Iran yatungua Drone ya US RQ-4 Global Hawk

Iran yatungua Drone ya US RQ-4 Global Hawk

Hamna lolote mikwara tu hiyo mbona kashindwa na kiduku pale kila siku anaachia makombora kaita vikao weeee mwisho kaufyata. Huyo mmarekani wenu atawasumbua wajinga wajinga tu lakini wenye silaha zao thubutuuu
Hivi N.Korea bado wanaendelea kufanya majaribio ya makombora?
 
sasa chif akiziba hapo saudia si atapitishia meli zake huku egypt,,?..au mm ndo sijaelewa,,lkn pia iran atamtoa nishai yule babu siku si nyingi,
Hicho kinjia hapo oman na iran unakiona? Meli za mafuta kutoka saudia, iraq na oman lazima zipite hapo. Iran ndio anasema ataziba hiyo njia ikibidi. Kumbuka saudia peke yake anazalisha pipa milioni 2 kwa siku
 
Mzozo unaoendelea kati ya Marekani na Iran umepelekea bei ya mafuta kuobgezeka katika soko la dunia kuanzia hapo jana.

Hiyo inajiri baada ya ndege isiyokuwa na rubani kukatisha kwenye eneo la anga ya Iran na kikosi cha anga cha iran kuipiga ndege hiyo.

_107470847_75525269-9331-47b3-bfdb-bb8673acada8.jpg


Rais wa Urusi Vladimir Putin ameonya kuwa "vita baina ya mataifa hayo mawili italeta janga ambalo madhara yake yumkini hayana mfano wake"

Kauli hiyo inaonyesha jinsi gani urusi inavyoomuunga mkono iran na kutoa kitisho kwa marekani, hali inayofanya white house kupunguza nguvu.

NB. Vita kati ya nchi yoyote ya kiarabu inayoweza kuletwa nabmarekani inaonyesha kuwa pigo kubwa kwa utawala wa Trump.

👇 Ni sinema ambayo jeshi la iran liliiweka kwenye mtandao wao wa YouTube kuonyesha jinsi walivyoitungua ndege hiyo ya marekani.


 
Hamas ni magaidi na huwezi kupambana na magaidi ni ngumu, lakini watoke front line waone mziki wake
sasa myahudi anasumbulia na hamas warusha mawe ndo atamuweza muajemi,iran ana kila technology kwenye medani za kivita,,

US si aende sasa mwinzie iran keshaputa mchanga kwenye kiganja cha US,,sasa kazi kwake kujibu,
 
Hamas sio magaidi hizo ni fikra zako za ww na wamarekani wenzako.
Hamas wako kwaajili ya Palestines hususan kutetea msikiti wa Masjid aqsa unafaa umuite Netanyahu gaidi anaevamia nyumban kwa Hamas sio Hamas ndio umuite gaid
Hamas ni magaidi na huwezi kupambana na magaidi ni ngumu, lakini watoke front line waone mziki wake
 
Ndg Mwarabu wa jf, Hamas ni magaidi sababu wanatumia mbinu za kigaidi, vinginevyo watqngaze vita tuone
Hamas sio magaidi hizo ni fikra zako za ww na wamarekani wenzako.
Hamas wako kwaajili ya Palestines hususan kutetea msikiti wa Masjid aqsa unafaa umuite Netanyahu gaidi anaevamia nyumban kwa Hamas sio Hamas ndio umuite gaid
 
Kwanza magaidi ni majitu yanayodhuru/kushambulia kwa lengo ya kushinikiza kile wakitacho kwa nchi au kundi flani.
Terrorism is, in the broadest sense, the use of intentionally indiscriminate violence as a means to create terror among masses of people; or fear to achieve a religious or political aim. the unlawful use of violence and intimidation, especially against civilians, in the pursuit of political or religious aim.

Ichanganue hyo tafsir mkuu ya ugaidi then nieleze Kati ya Hamas na Israel nan anashinikiza kitu kwa mwenzake.?!
 
Back
Top Bottom