Iran yatungua Drone ya US RQ-4 Global Hawk

Iran yatungua Drone ya US RQ-4 Global Hawk

Inawezekana hii ni janja ya America kutungua ndege yake mwenyewe ili kuishambulia Iran kama chadema wanavyowateka kuwapiga Risasi na kuwaua wanachama wake ili ionekane serika Ndiyo inafanya. Hizi mbinu Mataifa ya Magharibi wanatumia sana.
Naamini America wametungua ndege yao wenyewe ili kuambiwa washirika wake kuwa Iran imewachokoza
Umeandika kishabiki sana....alietungua kasema katungua, alietungulia kasema katungulia na alikiri kumtungua....maneno makali yanaendelea baina yao.....na ulimwengu unajitahidi kuwapatanisha halafu wewe unaandika theory ya ajabu kabisa kama hiyo....fuatilia mambo.
 
Umeandika kishabiki sana....alietungua kasema katungua, alietungulia kasema katungulia na alikiri kumtungua....maneno makali yanaendelea baina yao.....na ulimwengu unajitahidi kuwapatanisha halafu wewe unaandika theory ya ajabu kabisa kama hiyo....fuatilia mambo.
Vita ni Biashara vita ni siasa
Wairan lazima waseme kuwa wametungua ili waonekane wako vizuri ktk silaha wawavutie biashara mkuu
 
Vita ni Biashara vita ni siasa
Wairan lazima waseme kuwa wametungua ili waonekane wako vizuri ktk silaha wawavutie biashara mkuu
Ni kweli..lkn hawasemi kutoka hewani tu...wanasema kitu walichokifanya kweli kweli..na ushahidi upo..na ulimwengu mzima umehakiki.....Kama unavyosema ni achievement kubwa kwao...na ndo maana US bado hajatoa jibu linaloeleweka zaidi ya kuwa embarrased.....
 
Ni kweli..lkn hawasemi kutoka hewani tu...wanasema kitu walichokifanya kweli kweli..na ushahidi upo..na ulimwengu mzima umehakiki.....Kama unavyosema ni achievement kubwa kwao...na ndo maana US bado hajatoa jibu linaloeleweka zaidi ya kuwa embarrased.....
Mimi wamerikani siwaamini tangu wampige Saddam bila kosa na kuacha nchi ya Iraq magofu sitokaa niwaamini America
Wamempiga Ghadafi bila kosa Leo walibya wanateseka na vita na madeni nchi ambayo ilikuwa haidaiwi
 
Kadri siku zinavyoenda wanaomkazia US wanazidi kuongezeka.
Russia,China,Pakstan,North Korea,Iran,Venezuela,palestina,India,Turkey nk.

Mmarekani inabidi yeye kama yy ajiulize ,kwa nini kila siku mataifa yanayompinga yanaongezeka,kwani alichofanya Iran yupo sawa kabisa,sababu analinda nchi yake na raia wake.

Sasa wewe unaingiza ndege ya upelelezi katika taifa la mwenzio ili iweje,alafu mtu unayemfanyia hivyo ushamtisha mara kibao,hata kama ilipita katika anga la kimataifa lakini lengo ya ile ndege ilikuwa baya,Iran wapo sawa kabisa.
 
Katika hali ya Uhasama inayoendelea baina ya US na Iran Leo Iran imeitungua Ndege isiyokua na Rubani aina ya Global Hawk uko mashariki mwa Iran maeneo ya Jask! RQ-4 Global Hawk ni aina ya Drone inayotegemewa sana na Marekani ktk masuala ya Intelligence, kwani sifa yake kubwa ni kupaa ktk attitude ya juu sana na kukaa hewani bila kuongezewa mafuta kwa masaa mengi na iliundwa maalaumu kuzinguka dunia kwa mantiki iyo duru zinaonesha huenda ilitokea Germany kwenda directly to Iran then irudi ni Drone kubwa sana zaidi ya Ndege nyingi tu kwa ukubwa wa mabawa yake.

Usen** urss yaonya ni hapo?
 
Inawezekana hii ni janja ya America kutungua ndege yake mwenyewe ili kuishambulia Iran kama chadema wanavyowateka kuwapiga Risasi na kuwaua wanachama wake ili ionekane serika Ndiyo inafanya. Hizi mbinu Mataifa ya Magharibi wanatumia sana.
Naamini America wametungua ndege yao wenyewe ili kuambiwa washirika wake kuwa Iran imewachokoza
Mkuu akili zako ndio zimefikia kikomo au kuna zingine bado hujazitumia hahaha
 
Hivi mkuu sababu hasa ya Sadam Hussen kupigana na Iran miaka ya 1980 ilikua ni nini?
Maana mpaka leo mimi nmeshindwa kabisa kuelewa lengo la vita ile iliyo chukua miaka 8 mpaka Sadam akatumia silaha za kemikali lakini dunia yote ikamfumbia macho.
Sababu kubwa kabisa Ni Iraq kutaka kuondoa utawala wa kishia was Iran, coz Saddam alkwa msuni. Lakini hili lilichochewa zaidi na US+ allies aliyekwa nyuma ya sadam akiwafadhili silaha Kama ndege Vita, eg Ni katika kipindi hiki mfaransa aliwauzia Iraq mirage fhter jet.
Nyingine Ni kwamba Iraq alitaka kupigana na wakurdi was Iraq na Iran waliokwa wakitaka kujitenga na Iraq wakifadhiliwa na Iran.
Nyingine Iraq alitaka kufanya occupation ya mikoa ya mpakani na Iran ambapo alifanikiwa mwanzoni ila anashindwa vibaya kwn yote yalirudishwa na iran
 
Inawezekana hii ni janja ya America kutungua ndege yake mwenyewe ili kuishambulia Iran kama chadema wanavyowateka kuwapiga Risasi na kuwaua wanachama wake ili ionekane serika Ndiyo inafanya. Hizi mbinu Mataifa ya Magharibi wanatumia sana.
Naamini America wametungua ndege yao wenyewe ili kuambiwa washirika wake kuwa Iran imewachokoza
Mmmh mkuu iran mwenyewe kaitungua hiyo drone wala sio janja ya America .
Hivi wewe unaweza kukiri usichokifanya ?!
 


US-Iran: "The US has a weak hand... everyone know that it won't go to war"
 
Mbona zipo Syria na F16 zinaingia na kupiga kambi za Iran
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hizo ni S 300 za Mrusi, Marekani kajaribu kupitisha drone kaona hatari yake , kazuia haraka ndege zake .

 
The US MQ-4C Spy drone was supposed to be a Stealth drone, a drone the arrogant Americans think the Iranians will not see. All the latest advanced US technology was included in this drone. But the Iranians not only saw it but casually destroyed it with an Iranian-made Air Defense System. The Iranians saw it from the moment it took off from a UAE airbase and monitored all its flight
 
Back
Top Bottom