Tetesi: Iran: Israel inajiandaa kutushambulia

Tetesi: Iran: Israel inajiandaa kutushambulia

sasa huoni aibu makobazi yote mnamchangia myahudi na anawapa kibano kila mmoja kwa muda wake kwanini kobazi msisitishe hili zoezi la kumfuta myahudi maana halifanikiwi zaidi mnabaki kulia inauawa wanawake na watoto na Allah mwenyewe hata hawasaidi mnabaki magofu

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Tuliza kisimi dogo
 
Middle east walifeli sana kimkakati ilipaswa oktoba 7 ilipotokea basi hapo hapo Hezollah, Iran, Houthi wangefanya ambush sio kumuacha mmoja mmoja ndio apigane mwenyewe. It was pure weakness.

Ila kongole kwa Iran kwenda toe to toe na Israel aliyekua supported directly na ndege na meli jeshi za USA, UK na France licha ya kuwa peke yake. Naamini akiomba support ya Russia, N.Korea na China tungekua tunaongea mengine kwa sasa
Haijalishi mikakati hakuna wa kuishinda kivita Israel hapo mashariki ya kati, in fact end time prophecies ipo wazi sana kuwa russia atayakusanya mataifaya kiislamu na mengine mengi tu kutaka kuifuta Israel na bado Israel itashinda.
 
Walipuuza kwa sababu Russia ilikuwa na historia ya kuiuza Syria kwa kuwapa secret codes za S300 kwa Israel, Israel nao wakawapa data link codes za drones ambazo kipindi hiko Georgia walikuwa wanazitumia kufanya reconnaissance kwenye ile vita ya 2008 kati ya Georgia na Russia...

Israel ilikuwa inaingia Syria na kushambulia inavyotaka, waliokwenda kurekebisha zile s300 za Syria ni hao hao Iran, baada ya kuzi restore zikaanza kufanya kazi kama kawaida...

Tokana na hii vita inayoendelea kati ya Russia na Ukraine nadhani Iran ilifikiri historia ingeweza kujirudia kwa maana Russia kuiuza Iran ili ipate siri flani kuhusu Ukraine...

Iran hawakukurupuka na nawasifu kwa hilo.. Russia ndio imeona aibu baada ya Iran kumpa tech ya shaheed drones wakati wa kipindi hiko kigumu cha vita yake na NATO.

Iran ilitoa indirect message kwamba "hatuwaamini.. lakini kuwasaidia tutawasaidia drones".. lakini naona wameyamaliza na Iran sasa ana S-400..
mbona sasa air defence systems hazikumsaidia dhidi ya kipigo cha israel hadi kufikia hatua ya kudanganya kutungua F35 tano?
 
Hawakufeli, Wayahudi wangeshambuliwa kwanza wangepata support kubwa ya kijeshi kutoka uingereza, ujerumani, Ufaransa,Japan etc. Wangejiportray kama victims na wangeweza kusababisha damage kubwa mno kwa Iran, Lebanon na Yemen.
Punguza mahaba we tumbili
 
Walipuuza kwa sababu Russia ilikuwa na historia ya kuiuza Syria kwa kuwapa secret codes za S300 kwa Israel, Israel nao wakawapa data link codes za drones ambazo kipindi hiko Georgia walikuwa wanazitumia kufanya reconnaissance kwenye ile vita ya 2008 kati ya Georgia na Russia...

Israel ilikuwa inaingia Syria na kushambulia inavyotaka, waliokwenda kurekebisha zile s300 za Syria ni hao hao Iran, baada ya kuzi restore zikaanza kufanya kazi kama kawaida...

Tokana na hii vita inayoendelea kati ya Russia na Ukraine nadhani Iran ilifikiri historia ingeweza kujirudia kwa maana Russia kuiuza Iran ili ipate siri flani kuhusu Ukraine...

Iran hawakukurupuka na nawasifu kwa hilo.. Russia ndio imeona aibu baada ya Iran kumpa tech ya shaheed drones wakati wa kipindi hiko kigumu cha vita yake na NATO.

Iran ilitoa indirect message kwamba "hatuwaamini.. lakini kuwasaidia tutawasaidia drones".. lakini naona wameyamaliza na Iran sasa ana S-400..
Yaan jamaa unasimulia utazan wewe ni moja wapo wa majenerali wa Iran
Kumbe mndendeule mmoja tu na kobaz zako pemben
 
Walipuuza kwa sababu Russia ilikuwa na historia ya kuiuza Syria kwa kuwapa secret codes za S300 kwa Israel, Israel nao wakawapa data link codes za drones ambazo kipindi hiko Georgia walikuwa wanazitumia kufanya reconnaissance kwenye ile vita ya 2008 kati ya Georgia na Russia...

Israel ilikuwa inaingia Syria na kushambulia inavyotaka, waliokwenda kurekebisha zile s300 za Syria ni hao hao Iran, baada ya kuzi restore zikaanza kufanya kazi kama kawaida...

Tokana na hii vita inayoendelea kati ya Russia na Ukraine nadhani Iran ilifikiri historia ingeweza kujirudia kwa maana Russia kuiuza Iran ili ipate siri flani kuhusu Ukraine...

Iran hawakukurupuka na nawasifu kwa hilo.. Russia ndio imeona aibu baada ya Iran kumpa tech ya shaheed drones wakati wa kipindi hiko kigumu cha vita yake na NATO.

Iran ilitoa indirect message kwamba "hatuwaamini.. lakini kuwasaidia tutawasaidia drones".. lakini naona wameyamaliza na Iran sasa ana S-400..
Umenikumbusha kisanga cha Saddam Hussein wakati wa vita ya Ghuba kwa bahati mbaya hata Saddam alikuwa victim wa crafty Russian Military baada ya Rais Bush jr kumuomba mlevi Boris Yeltsin Rais wa Urusi wakati huo kwamba wawapatie jeshi la Merikani CODE za Iraq's integrated air defense systems, Boris Yeltsin akampatia Rais Bush jr secret codes za ADS zilizo nunuliwa na Saddam kutoka Urusi, kilicho fuata ni ADS zote za Iraq zikawa jammed kwa kutumia specialized air force bombers kutoka US Airforce baada ya kutekeleza operation hiyo, ndio baadae zikatumwa squadrons za jetfighters kushambulia jeshi la Saddam Hussein pamoja critical infrastructures za nchni Iraq!!

Nafikiri baada ya Iran kukumbuka tukio la Iraq ndio maana Iran ili-decline offer ya URUSI kunatokana na kusalitiwa na Urusi during Gulf WAR.
 
Hawakufeli, Wayahudi wangeshambuliwa kwanza wangepata support kubwa ya kijeshi kutoka uingereza, ujerumani, Ufaransa,Japan etc. Wangejiportray kama victims na wangeweza kusababisha damage kubwa mno kwa Iran, Lebanon na Yemen.
Sio rahisi hivyo mkuu kwa UK, Germany, France na Japan waingie mzima mzima kumuunga mkono Israel.
Maana vita ingegeuka ya kikanda na mind you Israel angewekwa mtu kati,maana ingegeuka ya kikanda na ya kidini.
 
Kosa la Israel ni anataka precision hivyo hutumia sana ndege. Iran yeye anayarusha tu litapotua si jukumu lake. Ila Israel naye akitaka alipize anaweza ifanya Iran iwe Gaza
Israel kufanya Iran iwe Gaza labda kwa kutumia nuclear bombs,ila sio kwa missiles Wala kwa ndege hapo unatudanganya.
Na tena hapo hata hiyo vita ya siku 12 alifanya sabotage kwenye ADS za Iran ndio akaweza kuleta ndege.Ila asingefanya sabotage kwenye ADS za Iran basi asingeweza kufanya kama alivyofanya October mwaka jana. Shambulizi lingezuiliwa kama la mwaka jana.
Israel alitamani sana kuichakaza Iran kama Gaza ila alishindwa na huo ndio ukweli Bavar-373 chache zilizobaki zilipambana sana ku contain mashambulizi.
Na pia Israel hana missile power kama ya Iran.
Angethubutu aende msobe msobe kwa kurushiana makombora na Iran Sako to bako angechakaa mapema sana.
 
Ndio nasema iliapaswa wote wavamie kwa offensive moja yaani ile Hamas inavamia basi hapo hapo houthi irushe missiles na kublock meli za marekani, same time Iran ingeshusha makombora ikiwa supported na ground forces za Irann huko Syria.

At least attack ingekua na uzito wake kama malengo yao yalikua kutaka Palestine wapewe fair treatment

Makobazi hatuwezi. Iran yenyewe ipo hoi kwa sasa... Ilishambuliwa vibaya kimkakati sana. Tukaishia tu kulipua walipo raia. Israel wanaingia Iran kama msalani na kuchafua kila kitu wanarudi kwao kwenda kula chapati na maziwa. Wamepiga vinu vya nyuklia na kuua makamanda na wanasayans wengi. Sisi makobazi hatuna ushirikiano.
 
Japo sipingani na wewe kuhusu kichapo ilichotoa Iran kwa Israel, lakini napingana na wewe katika hili swala la tetesi za Israel kuishambulia Iran.

Kiufupi hilo shambulio haliwezi kufanyika kwa sasa, unless kama ule msemo wa sikio la kufa halisikii dawa uwe unataka kujidhihirisha kupitia kwa Israel.

Netanyahu na Trump wake wanafahamu madhara makubwa waliyoyapata mwezi mmoja tu uliyopita ambapo mpaka sasa hasara yake haihesabiki. Hivyo hawatokuwa tayari kuingia katika hasara nyingine ambayo pengine safari hii inaweza kugharimu maisha ya Shetaninyahu (Netanyahu) mwenyewe.

Hapo alipo anatembea na sumu mwilini inayosemekana aliwekewa kwenye chakula na watu wenye akili kumshinda yeye na genge lake. Sasa hilo halijaisha unafikiri ataanzisha kingine?

Kinachofanyika kwa sasa ni kuanzisha taarifa hizi za taharuki, ili kujaribu kuhamisha upepo wa maandamano yanayofanyika nchini kwake, ambapo waisrael wenyewe wameshamchoka kutokana na kupenda kutumia vita kama kichaka cha kuficha ufisadi wake, na ushetani wake.

Lakini kwa Israel hii ya sasa kuishambulia Iran tena, sahau mkuu. Hakuna mtu alietegemea kile kilichotokea kwanza kingetokea. Hivyo washajifunza.
Makobazi hatuwezi. Iran yenyewe ipo hoi kwa sasa... Ilishambuliwa vibaya kimkakati sana. Tukaishia tu kulipua walipo raia. Israel wanaingia Iran kama msalani na kuchafua kila kitu wanarudi kwao kwenda kula chapati na maziwa. Wamepiga vinu vya nyuklia na kuua makamanda na wanasayans wengi. Sisi makobazi hatuna ushirikiano.
 
Rising lion iligeuka downing lion japo aliishambulia iran kwa kushitukiza,ila kwa kilichowakuta hawawezi kuanzisha mchezo tena


Makobazi hatuwezi waisrael sisi ni maneno tu na kulia lia. Iran yenyewe ipo hoi kwa sasa... Ilishambuliwa vibaya kimkakati sana. Tukaishia tu kulipua walipo raia. Israel wanaingia Iran kama msalani na kuchafua kila kitu wanarudi kwao kwenda kula chapati na maziwa. Wamepiga vinu vya nyuklia na kuua makamanda na wanasayans wengi. Sisi makobazi hatuna ushirikiano.
 
Hapana Israel alikuwa supported na USA, UK, France, Germany, Saudia, Jordan n.k zote hizo zilishambulia targets za Iran, hezbollah, Hamas na Houthi n.k

Mind you hapo nchi ni Iran pekee hivyo vingine ni vikundi tu havizidi hata watu elfu 10!!

Imagine sasa Iran angekua na support ya Russia na China au N.Korea!! Unadhani nini kingetokea?

BTW hii sio vita ya kidini ndio maana hta Saudia na Jordan zilisaidiq Israel
Mzee unalazimisha ionekane Israel alisaidiwa
 
Japo sipingani na wewe kuhusu kichapo ilichotoa Iran kwa Israel, lakini napingana na wewe katika hili swala la tetesi za Israel kuishambulia Iran.

Kiufupi hilo shambulio haliwezi kufanyika kwa sasa, unless kama ule msemo wa sikio la kufa halisikii dawa uwe unataka kujidhihirisha kupitia kwa Israel.

Netanyahu na Trump wake wanafahamu madhara makubwa waliyoyapata mwezi mmoja tu uliyopita ambapo mpaka sasa hasara yake haihesabiki. Hivyo hawatokuwa tayari kuingia katika hasara nyingine ambayo pengine safari hii inaweza kugharimu maisha ya Shetaninyahu (Netanyahu) mwenyewe.

Hapo alipo anatembea na sumu mwilini inayosemekana aliwekewa kwenye chakula na watu wenye akili kumshinda yeye na genge lake. Sasa hilo halijaisha unafikiri ataanzisha kingine?

Kinachofanyika kwa sasa ni kuanzisha taarifa hizi za taharuki, ili kujaribu kuhamisha upepo wa maandamano yanayofanyika nchini kwake, ambapo waisrael wenyewe wameshamchoka kutokana na kupenda kutumia vita kama kichaka cha kuficha ufisadi wake, na ushetani wake.

Lakini kwa Israel hii ya sasa kuishambulia Iran tena, sahau mkuu. Hakuna mtu alietegemea kile kilichotokea kwanza kingetokea. Hivyo washajifunza.
Vita ni mkakati sio kujipigia tu popote ndio maana Iran alirusha makombora mengi bila data...ndio maana mpaka Leo kaishia kupiga majumba,lakini Israel alikuwa na mkakati kwamba Wanataka kuua viongozi tu ndio maana ile vita imeua viongozi wengi wa jeshi na wanasayansi kwa sababu ndio lengo lao...ilifika sehemu walitaka hadi kumuua ayatollah marekani akawakataza....iran yenyewe inakili wameuliwa watu zaidi ya 800 achilia mbali viongozi....ukija israel kwa jinsi walivyozungukwa na maadui pande zote inasababisha nchi nzima kuwa na shelter nyingi chini ya ardhi....98% ya waisrael walikuwa chini kipindi cha vita.....nakukumbusha tu vita ni plan ndio maana hujasikia israel karusha ballistic missile kwenda Iran sio kama Hana anayo shehena ya kutosha kwa sababu ana plan yake ndio maana alikuwa anatumia kurusha mabom kutoka kwenye ndege....
 
Maskini Ayatollah Israel mtoa roho wanamsaka. awamu hii nasilia myahudi kaapa Iran haitajua kapigwa na nini, toka wapi, muda gani na itakuwa ni pigo takatifu la laser weapon from space, yaani ni moto toka angani, au itakuwa kama ile walichoma hkikopta ya Rais wa Iran n kumuua bila hata mtu yeyote kujua..!! Laser Weapon hatari sana sana from space
 
Maskini Ayatollah Israel mtoa roho wanamsaka. awamu hii nasikia myahudi kaapa Iran haitajua kapigwa na nini, toka wapi, muda gani na itakuwa ni pigo takatifu la laser weapon from space, yaani ni moto toka angani, au itakuwa kama ile walichoma hkikopta ya Rais wa Iran n kumuua bila hata mtu yeyote kujua..!! Laser Weapon hatari sana sana from space
 
Viongozi wa Kijeshi nchini Iran wamesema kuwa wanaona Israel ikijiandaa kuishambulia.
Iran imesema itahakikisha inalipiza kisasi mapema kuliko na ndani ya Msaa 48 Israel haitokuwepo.

Zaidi ya ndege 6 za kubeba mizigo za Kirusi zimetua katika Kambi kubwa ya kijeshi na kushusha silaha mbali mbali

Balozi za Uingeleza, Ujerumani na Uswisi zimefungwa
Iran wamesema ni vita vya mwisho/mustakabali, israel si walianzishe chapu tambo ziishe
 
Back
Top Bottom