Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 34,608
- 59,731
Na usimsahau Mchina pia kamwambia Iran kaza kambaRussia tayari ashampa tahadhari USA.Si unajua tena sehemu anapotia mguu Russia, USA anakuwa mpole.
Na usimsahau Mchina pia kamwambia Iran kaza kambaRussia tayari ashampa tahadhari USA.Si unajua tena sehemu anapotia mguu Russia, USA anakuwa mpole.
Hii kaliMwanzoni nilijua kuwa shule zenu za kata "zinawafunza" ujinga, lakini kumbe si hilo tu; zinawafunza pia "kujivunia" ujinga! Hongera mno mkuu! Umehitimu.
Haikuwa weak Iraq, ilikuwa ndio nchi yenye nguvu kuliko zote Middle East na ilikuwa inapewa silaha zote kutoka West lakini pamoja na hayo haikufua dafu mbele ya Iran[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Iran alipigana na weak Iraq back in days saivi anasumbuliwa na Israel pale Syria
S500 Urusi mwenyewe hana,bado anazifanyia majaribio.Uturuki na Russia ni majirani na wanafanya biashara mkuu.
Kumbuka USA amegoma kuiuzia F35 stealthy figher Uturuki kwa sababu inamenunua S500 kwa Russia na sasa Uturuki inataka kununua S57 kama mbadala wa S36 zote ni stealthy fighter jet
Kwani hao Waarabu unadhani hawakusaidiwa?!Najua sana kuliko ujuavyo wewe! Kama vita ya Hamas na IDF bado Waliishiwa ammunitions na wakawa wanauziwa na UK sembuse vita ya 1967? Msukaririshwe zama soma
S500 Urusi mwenyewe hana,bado anazifanyia majaribio.
Su-57 ya Mrusi ina matatizo kibao ndo maana India ikaamua kujitoa sababu hawakuridhishwa na ubora wa hiyo Ndege
🙏🙏🙏🙏🙏Haikuwa weak Iraq, ilikuwa ndio nchi yenye nguvu kuliko zote Middle East na ilikuwa inapewa silaha zote kutoka West lakini pamoja na hayo haikufua dafu mbele ya Iran
S57 bado haijaingia sokoni mkuu wala s500 zipo kwenye majaribioS500 Urusi mwenyewe hana,bado anazifanyia majaribio.
Su-57 ya Mrusi ina matatizo kibao ndo maana India ikaamua kujitoa sababu hawakuridhishwa na ubora wa hiyo Ndege
Kama vile alivyopigwa Assad wa Syria ambaye bado anadunda tu.😂😂😂😂😂😂😂Yajayo yanasikitisha sana kwa iran.... This time anatafutiwa kila aina ya uchokoz apigwe... Ni swala la muda tu, pamoja na mbwembwe zote hiz za iran kuwa anaweza kupiga battle na America lakini kuna watu hawataamini kitakachomkuta iran....
😂😂😂😂😂😂😂.![]()
U.S. sources confirm Iran shot down American drone
Iran's state news agency claims the drone was shot down when it entered the country's airspace over the province of Hormozgan; U.S. official says the drone, Navy MQ-4C Triton, was shot down by an Iranian surface-to-air missilewww.ynetnews.com
Marekani baada yakukanusha sasa imekiri kua Ndege yake ya gharama imedondoshwa na jeshi la Iran
Hahaaa, propaganda tuu. Iran bado sana
Uturuki imenunua lini hiyo S-500,unaweka weka ushahidi!!You are outdated mkuu
Iran siyo dhaifu kihivyo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Iran iliwahi kuishusha (HACK) US DRON miaka kadhaa huko nyuma
Wanajitahidi ila yaliyoikuta Iraq, Libya yanawakaribia
Endelea kuota huku ukidanganywa na HELMET wanaojifanya kuwa ni waokoaji kumbe ni kikundi cha USA na Israel ambacho kimeshashindwa mbele ya Russia.Urusi anafanya mashambulizi mara kwa mara Syria na juzi kafanya tena alafu cha ajabu analenga misikiti na makazi ya watu akiulizwa kwanini anajibu ni target za maadui!
U.S. hajaufyata Syria bado yupo Assad lazima ataondoka muda wake haujawadia tu, Maduro huoni propaganda zake alizozianza kuwa Juan guaido anatumia fedha za U.S. vibaya anatanua na makahaba kwenye hotel za nyota tano katoa hadi ushahidi wa risiti ili U.S. waache kumuunga mkono.
Jeshi la U.S. linaogopwa sana na maduro sasa hivi wanaishi maisha kama ya Cuba ya enzi za Fidel Castro, maduro asipoondoka sasa muda wa uchaguzi ukifika unakuwa mwisho wake mbaya!
Iran siyo dhaifu kihivyo
😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤪🤪Tunasubiri wakavamie pale kwa Maduro 😂😂😂😂😂Urusi anafanya mashambulizi mara kwa mara Syria na juzi kafanya tena alafu cha ajabu analenga misikiti na makazi ya watu akiulizwa kwanini anajibu ni target za maadui!
U.S. hajaufyata Syria bado yupo Assad lazima ataondoka muda wake haujawadia tu, Maduro huoni propaganda zake alizozianza kuwa Juan guaido anatumia fedha za U.S. vibaya anatanua na makahaba kwenye hotel za nyota tano katoa hadi ushahidi wa risiti ili U.S. waache kumuunga mkono.
Jeshi la U.S. linaogopwa sana na maduro sasa hivi wanaishi maisha kama ya Cuba ya enzi za Fidel Castro, maduro asipoondoka sasa muda wa uchaguzi ukifika unakuwa mwisho wake mbaya!
Kwa North Korea pia tulisema hivyo hivyo na ni kweli USA amevamia 😂😂😂😂😂😂Hata Iraq na Libya mlisema hivyo hivyo