Mimi muslim haswaa na katika dini yetu kuna kitu kinaitwa Jihadi hapa mtu anajitoa kwaajili ya ALLAH(M/Mungu) na waja wenzake pia kwaminnajili ya kwamba wasidhurumike na pia yasipinginge maamrisho ya M/MUNGU........mfano kama sisi tulivyopigana vita ya KAGERA M/nyerere alituamasisha ili tusipoteze haki yetu watu tulijitoa kutetea vyetu vivohivyo mashariki ya kati wanajitoa kutetea vyao visidhurumike....hapo kwenye kutetea haki ndipo wanaitwa MAGAIDI.......
Kagera War has No match na Ugaidi. Ni kama mbingu na Ardhi.
Kagera War was fought by using common sense. Wakati ugaidi religion becomes a motivator.
Ugaidi ni Vita ya kueneza Dini na ku-subjugate wale wote wasioamini.
First, TERROR was created by the Arthur Himself.
Quran Anfal 8:12. I will cast TERROR into the hearts of those who disbelieved, so strike [them] upon the necks and strike from them every fingertip
Allah's Messenger (ﷺ) said, "I have been sent with the shortest expressions bearing the widest meanings, and I have been made VICTORIOUS WITH TERROR (cast in the hearts of the DISBELIEVE).
..Abu Huraira added: Allah's Messenger (ﷺ) has left the world and now you, people, ARE BRINGING OUT THOSE TREASURES.
ح
Reference : Sahih al-Bukhari 2977In-book reference : Book 56, Hadith 186USC-MSA web (English) reference : Vol. 4, Book 52, Hadith 220 (deprecated numbering scheme)
Ujumbe ume survived for 1400 years.
Na sasa umesema kweli. kuhusu Jihadi. Na Ndio madai hayohayo anayosema gaidi namba moja Osama Bin Laden mmoja wa viongozi wa AlQaeda,
khalifa wa Islamic States Al Baghdadi. Na aliyekua khalifa wa Boko Haram Abubakar Shekau.
nikizungumzia swala la Oman na saudia nilitaka utambue kua fitna zinawezza pelekea ndugu walioshibana wakaitilafiana kwa maslahi ya mfitinishaji leo hii US na saudia ni marafiki wakubwa na wanainyanyasa Oman hii ni Fitna ya US kwa maslahi yao.
Huo unaoita Undugu wa waarabu ni kisingizio tu cha wao kukataa Uwajibikaji wa matatizo ambayo wanayasababisha wenyewe , Na kuishia kumlaumu Mwamerika. Wakati hakuna anayewachagukia rafiki bali wao wenyewe.
Utaona pia. Wanaomlaumu Mwamerika. Wanajaribu kutuonyesha waarabu wamekosa akili na maarifa na ni sawa na watoto wanaorubuniwa kwa utoto wao. Kwahiyo waonewe huruma.
Na pia warabu wamelaaniwa, wakalaanika. Maana iweje Ndugu wanagombana kama sio laana ni kitu gani?
Vilevile Waarabu hawatendeani Haki. Na Haki ni tunda la Amani. Hawajui maana yake wanaamini katika ku bully on each other and exterminate the weak.
Ni inashangaza Dunia ya Leo, Waarabu ndio wanatafuta Urafiki na kuishi na hao wazungu infidels.
Huwekeza hata soka la Ulaya na Michezo mingine. Huwaalika hadi Mecca maeneo ambayo wanasema infidels hawaruhusiwi kukanyaga pale Saudia.
Kwanini hawawekezi kule Uarabuni michezo yao na bilidancing za kiarabu?. Jibu lipo wazi kabisa, ..In their nations, there's No Fun.
Na wale matajiri wamegundua wakiwa na hela wanaenda kula upepo Ulaya kwenye genuine prosperity.
Na wakirudi uarabuni wana inflict more painful way of life to their fellow arabs.
Na imegundulika raia wengi wa kiarabu pindi wanapoingia Ulaya, ndipo wanajifunza Upendo pale wanapochanganyika na watu wa nchi za Ulaya Magharibi. Na ndio maana kuna large growing number of Exmuslims.