Watery
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 2,729
- 3,498
Vita katika eneo la Mashariki ya Kati si ya kuiombea ama kuishabikia kwa vyovyote vile. Kwa sababu ina athari kubwa sana za kiuchumi, hasa kupitia ongezeko la bei ya mafuta duniani. Ukigusia USA na washirika wake ama Iran na washirika wake wakubwa ikiwemo Russia, fukuto lolote lile lenye kuendana na ulipaji wa visasi wenye kulenga kushambulia vitega uchumi utaligusa kabisa soko la mafuta.
Sent using Jamii Forums mobile app
Russia hawez kujiingiza kwenye vita inayohusisha marekan
Ataongea tu na hatofanya chochote
Marekan pia hvyohvyo japo atatumia siraha ya uchumi
Sent from my iPhone using JamiiForums
