Iran Ataishambulia Israel leo

Iran Ataishambulia Israel leo

Michezo ya kuficha silaha ya Houthis na Hezbollah wanajifunzia Iran..
Israel ameaibika sana..
Nilikuwa nawashangaa kuanza kushangilia hali ya kuwa Iran ilipigwa shambulizi la kushutukuza ilikuwa ni razima ajipange kwanza.
Sasa hivi mifumo walio kuwa wameilemaza kwa drone imerudi kazini ni mwendo wa kupopoa makombora na ndege zinazo jaribu kuikaribia anga ya Iran.
 
Iran ni kweli wamedungua F-35 mbili.
Mpaka sasa Israel imesha fanya wimbi la mashambulizi mara 2 yote yana zuiwa na kuferi,na mifumo ya ulinzi ya Iran ikiendelea kuwa na ufanisi namna hii basi Netanyau atajutia huu upuuzi alio uanzisha, sidhani kama Israel ilitegemea Iran kuweza kurejesha uwezo wa kujilinda kwa haraka namna hii.
Na Iran imesema shambulizi lililo fanywa ni mwanzo tu.
 
Mpaka sasa Israel imesha fanya wimbi la mashambulizi mara 2 yote yana zuiwa na kuferi,na mifumo ya ulinzi ya Iran ikiendelea kuwa na ufanisi namna hii basi Netanyau atajutia huu upuuzi alio uanzisha, sidhani kama Israel ilitegemea Iran kuweza kurejesha uwezo wa kujilinda kwa haraka namna hii.
Na Iran imesema shambulizi lililo fanywa ni mwanzo tu.
Acha kuota
 

Hio F35 ambayo mashoga walibisha Iran hakuangusha, msiwe mnawamini wa Israel huwa hawakubali kusema wamepigwa hahaha
 

Hio F35 ambayo mashoga walibisha Iran hakuangusha, msiwe mnawamini wa Israel huwa hawakubali kusema wamepigwa hahaha
Umepost nini hiyo?
 
Back
Top Bottom