Mbona mnaita watu kobazi na hakuna anayesema topic inabadilika...
We mwenyewe ndiye umeanzisha mada ya ukobazi, tatizo lenu akili finyu kwamba kila anayepinga Israel ni kobazi.. hili linanishangaza sana...
Usianze kujificha kwenye kichaka cha watu wa aina hio wapo Iran , nachozungumzia hapa ni serikali kutambua usenge.... Benjamin Netanyahu ana clip zake akiwasifu na kuwakaribisha Israel....
Kwenye biblia na kitabu chao cha dini ya uyahudi ipo wazi Mungu hapendezwi na hio dhambi, lakini wameamua kukaza fuvu na wanafanya gay parade, Tel Aviv ni paradiso ya mashoga.. wakija kwenye kuiba ardhi za wenzao utaona wanavyorejea biblia na taurati ili kuhalalisha ushenzi wao...
Lakini taurati hio hio inakataza ushoga hawataki kuelewa, ndio maana tunawaambia hao washenzi ni vibaka na wezi wakubwa wanaotumia hivyo vitabu kuhalalisha ushetani wao....
taifa la mungu la mchongo,
Hivi hio nchi mnayosema imebarikiwa na ipi? hio nchi taifa teule , taifa la mungu, wanaofanya uasi na dhambi kubwa hio ndipo mnaita taifa la mungu , hivi hata kwa IQ ya mbuzi tu mnashindwa kujitambua?
Ni bora uwe masikini wa mali kuliko kuwa masikini wa akili....
Hawa washenzi ndio mnawaombea wayahudi weusi usiku na mchana, mnaweka vibendera kwenye ofisi na makanisa ?😂 😂
Hilo taifa mungu analibariki vipi ikiwa ushenzi kama huo umekatazwa kwenye kitabu chao na wao wanafanya?
Ndio maana naamini hizi dini mliletewa kuvurugwa waafrika, kuwa brainwashed.... badilika...