100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 8,791
- 30,985
Israel maisha yana enda kama kawaida, uchumi unakua na wanakula bata, upande wa pili huo unaofadhiliwa na Iran, wapamestina wako miserable almost stone age, na hamas ndyo wanapenda hivo, hiyo situation kwao ni business
“Even when aid is delivered into Gaza, Hamas loots it for its own use, blatantly disregarding the needs of the population.”
Inashangaza taifa kupambana na kikundi cha mgambo, hawana air defense, hawana kifaru, hawana ndege wala silaha ya kueleweka, mwaka wa 3 hata kiatu cha mateka hawajakipata...
Siku ile siku ya kubadilishana mateka wametoka Hamas karibu 20,000 kushangilia ushindi ... kila siku IDF soldiers wanachinjwa... takwimu halisi ya askari waliokufa hadi sasa ni zaidi ya 10,000... injured ndipo usiseme...
Kwa sababu sote tunaielewa Israel huwa wanaficha sana madhara ya kivita na hasara waliopata... kwenye propaganda wanatumia 150 million usd...
Kwenye vita ya siku 12 walianza kutumia Police kuwakamata raia waliokuwa wanarekodi makombora ya Iran yanavyoshuka.... tulishuhudia kwa macho yetu wakiwafukuza waandishi wa habari kwenye maeneo yaliyopigwa na Iran...
Israel haina uwezo kupambana na Palestine wakiachwa wapambane, US asipoiwezesha fedha Israel, wasipopewa silaha wala intel, Israel haina uwezo kupambana na Hamas.. hilo sina shaka nalo.. Hamas wana commandos ambao Israel hawapo..
