Iran yatungua Drone ya US RQ-4 Global Hawk

Iran yatungua Drone ya US RQ-4 Global Hawk

Mkuu iran washasema kama usa nwanaume kweli basi asogeze ile meli yake kibwa ya kubebea ndege kwenye maji ya iran. Kasema ataizamisha ndani ya dakika moja. Iran amesema hiyo meli ibaki huko huko na watalii wake. Hahah eti wanajeshi wa marekani watalii nimecheka sana
Hahaha!!
Wanajeshi wa marekani siku hizi wamekua wataliii ! Iran bana
 
Ah bora Marekani waangushwe tyu
Toka nipate ile habari ya Majeshi ya bush kuwakamata wajeda wa iraq na kuwabakisha na mbwa Yani mbwa wanawalawiti wanajeshi wa iraq nilimwona jamaa ana ukatili sana.
Aisee namchukia hadi leo mm ningepewa hela niitunze familia yangu km $ 1 million halafu niambiwe nikajitoe mhanga America pale Pentagon ama white house sisiti naenda mia mia
Sawa CIA tumekuona you will suffer
 
Hahaha hawezi kulipa Ng'ombe yule. .amesha kuwa simba wa Ku chora
sasa myahudi anasumbulia na hamas warusha mawe ndo atamuweza muajemi,iran ana kila technology kwenye medani za kivita,,

US si aende sasa mwinzie iran keshaputa mchanga kwenye kiganja cha US,,sasa kazi kwake kujibu,
 
Hapa kazi IPO Sie mafuta yameanza kupanda wiki iliyo pita
 
Iran sio wageni wa vita ndugu, soma historia yao ya kuanzia 1978 hadi manzoni 1990's. Marekani alishajaribu kuibomoa Iran na kupata tabu sana.
Kweli, si miaka ya 1990's tu hadi sasa mipango ya chinichini ipo. sio rahisi kuibomoa Iran.
 
Katika hali ya Uhasama inayoendelea baina ya US na Iran Leo Iran imeitungua Ndege isiyokua na Rubani aina ya Global Hawk uko mashariki mwa Iran maeneo ya Jask! RQ-4 Global Hawk ni aina ya Drone inayotegemewa sana na Marekani ktk masuala ya Intelligence, kwani sifa yake kubwa ni kupaa ktk attitude ya juu sana na kukaa hewani bila kuongezewa mafuta kwa masaa mengi na iliundwa maalaumu kuzinguka dunia kwa mantiki iyo duru zinaonesha huenda ilitokea Germany kwenda directly to Iran then irudi ni Drone kubwa sana zaidi ya Ndege nyingi tu kwa ukubwa wa mabawa yake.

Naona Mrusi anazidi kujiamini
 
Yajayo yanasikitisha sana kwa iran.... This time anatafutiwa kila aina ya uchokoz apigwe... Ni swala la muda tu, pamoja na mbwembwe zote hiz za iran kuwa anaweza kupiga battle na America lakini kuna watu hawataamini kitakachomkuta iran....
We waache tu
 
Katika hali ya Uhasama inayoendelea baina ya US na Iran Leo Iran imeitungua Ndege isiyokua na Rubani aina ya Global Hawk uko mashariki mwa Iran maeneo ya Jask! RQ-4 Global Hawk ni aina ya Drone inayotegemewa sana na Marekani ktk masuala ya Intelligence, kwani sifa yake kubwa ni kupaa ktk attitude ya juu sana na kukaa hewani bila kuongezewa mafuta kwa masaa mengi na iliundwa maalaumu kuzinguka dunia kwa mantiki iyo duru zinaonesha huenda ilitokea Germany kwenda directly to Iran then irudi ni Drone kubwa sana zaidi ya Ndege nyingi tu kwa ukubwa wa mabawa yake.

Inawezekana hii ni janja ya America kutungua ndege yake mwenyewe ili kuishambulia Iran kama chadema wanavyowateka kuwapiga Risasi na kuwaua wanachama wake ili ionekane serika Ndiyo inafanya. Hizi mbinu Mataifa ya Magharibi wanatumia sana.
Naamini America wametungua ndege yao wenyewe ili kuambiwa washirika wake kuwa Iran imewachokoza
 
Back
Top Bottom