Tetesi: Iran: Israel inajiandaa kutushambulia

Tetesi: Iran: Israel inajiandaa kutushambulia

Wewe kubali umeweka AI, sio kujifanya kuomba msamaha wa kinafiki...
Unaomba msamaha wa kinafiki baada ya kugundua umeweka AI.. sasa hutaki kukubali unajitia kuomba msamaha.. 😂 😂 😂 busted😂😂😂
RUBISH
 
Kinachoniuma ni jinsi ulivyo mjinga, yaani kakikundi ka wahuni wakiwa wanalewa pombe bar walikaa chini wakaona waende pale waanzishe taifa la mchongo kwa kurejea maandiko ya biblia na torati, taifa hilo waliite Israel...

Wamekitusi kitabu cha biblia na torati yao kwa kwenda kinyume na maandiko... eti mnaita wamebarikiwa...

Israel ipo pale kuiba mali za watu, kutambulisha ushoga na kuiba ardhi... wanatumia biblia na torati kama nyenzo za kisiasa....

Siku ukipata akili utakuja kunielewa...
Hakuna cha taifa la Mungu... ni matapeli.. na wamejua kucheza na akili zenu.. kipindi mkiwatukuza , wao wanaona ni wajinga na hamna akili...
You are 💯 % liability
 
Kinachoniuma ni jinsi ulivyo mjinga, yaani kakikundi ka wahuni wakiwa wanalewa pombe bar walikaa chini wakaona waende pale waanzishe taifa la mchongo kwa kurejea maandiko ya biblia na torati, taifa hilo waliite Israel...

Wamekitusi kitabu cha biblia na torati yao kwa kwenda kinyume na maandiko... eti mnaita wamebarikiwa...

Israel ipo pale kuiba mali za watu, kutambulisha ushoga na kuiba ardhi... wanatumia biblia na torati kama nyenzo za kisiasa....

Siku ukipata akili utakuja kunielewa...
Hakuna cha taifa la Mungu... ni matapeli.. na wamejua kucheza na akili zenu.. kipindi mkiwatukuza , wao wanaona ni wajinga na hamna akili...
Unajitesa sana na hiyo stupid antisemitism ya kuiga, Israel shall continue to screw them
 
Kama muddy alivyowatia ujinga mnamuita mtume wakati alikuwa mwizi mbakaji wa watoto....nieleze mtume gani aliwahi kuoa watoto?
Hakuna sehemu nimesema mimi ni muislamu, nilichosema hapa ni mafundisho tofauti yanayofundishwa kinyume na andiko kwenye biblia isemavyo kuihusu Israel ya sasa... halafu manyumbu kama wewe bado hamjielewi...

Yaani taifa lilianzisha na vibaka, wakalipa jina Israel, nyumbu wote wanaamini ni Israel ya kale...

Huu sio mdahalo wa dini... punguza ujinga.
 
Hakuna sehemu nimesema mimi ni muislamu, nilichosema hapa ni mafundisho tofauti yanayofundishwa kinyume na andiko kwenye biblia isemavyo kuihusu Israel ya sasa... halafu manyumbu kama wewe bado hamjielewi...

Yaani taifa lilianzisha na vibaka, wakalipa jina Israel, nyumbu wote wanaamini ni Israel ya kale...

Huu sio mdahalo wa dini... punguza ujinga.
Kwa nini unajitesa ki akili, kuhusu waisarel? Wether it is a real Israel or Fake inakuhusuje wewe mmatumbi wa Tz?
It is undeniable fact kuwa Israel ni far andvanced kwa nyanja zote kuliko neighbours wote wanaomzunguka, si mpango wa Mungu, lakini hawa watu wako gifted enormously
 
Kwa nini unajitesa ki akili, kuhusu waisarel? Wether it is a real Israel or Fake inakuhusuje wewe mmatumbi wa Tz?
It is undeniable fact kuwa Israel ni far andvanced kwa nyanja zote kuliko neighbours wote wanaomzunguka, si mpango wa Mungu, lakini hawa watu wako gifted enormously
Hawaifikii Iran iliyo kwenye vikwazo kwa karibu miaka 50 na bado wana technlogy ambayo Israel hawana..
 
Hakuna sehemu nimesema mimi ni muislamu, nilichosema hapa ni mafundisho tofauti yanayofundishwa kinyume na andiko kwenye biblia isemavyo kuihusu Israel ya sasa... halafu manyumbu kama wewe bado hamjielewi...

Yaani taifa lilianzisha na vibaka, wakalipa jina Israel, nyumbu wote wanaamini ni Israel ya kale...

Huu sio mdahalo wa dini... punguza ujinga.
Israel anamalizana na magaidi tena anatakiwa auwe wrote huko gaza
 
Ndio nasema iliapaswa wote wavamie kwa offensive moja yaani ile Hamas inavamia basi hapo hapo houthi irushe missiles na kublock meli za marekani, same time Iran ingeshusha makombora ikiwa supported na ground forces za Irann huko Syria.

At least attack ingekua na uzito wake kama malengo yao yalikua kutaka Palestine wapewe fair treatment
Yamkini Israel na USA nazo zingejibu kwa kishindo kikubwa zaidi.
 
Hali mbaya kuliko ipi mbona naona Gaza imebaki jangwa, hezbollah ni kma imekufa, Syria imepinduliwa na almanusura Ayatollah apinduliwe!!

Israel yenyewe ilishambulia kwa kushtukiza maana inajua ikipigana vita ya face to face anapotezwa siku hiyo hiyo maana ana ardhi ndogo kwa jeshi kama la Iran ni masaa tu lipo Tel Aviv n.k
Inasikitisha sana kuona bado somo la Russia dhidi ya Ukraine bado halijaeleweka.

Huwezi kuongea eti kirahisi tu Iran anaingia Tel Aviv. Unaona kuna utofauti mkubwa sana wa kiuwezo wa Iran dhidi ya Israel hadi useme Israel atapotea mapema sana?

Israel yupo strong, thats why hadi sasa taifa hilo bado lipo licha ya kuzungukwa na maadui kila pande. Unamunderstimate mtu anayedhaniwa kumiliki silaha za Nuclear takribani 90? Unamkweza mtu ambae Top Ranking Military Officers wanadondoshwa kama kuku nchini kwake?

Ndege za kivita za adui zinaingia na kutoka bila wasiwasi, watu wanaunda kiwanda cha drone hapo hapo nchini kwake.

Sometimes tuweke mapenzi pembeni aiseee.
 
Pale kweli wangemuweza Israel maana asingekuwa na uwezo wa kuwapiga wote, hapo hapo Syria naye angechukua Golan.
Kwa ufupi Israel angetumia Nukes kwa Iran na Yemen
Exactly, huenda Israel angereply kwa uzito zaidi.
 
Uchumi wa utapeli wa kwenye stocks... uchumi bandia... real economy wanayo hao wenye mafuta na gas... ndio sababu kuu ya US na Israel kuleta vita na hizo nchi, hizo nchi za kiarabu zenye mahusiano mazuri na Israel ni kwa shinikizo wapate amani ya kuishi, wasivurugwe na kuvamiwa kijeshi... wameamua ku sacrifice mali na mahusiano yao na wenzao ili kusudi wapate amani...

Israel haina tech yeyote ya kutisha nchi kama China, Singapore, Taiwan, South Korea, Japan n.k... wa kawaida sana...
Kingine umesahu hizo nchi ni za kidictator wafalme ili waendelee kupata mema yao bila kubighudhiwa imaging hizo nchi hata waua raia wao wenyewe watatetewa na kulindwa ili mradi tu wanalinda maslahi usa mfano saudia arabia ilimuua mwandishi jamali ghashugi usa ikamkingia kifua MBS
 
Kingine umesahu hizo nchi ni za kidictator wafalme ili waendelee kupata mema yao bila kubighudhiwa imaging hizo nchi hata waua raia wao wenyewe watatetewa na kulindwa ili mradi tu wanalinda maslahi usa mfano saudia arabia ilimuua mwandishi jamali ghashugi usa ikamkingia kifua MBS
Sahihi sana mkuu..
 
Israel yupo strong
Not really, ila back up ya USA ndio inaogopesha watu. Unadhani bila US kumsaidia Israel B2 bombers angewezaje kulipua vinu vya nuclear vya Iran?
Inasikitisha sana kuona bado somo la Russia dhidi ya Ukraine bado halijaeleweka.
Tofauti ni nini? Wote wamepora ardhi za wenzao ila cha ajabu Russia ni haramu ils Israel halali
 
Not really, ila back up ya USA ndio inaogopesha watu. Unadhani bila US kumsaidia Israel B2 bombers angewezaje kulipua vinu vya nuclear vya Iran?
Tofauti ni nini? Wote wamepora ardhi za wenzao ila cha ajabu Russia ni haramu ils Israel halali
Kwani mkuu Iran hana back up? Si ana washirika? Hakuna nchi inakosa washirika, hata US na ubabe wake bado ana washirika.

Tofauti ya Israel na Russia ni kubwa. Historia inaonesha muda mrefu sana eneo hilo ambapo sasa ipo Palestina palikuwa na taifa la Israel. Kihistoria taifa la Palestine halijawahi kuexist. Historia inaonesha hao jamaa wapelistina waliwekwa hapo kutokana na Uingereza kuachia eneo hilo. Eneo lote hilo hadi Gaza ni Israel toka kitambo sana. Hakujawahi kuwa na taifa la Palestina, hili taifa lilizuka tu miaka ya 1800 kama sikosei.

Russia alivamia Ukraine, eneo halali kabisa la Ukraine. Alivamia Crimea 2014 akaichukua. Crimea iliyo chini ya Ukraine, akaichukua kwa mabavu. Pia Russia anapambana na Ukraine ili kuzuia kujitanua kijeshi kwa NATO ila anatambua fika kuwa hilo eneo sio lake.
 
Kwani mkuu Iran hana back up? Si ana washirika? Hakuna nchi inakosa washirika, hata US na ubabe wake bado ana washirika.

Tofauti ya Israel na Russia ni kubwa. Historia inaonesha muda mrefu sana eneo hilo ambapo sasa ipo Palestina palikuwa na taifa la Israel. Kihistoria taifa la Palestine halijawahi kuexist. Historia inaonesha hao jamaa wapelistina waliwekwa hapo kutokana na Uingereza kuachia eneo hilo. Eneo lote hilo hadi Gaza ni Israel toka kitambo sana. Hakujawahi kuwa na taifa la Palestina, hili taifa lilizuka tu miaka ya 1800 kama sikosei.

Russia alivamia Ukraine, eneo halali kabisa la Ukraine. Alivamia Crimea 2014 akaichukua. Crimea iliyo chini ya Ukraine, akaichukua kwa mabavu. Pia Russia anapambana na Ukraine ili kuzuia kujitanua kijeshi kwa NATO ila anatambua fika kuwa hilo eneo sio lake.
Mkuu punguza uongo.
Duniani hakukuwahi kuwa na taifa linaloitwa Israel.
Palestina kama Palestina ilianza kutambulika tangu mwanzo mwa dola ya Urumi.
Urumi ilitawala pale middle east na ikaitawala Palestina ikiitwa kama Palestina.
Ali Seljuk sultanate inakuja kuwapora warumi Jerusalem Palestina ilikua inajulikana kama Palestina.
Hadi Ottoman inakuja kuanzishwa baada ya kuanguka Seljuk sultanate miaka ya 1200 huko Palestina bado ipo kama Palestina ikiitwa Palestina ikiwa chini ya utawala wa Ottoman.
Uingereza anakuja kuichukua Palestina kutoka mikono ya Ottoman 1918 Palestina ilikua na bendera na sarafu yake muda sana.
Usitake kutudanganya eti Palestina imeanza miaka ya 1800.
Sijui elimu zenu huwa mnasoma wapi ninyi majamaa za kubumba.
1946 wazayuni wanakuja Palestina walishika mabango yakinena "tupokeeni msitufanye kama Wajerumani". Mwenye nchi anaomba kupokewa!?
Nakusihi karejee elimu yako tena.

Ushirika wa Israel na USA sio sawa na wa Iran na Urusi.
USA na Israel wanasaidiana unconditionally,sio sawa na Iran na Urusi.
 
Middle east walifeli sana kimkakati ilipaswa oktoba 7 ilipotokea basi hapo hapo Hezollah, Iran, Houthi wangefanya ambush sio kumuacha mmoja mmoja ndio apigane mwenyewe. It was pure weakness.

Ila kongole kwa Iran kwenda toe to toe na Israel aliyekua supported directly na ndege na meli jeshi za USA, UK na France licha ya kuwa peke yake. Naamini akiomba support ya Russia, N.Korea na China tungekua tunaongea mengine kwa sasa
acha ujinga wewe Oct 07;2023 HEZBOULAH na HOUTH kwa pamoja waliingia vitani na wakapigika vizuri sana
 
Back
Top Bottom