Tatizo US inapigana vita na wewe nyumbani kwakoNyie watu mnadhani hayo mavitu ndio anapigana tu? hivi mnajua marekani wasingekua na technolojia wangekua wa mwisho kijeshi duniani? Hivi wa Vietnam walikua na hayo madege mnayosema mbona marekani waliwaondoa. Kinachopigana ni tactics ,strategies ,lakini na reason to fight . Je wamarekani wana genuine reason to fight that gives the morale to the fighters. So msije kushangaa ikawa aibu kwa marekani
Sent using Jamii Forums mobile app