clinical pharmacology2
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,387
- 2,516
Let's wait a US resolve
Isreal anamkimbiza Iran pale Syria anapiga kila wanakaa ingekua inapakana Iran ingechakaa
Not only a mistake,
But a very big mistake
[emoji23][emoji23][emoji23]
In trump voice..
Wakilipiza kisasi msije mkaanza kulia hooo, USA Giant Eagle [emoji1659] Hana huruma. Maana akimwaga Sumu pale Teheran wakafa watu Milioni Moja mkasema hooo na kulia mkiwa na akina Ayatollah Khomeini wa Mwananyamala, manzese na kekoAaah tushamzoea hana lolote mkodi majeshi tu yale hapo anategemea NATO washughulike.
Ila kwa muhajemi mchizi boti atulie tyu
So Trump thinks someone might have been in a drone 😁 😁Not only a mistake,
But a very big mistake
[emoji23][emoji23][emoji23]
In trump voice..
Hapo kwenye red,ndio vita hua inapiganwa hivyo? hivi unazijua sheria za vita za kimataifa? naona unajadili vitu vya msingi kishabiki kama vile unajadili ligi ya mpira ya Uingereza!Wakilipiza kisasi msije mkaanza kulia hooo, USA Giant Eagle [emoji1659] Hana huruma. Maana akimwaga sumu pale teheran wakafa watu milioni moja mkasema hooo na kulia mkiwa na akina Ayatollah Khomeini wa Mwananyamala, manzese na keko
Yani Iran imemchanganya kweli mpaka PM wa Canada amebidi arudi na kichekesho kwao, Trump anadhani drone ina pilot na ma engineering, kichaa kweli hivi walio mchagua si watajiona wajingaAaah tushamzoea hana lolote mkodi majeshi tu yale hapo anategemea NATO washughulike.
Ila kwa muhajemi mchizi boti atulie tyu
Wewe tena bro mzee wa hapo kwenye redHapo kwenye red,ndio vita hua inapiganwa hivyo? hivi unazijua sheria za vita za kimataifa? naona unajadili vitu vya msingi kishabiki kama vile unajadili ligi ya mpira ya Uingereza!
Wewe ambae ndio, mtaaaramu wa Maswala ya mataifa, ndio utupe update SasaHapo kwenye red,ndio vita hua inapiganwa hivyo? hivi unazijua sheria za vita za kimataifa? naona unajadili vitu vya msingi kishabiki kama vile unajadili ligi ya mpira ya Uingereza!
Ah bora Marekani waangushwe tyuYani Iran imemchanganya kweli mpaka PM wa Canada amebidi arudi na kichekesho kwao, Trump anadhani drone ina pilot na ma engineering, kichaa kweli hivi walio mchagua si watajiona wajinga
😀
Thubutu yake alishindwa kipindi kile iran ipo nyonde nyonde ataiweza sasaWakilipiza kisasi msije mkaanza kulia hooo, USA Giant Eagle [emoji1659] Hana huruma. Maana akimwaga Sumu pale Teheran wakafa watu Milioni Moja mkasema hooo na kulia mkiwa na akina Ayatollah Khomeini wa Mwananyamala, manzese na keko
Hiv mkuu unaweza kunikumbusha chanzo cha Bush kumgeukia Saddam Hussein ?Hapo kwenye red,ndio vita hua inapiganwa hivyo? hivi unazijua sheria za vita za kimataifa? naona unajadili vitu vya msingi kishabiki kama vile unajadili ligi ya mpira ya Uingereza!
😂😀Sawa mura.Wewe ambae ndio, mtaaramu wa Maswala ya mataifa, ndio utupe update Sasa
Ayatoullah Khomeini
Chunga vidole vyako sana!Hahahah. Iran hataki upuuzi
Hajazungumzia pesa bwana acha mahaba yaliyopindukia kasema Dege lilikuwa kwenye international air space Iran walichokifanya Watajibiwa vikali!Kasema Iran wamefanya kosa kutungua mzigo wa pesa nyingi Sana Iran nao wamejibu kuwa kicheche yoyote atakaye ingia ndani ya mpaka wao hatarudi au nimetafsiri vibaya wa jameni!!
Borders are our redline, and any enemy violating these borders will not go back,” Salami continued.View attachment 1132784
Mzigo wa maana
View attachment 1132788
Duh
Chunga vidole vyako sana!