Iran yajaribu kupitisha Uranium Tanzania!

Iran yajaribu kupitisha Uranium Tanzania!

Haina neno hiyo kama wanalipa ushuru.....Sisi marekani siyo walinzi wetu wa kutuzuia kufanya biashara.
Sisi ni nchi huru na tuna uwezo wa kua rafiki na nchi yeyote duniani kwa maslahi ya nchi yetu.

Wewe unaijua vizuri Iran chini ya Ahmedinejad, halafu iwe na nuclear?
 
Haina neno hiyo kama wanalipa ushuru.....Sisi marekani siyo walinzi wetu wa kutuzuia kufanya biashara.
Sisi ni nchi huru na tuna uwezo wa kua rafiki na nchi yeyote duniani kwa maslahi ya nchi yetu.

Mkuu unazungumza as if wewe ndiye Membe mwenyewe!!! Unajua madhara ya hiyo biashara lakini?

Tiba
 
Duh ccm ya Kiirani, kiarabu kumbe ndio sababu wanapandikiza udini Tz ? Bravoo wokileaks
 
Wewe unaijua vizuri Iran chini ya Ahmedinejad, halafu iwe na nuclear?

Mi nakuhakikishia kijana fuatilia vizuri kuhusu historia ya nuclear iran utagundua kua wamarekani wanajihami tu kwa kunyimwa resources pale.
Je wakumbuka vizuri vita ya Iran na Irak? Je ni nani aliyekua anaisupport Iran? na Je leo imekuaje waliokua wanassuport Iran na kuwauzia silaha ni maadui wa iran now?. Russia ndo mkandarasi wa vinu vya Nuclear Iran now Je mbona mmarekani hadhubutu kutia maguu kwa mrassia na kumwambia asiwape iran technology??
WHATCH OUT MKUU WESTERN COUNTRY SIYO WATU WA KUJIPENDEKEZA KWAO SANA. Everyone yupo after maslahi ya nchi yake.
 
Mkuu unazungumza as if wewe ndiye Membe mwenyewe!!! Unajua madhara ya hiyo bishara lakini?

Tiba
Mzee Tiba Usiogope uuzaji wa Uranium maadhara yake ni kama ya global warming kwenye climate change vile. Wewe usipouza wenzako wanauza na maadhara yanahathiri dunia nzima bila kujali muuzaji, mtumiaji wala mnunuzi.
Kwa hiyo leo hii Uranium yetu we utakubaliana na wamarekani kua sisi haturuhusiwi kumiliki kinu cha nuclear coz ni maskini ila uranium tuwauzie wao!! HII INAKUINGIA AKILINI?
JE NI NCHI NGAPI NOW DUNIANI ZINAMILIKI NUCLEAR POWER PLANT? je kuna sababu gani kuwanyima iran wasiwe na nuclear power kama wako open kwa umoja wa mataifa kufanya ukaguzi?
 
Haina neno hiyo kama wanalipa ushuru.....Sisi marekani siyo walinzi wetu wa kutuzuia kufanya biashara.
Sisi ni nchi huru na tuna uwezo wa kua rafiki na nchi yeyote duniani kwa maslahi ya nchi yetu.

Asilimia tisini ya misaada tunayoipata Tanzania inatoka Marekani. Yaani siku Marekani ikijitoa kabisa ndo tumekwisha kabisa. Ukienda sekta ya Afya kule ndo asilimia 95 ni suport ya kutoka USA. mfano mzuri angalia hata hiz ARVs wanazotumia wagonjwa wa ukimwi zinatolewa bure kwasababu ni msaada kutoka USA sasa siku wastop ghafla kutoa msaada huo nini kitatoke kwa Watanzania
 
Ndiyo maana CCM wanapokea pesa kutoka kwa videvu vile vya Iran kwa kuwapa access ya kupitisha madini yenye sumu za mionzi.
Mama,baba shangazi wajomba na ndugu zetu wataishia kuvaa vikoi vya kijani huku wakikohoa vumbi la uranium na CCm kupenda na Mashangingi kila kona.
Sasa maana ya CCM kuwa Chama Cha Maharamia naiona wazi.
 
Asilimia tisini ya misaada tunayoipata Tanzania inatoka Marekani. Yaani siku Marekani ikijitoa kabisa ndo tumekwisha kabisa. Ukienda sekta ya Afya kule ndo asilimia 95 ni suport ya kutoka USA. mfano mzuri angalia hata hiz ARVs wanazotumia wagonjwa wa ukimwi zinatolewa bure kwasababu ni msaada kutoka USA sasa siku wastop ghafla kutoa msaada huo nini kitatoke kwa Watanzania
Huu sio ukweli. Si kwamba Marekani wanatoa 90% ya misaada.
Hebu tuwe wakweli kuhusu hili. Hivi Tanzania imewahi kutamka bayana kwamba inamatatizo na nuklia ya Iran? Hii mie naiona si habari. Maana Tanzania haijawahi kukataa kuwa na mawasiliano na Iran na pia haijawahi kuishutumu Iran juu ya Nuklia. Kwani kila linalopingwa na Marekani ni lazima liwe sahihi dunia nzima? Nchi ngapi zinamiliki Nuklia? Nchi ngapi zimefanikiwa kiviwanda kutokana na kutegemea umeme wa nuklia ambao unaaminika ni nafuu?
 
Kuruhusu kupitisha uranium ya Irani kwa Marekani ni sawa na kuwasaidia magaidi, Tanzania imeitibua Marekani ndiyo maana kila kukicha mambo yanazidi kuibuliwa, Kikwete you should watchout don't play that drama otherwise you face the music ask Mugabe.
 
Kuruhusu kupitisha uranium ya Irani kwa Marekani ni sawa na kuwasaidia magaidi, Tanzania imeitibua Marekani ndiyo maana kila kukicha mambo yanazidi kuibuliwa, Kikwete you should watchout don't play that drama otherwise you face the music ask Mugabe.
Yaani kuna watu mnacomment ili kuongeza idadi ya post hasa hapo kwenye bold. Itazame wikileaks vyema na leakage ya 250,000 cables halafu jiulize hivi inahusu Tanzania peke yake? Kama kuna nchi zitabaki bila neno basi zitakuwa chache. Kwa maneno mengine huu ni udaku wa Wamarekani amabo umevuja. Ni bahati mbaya saana kwao na ni aibu kwa intelligency yao. Pia tafsiri ya kuwa Irani ni magaidi ni ya Kimarekani zaidi. Nadhani kuna vita tunaviingilia hatuvifaham. Hawa tuwaache wapambane wao na wala yasituhusu.
 
Haina neno hiyo kama wanalipa ushuru.....Sisi marekani siyo walinzi wetu wa kutuzuia kufanya biashara.
Sisi ni nchi huru na tuna uwezo wa kua rafiki na nchi yeyote duniani kwa maslahi ya nchi yetu.
Hata Sadam Hussein alisema hayohayo kwamba Irak ni nchi huru asiingiliwe na mtu lakini wenye dunia wakamwingilia hadi uvunguni.
 
Yaani kuna watu mnacomment ili kuongeza idadi ya post hasa hapo kwenye bold. Itazame wikileaks vyema na leakage ya 250,000 cables halafu jiulize hivi inahusu Tanzania peke yake? Kama kuna nchi zitabaki bila neno basi zitakuwa chache. Kwa maneno mengine huu ni udaku wa Wamarekani amabo umevuja. Ni bahati mbaya saana kwao na ni aibu kwa intelligency yao. Pia tafsiri ya kuwa Irani ni magaidi ni ya Kimarekani zaidi. Nadhani kuna vita tunaviingilia hatuvifaham. Hawa tuwaache wapambane wao na wala yasituhusu.
Kwanini haya maskendo yanazidi sasa na si 2006? jiulize.
 
Kwanini haya maskendo yanazidi sasa na si 2006? jiulize.
haya ni maendeleo tu ya teknolojia na kushindwa kwa intelijensia ya Marekani. MAANA SIRI ZAO ZIMEKUWA WAZI. Ukifuatilia vyema habari hizi si za 2006 tu, zinaanzia nyuma zaidi.
 
hata sadam hussein alisema hayohayo kwamba irak ni nchi huru asiingiliwe na mtu lakini wenye dunia wakamwingilia hadi uvunguni.
mwisho wakeulikuwa upi? Na sababu za uvamizi zilikuwa na ukweli?
 
Hivi wanaweza kutupa ni kwakiwango gani wamekuwa wakipitisha hiyo uranium? Tupate kufahamu taifa limekosa pato kwa kiasi gani?
 
haya ni maendeleo tu ya teknolojia na kushindwa kwa intelijensia ya Marekani. MAANA SIRI ZAO ZIMEKUWA WAZI. Ukifuatilia vyema habari hizi si za 2006 tu, zinaanzia nyuma zaidi.
Kama ni habari za nyuma ndiyo maana nauliza kwa nini leo zinaibuliwa?????????????? Something is wrong somewhere. Kikwete and his co. should takecare something big is going to happen wait and see. Marekani wakidhamiria kitu whether habari ni za ukweli si za kweli huwa hawarudi nyuma hakuna cha VETO wala mdogo wake na VETO uliza vita vya Irak waliwekewa VETO lakini wakasema wanakwenda wenyewe bila msaada wa mtu, nakumbuka Bush sr alisema If you are not with us you are with them.
 
Zamani tuliwahi kusema kama nchi huru hatufungamani na upande wowote.

Sisi mpaka leo tuna ubalozi wa Palestina na hatuna ubalozi wa Israel, tuliwatimua. Huko ni kutofungamana na upande wowote je ni kuwa huru kama nchi?
Waturuki japo hawaelewani sana na Israel wana ubalozi nchini Israel.
Sisi hatukuwa na ubalozi nchini afrika kusini lakini tulikuwa tukifanya nao biashara nyingi tu. Sijui huko ndo kuwa nchi huru isiyofungamana na upande wowote?

Hakuna anaye itetea Iran au Marekani kwa sababu ya uzuri wa siasa zao wote ni Maibilisi tu.
Nipale tu mvua ukunyeapo huachi kuisifu.

Sasa sijui hiyo uranium ilikuwa kwenye mifuko ya Rambo au Visalufeti?
Yaani we acha tu
Haijawahi kutokea Kontena moja likapotea na hivyo udongo wenye mionzi kusambaa huko lilikopotelea??
 
Back
Top Bottom