mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,195
- 49,117
Na mimi nilikua namjibu mdau kwny hoja no. 50 kwny uzi huuMkuu, nilikuwa nikijibu kwa kunukuu hoja yako wewe nambari 235 kwenye uzi huu.
dodge
Na mimi nilikua namjibu mdau kwny hoja no. 50 kwny uzi huuMkuu, nilikuwa nikijibu kwa kunukuu hoja yako wewe nambari 235 kwenye uzi huu.
Angalieni Aljazeera muone waziri mkuu wa Iraq anaongea,kiongozi wa Hezbollah kishaongea.USA sasa inabidi wajitafakari.
Na mimi nilikua namjibu mdau kwny hoja no. 50 kwny uzi huu
dodge
Vita ni utayari wa mpiganaji from its heart ndio hutoa matokeo, mfano uchukue kundi la wakurya au wamasai 100 wapambane na wazaramu 150 wote wawe na siraha sawa si ajabu hao wengi wakashindwa.Mtu anayeitwa mwislam wa imani kali usimchukulie poa hata siku moja, hawanaga cha kupoteza wale, kwanza yy mwenywe ni silaha
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa jamaa huwa hawana akili. Wqmepigwa wanaanza lia lia tu kama wana uwezo wakajibuKutoka kwenye mada ya Iran-USA mpaka kuleta vimaneno vya Khanga inaonesha ni jinsi gani gari lako linavyozidi kuyumbayumba hovyo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna nchi raia hawapendi jeshi lao... Sijui Kama unaelewa .. Nchi takribani zote raia hupenda jeshi lao, hata hapo Sudan baada ya kupinduliwa rais raia walikuwa side to side na jeshi ... Kwahiyo usipime kupendwa jeshi na raisi ni vitu viwili tofauti..
Hua Nawaona Watu Waajabu Sana Kama Mnashindwa Kutoa Maoni Ama Mawazo Mpaka Kukashifia Ila Well Najua Vyema Kukaa Nawatu Kutokana na Namna Walivyo C Unajua Mazingira Tunayolelewa Tunalelewa Tofauti Kwan Maduro Wavenezuela Alitakiwa Kuondolewa Kisa MAISHA Ama Kisa Kaiba Kwenye Uchaguzi Ambayo Guaido Alijitangaza Raisi Nayeye Na Kutambuliwa Na Nchi Kibao Kama Rais Wa Venezuela Badala Ya MADURO Haya Ya Maisha Hamekuja Hv Karibuni Baada Ya VIKWAZO Vya US
Halaf sijasema kama vikwazo havi iathiri IRAN Ila Sio Kama Mnavyo Iaminisha Dunia
Nikakutolea Mfano Kama UTAWALA Uliopo Madarakani IRAN Unapendwa Sana Nawananchi Wake Kuliko Propaganda Mnazotulisha Hapa Ukitaka Kujua Hili Angalia Maziko Ya SOLEIMAN Kuagwa Tu Kaagwa Kishujaa Sanaaaaa Yaani Imeonesha Kwakiasi Gani JAMAA Anakubalika Nahuyo Nasikia Ndio No2 kwa ushawishi bada ya Ayatollah
Kama maandamano Hata France Waliandamana na Wana andamana Nayo Unayaongeleaje haya
Mwisho : hem tujenge kawaida yakuishambulia hoja sio mtoa hoja UWE na USIKU MWEMA KAKA MKUBWA.......
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa jamaa huwa hawana akili. Wqmepigwa wanaanza lia lia tu kama wana uwezo wakajibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Inflation rate mpaka mwaka Jana ilikuwa ni 37% .. Wewe Kama ulienda shule huo mfumuko wa bei kwa akili yako ni mzuri kwa nchi Kama ilani ... Unaongea maneno matupu huna hata tangiable evidence , ila sishangai ndio vijana wa Tanzania wapo wapo Kama walevi....
Yani wewe ugumu wa maisha unaupima kwa raisi kuwa madarakani na sio namba..Eti mbona hawamuondoi madarakani
Haya Venezuela Walipigwa Sanctions na US mwaka Jana inflation rate ikaenda mpaka 200,000% , najua ulikuwa hujui maana wewe ni kilaza ... Nchi ilipigwa njaa ... Raia wanaandamana nchi nzima ila mpaka Sasa hawajamuondoa madarakani ... Nikuulize Sasa wewe Je , kutokuondolewa madarakani kwa Maduro ni kwamba raia wanamkubali ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila lililo na mwanzo halikosi mwisho US waliwazunguka sana sio Iran pekee,mataifa mengi sasa majibu ya mizunguko yao inarudi.............''One day American state will gate a taste of it's own poison.(saddam Hussein).Wanataka kutumia njia za hekima, Sasa subiri walipe kisasi na waue wamarekani wengi uone kitakachotokea
Arabic-language Masa Press news website reported on Monday that the US forces have entered Yemen to cooperate with their Saudi counterparts to support the US trade cargos in Bab al-Mandab strait.
It added that the US forces were stationed in the city due to Washington's fear for Iran's retaliation for the assassination of General Soleimani.
Iran has vowed ‘hard revenge’ in ‘due time and right place’ over Washington’s act of terror.
Commander of the Islamic Revolution Guards Corps (IRGC) Aerospace Force Brigadier General Amir Ali Hajizadeh on Monday underlined that the Islamic Republic's reprisal after assassination of Lieutenant General Soleimani will not be limited to firing a dozen missiles.
“Martyr Soleimani’s revenge will not end by launching four missiles or targeting a US military base or even by killing Trump; I mean none of these have the same value as the blood of this martyr,” Brigadier General Hajizadeh told reporters on Monday before the start of the funeral ceremony of Lieutenant General Soleimani in Tehran.
He reiterated that attacking the US bases in the region cannot compensate the blood of the General Soleimani.
“The only thing that can compensate the blood of this martyr is the complete destruction of America in the region,” General Hajizadeh added.
The senior military commander’s remarks came as millions of Iranians had unprecedentedly gathered in Tehran to commemorate their General who was assassinated by US terrorist forces in Iraq on Friday morning.
In relevant remarks earlier on Monday, new Commander of the IRGC Qods Force Brigadier General Esmayeel Qaani underlined that the US should wait for Tehran's reprisal after assassination of Lieutenant General Qassem Soleimani.
“The revenge for Soleimani’s martyrdom is a promise given by God, as the God is the main avenger,” Brigadier General Qaani said, addressing the funeral procession of late General Soleimani.
Brigadier General Qaani said that “we promise to continue Martyr Soleimani’s path with the same strength and his martyrdom will be reciprocated in several steps by removing the US from the region”.
He underlined that the continuance of this movement is to reach the global governance of Imam Mahdi (May God Hasten His Reappearance).
Kila lililo na mwanzo halikosi mwisho US waliwazunguka sana sio Iran pekee,mataifa mengi sasa majibu ya mizunguko yao inarudi.............''One day American state will gate a taste of it's own poison.(saddam Hussein).
Urafiki wa Israel na USA ndo kinachompa kiburi mmarekani wala hakuna kingine, middle east yote hakuna anayekohoa kwa muisrael kwa namna yoyote ile
Hapa namaanisha kuwa hawa magaidi na vitimbi vyao US wanamkono mkubwa juu ya uwepo wao sasa wamewatumi weee ule wakati wa kupoteza ushahidi ukaanza maana mpaka wao madhara wameyapata.Tolea mfano taifa lipi ambalo mizunguko imerudi?.
Whidh poison?
Pia Ikumbukwe Yakwamba Khamenei Ndio Ana Mamlaka Makubwa Kuliko Hata Huyo Rais Wenye Unae Muongelea Hapa...Hakuna nchi raia hawapendi jeshi lao... Sijui Kama unaelewa .. Nchi takribani zote raia hupenda jeshi lao, hata hapo Sudan baada ya kupinduliwa rais raia walikuwa side to side na jeshi ... Kwahiyo usipime kupendwa jeshi na raisi ni vitu viwili tofauti..
Utitiri wa watu kwenye mazishi ya mwanajeshi na mapenzi Yao kwa rais ni vitu viwili tofauti...
Hayo mengine uliyosema sitaki kuongeza neno...
Sent using Jamii Forums mobile app





Watu Wamashariki Yakati Wawe Hawana Elimu Halafu Eti Wewe Uwe NayoHawa waarabu ni wapiga ramli tu. Hawana lolote. Hapa wanatoa ujumbe kua mwisho wa dunia sasa Umeshafika. Sasa ni muda wa wao kujiua na kuua waamerika eneo lao.
Wameshajiaminisha na kujiridhisha kua wakiishinda America kwenye hiyo region ndio mwisho ndipo imamu mahdi atawajia.
Asipokuja sijui watafanyaje? Hata kushinda, tu hawataweza.
Watu wa Middle East sikuzote wakitafuta uungwaji mkono, wanatumia mgongo Dini kwenye Harakati zao batili. Wanatumia mob psychology, kwasababu average ya watun wa Middle east hawajui kuhoji kwasababu moja wapo ya hawana shule.
Ukisoma historia ya Utumwa wa Mtu mweusi barani africa. Utagundua kipindi kile Waarabu walinazuiwa na wazungu kuendesha biashara ya Utumwa. Walijiapiza kufanya jihadi hivyo hivyo na walipambana hivyo hivyo wakidai ni sehemu ya dini yao. Hii Leo hawathubutu kuutetea Utumwa wakihofia public mockery.
Watu wa middle east, wanamajivuno sana kana kwamba Mungu kawapa wao special privileges over other races and other religions as well.
Lakini mwishowe ndio wao wanaopigwa zaidi kwasababu wanaenda wakifuata moyo wao, huku wame-sacrifice akili zao.
Hahaha eti Tactics wewe endelea kupanga Karate mwenzio anakudondoshea Missile moja kwa kutumia remoti akiwa kwenye sofa pale Pentagon mkononi akiwa kashika kikombe Cha kahawa.Nyie watu mnadhani hayo mavitu ndio anapigana tu? hivi mnajua marekani wasingekua na technolojia wangekua wa mwisho kijeshi duniani? Hivi wa Vietnam walikua na hayo madege mnayosema mbona marekani waliwaondoa. Kinachopigana ni tactics ,strategies ,lakini na reason to fight . Je wamarekani wana genuine reason to fight that gives the morale to the fighters. So msije kushangaa ikawa aibu kwa marekani