Iran yajaribu kupitisha Uranium Tanzania!

Iran yajaribu kupitisha Uranium Tanzania!

mbona hili lilishasemwa muda mrefu tu? ukiona kuna kikwete kwenye selikali ambaye ni rafiki wa gaidi gadafi, ambaye ni rafiki wa iran etc, ujue mambo yote kwenye selikali nikuwapendelea waarabu, kuwafurahisha waarabu hat akama nchi yake itakuwa kwenye picha mbaya...hana lolote.
 
Kwa habari kama hizi sijui hata kama mkulu ataweza kupewa vyandarua tena huko kwa Wamarekani!Naona bakuri sasa linaweza baki tupu...ha ha!
Jamani muwe mnasoma vitu kabla ya kukurupuka kuandika vitu hivi. MArekani imeendelea kutoa misaada na bado inatoa licha ya kuwa kisiri wanapitisha Taarifa ambazo si njema kwa Tanzania na nchi nyingine. Na kabla ya kuanza kuvuja kwa habari hii, marekani ilitahadharisha nchi zote rafiki duniani juu ya leakage na ikaandaa wazipokee. Kifupi ni embarassment kwao. Ingawa Intelijensia ya nchi nyingine wanaamini ni mchezo wa kisiasa.
 
Duuuuuu hiii weakleaks ilikuwa wapi siku zote???ona sasa jk na maswahiba mnavyosasambuliwa hadharani, na bado tutayajua mafinyofinyo mengi zaidi.
 
Tunajadili uranium inayotoka Kongo tu, je hii inayopatikana hapa Tanzania tumejiuliza inakwenda wapi na kwa matumizi gani? Nchi yetu inafaidika vipi? Inakwenda Iran au marekani? Kwanini sisi tusijitahidi kuharness yetu itusaidie kutupatia nguvu nishati ya bei nafuu?
 
Yaani kuna watu mnacomment ili kuongeza idadi ya post hasa hapo kwenye bold. Itazame wikileaks vyema na leakage ya 250,000 cables halafu jiulize hivi inahusu Tanzania peke yake? Kama kuna nchi zitabaki bila neno basi zitakuwa chache. Kwa maneno mengine huu ni udaku wa Wamarekani amabo umevuja. Ni bahati mbaya saana kwao na ni aibu kwa intelligency yao. Pia tafsiri ya kuwa Irani ni magaidi ni ya Kimarekani zaidi. Nadhani kuna vita tunaviingilia hatuvifaham. Hawa tuwaache wapambane wao na wala yasituhusu.

kama havituhusu mbona tunaisaidia iran kusafirisha uranium...huu ni upopo..mara tunashirikiana na usa mara na iran..be clear ..either u r with us or against us.....JK ameamua kumfata jihadist mwenzake AHMEDINEJAD
 
Tunajadili uranium inayotoka Kongo tu, je hii inayopatikana hapa Tanzania tumejiuliza inakwenda wapi na kwa matumizi gani? Nchi yetu inafaidika vipi? Inakwenda Iran au marekani? Kwanini sisi tusijitahidi kuharness yetu itusaidie kutupatia nguvu nishati ya bei nafuu?
Kwa tabia za viongozi wetu, wala hatutashangaa wageni wakigaiwa ili watuuzie baadae.
 
avatar26355_1.gif


Adolf Hitler! acha hizo tatizo na jukumu la ulinzi wa nchi yetu ni yetu wote si kazi ya CCM pekee! Hivyo masuala yanayo ivua nguo Tanzania ni yetu wote angalia Mfano wenzetu kenya Balozi wa Marekani kaleta za kuleta wameisha muazimia kumtimua aende zake na wikileaks zake na hata hao Marekani nao wako uchi!! lakini kama unaona ni jukumu la ccm then its your point of view! and as long as wewe ni mshabiki wa Adolf Hitler I can guess wewe ni chama gani hapa nchini hasa kwa kuzingatia rangi ya mavazi kwenye avatar yako!!! Herr Hitler!!
 
Na je hii uranium ya hapo kwetu inayochimbuliwa kidogo kidogo inapelekwa wapi au bado ni utafiti kama ule wa Kabanga mine uliodumu kwa takribani miaka 30?
 
kuna mambo mengi wajamani mwanza pale airport kuna mambo mengi yanahingia kama slaa na kurudisha sheena za samaki na madini
slaa zinaenda kongo na burundi wahusika ndo hao.
 
Acheni uoga weakleaks ni ya ukweli. Msilopoke kama mnautaka ukweli tafuta report ya meremeta na deep green muone ufisadi,ujasusi na wafadhili wa vita ktk afrika. Tanzania inausika sana ktk kuanzisha vita mashariki na magaribi mwa afrika,ipo siku watawala watapaswa kujibu!
 
Haina neno hiyo kama wanalipa ushuru.....Sisi marekani siyo walinzi wetu wa kutuzuia kufanya biashara.
Sisi ni nchi huru na tuna uwezo wa kua rafiki na nchi yeyote duniani kwa maslahi ya nchi yetu.

Mkuu taratibu, usijefananisha biashara ya uranium na mitumba, hayo maslahi ya TZ kwenye biashara ya uranium ni yapi?
 
Tunajadili uranium inayotoka Kongo tu, je hii inayopatikana hapa Tanzania tumejiuliza inakwenda wapi na kwa matumizi gani? Nchi yetu inafaidika vipi? Inakwenda Iran au marekani? Kwanini sisi tusijitahidi kuharness yetu itusaidie kutupatia nguvu nishati ya bei nafuu?

mkuu hii ni business trick ya kudangaynya dunia ili ya kwetu ikose soko.
 
uranium si wanasema wanaitumia kwa ajili ya uzalishaji wa umeme...? kama inapitishwa kwa nia nzuri sioni tatizo hapo..?
 
Kwani ni marufuku kusafirisha au kupitisha Uranium Tanzania? mnachekesha! hivi sasa tumeanza kuichimba au hamna habari?

Mijitu mingine bwana haina hata haya kwa kutokujuwa mambo.
 
Back
Top Bottom