Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,305
Kama habari hii ni ya kweli yetu masikio
Nyie watanganyika mmetengeneza ndege ipi?
Nyie watanganyika mmetengeneza ndege ipi?
Iran shoots down US military spy drone
Kwanza magaidi ni majitu yanayodhuru/kushambulia kwa lengo ya kushinikiza kile wakitacho kwa nchi au kundi flani.
Kama kumsumbua Mungu kwa maombi T_stars ije na kombe la AfconHuo ni "USHABIKI" uliopitiliza ndugu!
Maana Israel ndio inaishinikiza na kuua wanyonge wa Palestines ili waibe ardhi ya Ghazar.Asa mkuuu nan gaidi kat ya hao.?!
Hamas analenga sana kuulinda msikiti wa al,aqsa asa mkuu nan gaid kat ya hao wawili nipe ufafanuzi mkuu?!
Huwa najaribu sana kuepuka ubishani wa kidini, hauna mizania bali unaegemea imani, naomba nikae pembrni, nikifunguka nitagusa wengi
Muda mwingine mtu akishashiba mamung'unya mmuache tu abwabwaje tuUshaona kaka tukiongea facts twaambiwa turudi shule.
Israel ni mziki mwingine, lakini siyo Marekani!!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Iran alipigana na weak Iraq back in days saivi anasumbuliwa na Israel pale Syria
Mkuu nielekeze unai share in how hii video from youtube kama ulivyofanya ?!Kaka hii kauli ya Iran"we were ready for war" ni hatary
Kaka nielekeze una ishare kivp video YouTube kama ilivyofanya?!
Iran releases video purporting to show U.S. drone shoot-down
Israel hawawezi wa Iran, kumshinda Iran ni ndoto.Israel ni mziki mwingine, lakini siyo Marekani!!!!
Hamas ni magaidi na huwezi kupambana na magaidi ni ngumu, lakini watoke front line waone mziki wake
Wanaofuatilia global balance of power wanajua global secret military alliances between US and Russia itakuwa ni technology ya warusi hiyo nadhani wengine wanakumbuka jinsi Taliban walivyoitungua kirahisi ndege ya kisasa isiyoonekana ktk radar stealthy bombers US na Russia wanaonyeshana misuli ndio maana Trump amewithdraw kulipiza kisasi adui aliye nyuma ya Iran ndio shida kubwa kwake inabidi wajipange sanaKatika hali ya Uhasama inayoendelea baina ya US na Iran Leo Iran imeitungua Ndege isiyokua na Rubani aina ya Global Hawk uko mashariki mwa Iran maeneo ya Jask! RQ-4 Global Hawk ni aina ya Drone inayotegemewa sana na Marekani ktk masuala ya Intelligence, kwani sifa yake kubwa ni kupaa ktk attitude ya juu sana na kukaa hewani bila kuongezewa mafuta kwa masaa mengi na iliundwa maalaumu kuzinguka dunia kwa mantiki iyo duru zinaonesha huenda ilitokea Germany kwenda directly to Iran then irudi ni Drone kubwa sana zaidi ya Ndege nyingi tu kwa ukubwa wa mabawa yake.
![]()
Iran claims it shot American drone, US military doesn't comment
Iran has shot down an American RQ-4 reconnaissance drone flying over Hormuzgan province, Tehran claims. The US military declined to comment.www.rt.com
kuandika kwenyewe ni tatizo kwako
Mi sielwi unachocheka. Kwani hujaelewa hapo au unafanya makusudi
Ushabiki mwingine ni aibu tupu, Irani hamuwezi hata Myahudi sembuse US
Kwanza magaidi ni majitu yanayodhuru/kushambulia kwa lengo ya kushinikiza kile wakitacho kwa nchi au kundi flani.