwa mvua [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Propaganda za USA tushazichoka,sasa tunataka propaganda za Iran.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
DuuuuuuuuuMwanzoni nilijua kuwa shule zenu za kata zinawafunza ujinga, lakini kumbe si hilo tu; zinawafunza pia kujivunia ujinga! Hongera mno mkuu! Umehitimu.
Zile ni za Kenya 😂😂😂😂😂😂😂😂🙏🙏Zaku ibiwa mvua [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Angalia kule Venezuela,Syria kote huko yupo Russia, USA kaishia kutingisha tu kiberiti na kupiga kimya.Sema,ni kweli wazungu wapo kwa maslahi yao tu basi.Kokote aliko Russia ni kwa maslahi.Na kokote aliko USA ni kwa maslahi.
libya na iraq russia hakuingia,ila kwa sasa pale libya yupo na haftar na us yupo na haftar...syria ana maslahi mapana ndomana kaingia mazima na hajashindwaKatika vita zote US na RUSSIA wapo antagony na mwisho wa siku US allies wanashinda, Libya, Iraq Syria,
Sehemu ambapo US hatii.mguu ni.nchi zilizomeguka kutoka USSR
Ila kwa ARAB wanachezea watu akili wanafanya biashara
libya na iraq russia hakuingia,ila kwa sasa pale libya yupo na haftar na us yupo na haftar...syria ana maslahi mapana ndomana kaingia mazima na hajashindwa
Iran sio wageni wa vita ndugu, soma historia yao ya kuanzia 1978 hadi manzoni 1990's. Marekani alishajaribu kuibomoa Iran na kupata tabu sana.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Iran iliwahi kuishusha (HACK) US DRON miaka kadhaa huko nyuma
Wanajitahidi ila yaliyoikuta Iraq, Libya yanawakaribia
syria wamepeleka jeshiUnakwama mkuu wanaingia indirect wanasupply silaha sio kupigana, hata Vietnum Russia aliingia kuuza silaha, we ulizani anapeleka jeshi??
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Iran alipigana na weak Iraq back in days saivi anasumbuliwa na Israel pale SyriaIran sio wageni wa vita ndugu, soma historia yao ya kuanzia 1978 hadi manzoni 1990's. Marekani alishajaribu kuibomoa Iran na kupata tabu sana.
syria wamepeleka jeshi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Iran alipigana na weak Iraq back in days saivi anasumbuliwa na Israel pale Syria
dege ya urusi ilitunguliwa,comando wao aliomba alipuliwe baada ya kuona adui atamkamataWanapeleka TACTICAL team kuINSTALL vifaa wanavyouza kama S300 walizouza juzikati sio kwenye battlefield
Isreal anamkimbiza Iran pale Syria anapiga kila wanakaa ingekua inapakana Iran ingechakaaIran baada ya kuondolewa Shah madarakani na ubalozi wa marekani Tehran kuvamiwa na wafanyakazi wake wote kutekwa, marekani ilijaribu mara nyingi kuivamia Tehran ili kuwakomboa diplomats wao lakini walishindwa mara zote na Iran ya wakati huo ilikua kama imesambaratika. Marekani iliamua kuitumia Iraq kuwapiga wa Iran na mwishowe walishindwa. Uadui wa Israel dhidi ya Iran haujaanza leo mkuu.
Mwanzoni nilijua kuwa shule zenu za kata "zinawafunza" ujinga, lakini kumbe si hilo tu; zinawafunza pia "kujivunia" ujinga! Hongera mno mkuu! Umehitimu.
dege ya urusi ilitunguliwa,comando wao aliomba alipuliwe baada ya kuona adui atamkamata
Isreal anamkimbiza Iran pale Syria anapiga kila wanakaa ingekua inapakana Iran ingechakaa
Very soon Israel itapata tabu sana.