Iran Ataishambulia Israel leo

Iran Ataishambulia Israel leo

Submarine za Iran zimeshambulia Israel kwa mara ya kwanza.

Rais wa Faransa lazima tukaitetee Israel hahaha wameisha changanyikiwa wacha waende tu. Watu ndio wajue Israel ni mfanyakazi tu wa Europe na USA anatumiwa kama vile Ukraine

France ataweza wapi ikiwa US kisha anza kuinua mikono juu anataka peace


View: https://youtube.com/shorts/gqUBcP-3jOg?si=7JqjTf_tJDsa38Dd
 
Hawa mapunga vipi, naona mwakilishi wa UN Israel akilalama kwamba Iran inapiga makazi ya watu badala ya kulenga kwenye kambi za jeshi, miundombinu ya jeshi😂😅

WATU SASA HIVI HAWACHAGUI KWA KUPIGA

Kuna sehemu nimesoma Waziri wa Ulinzi wa Israel anasema kuwa Iran imevuka mstari mwekundu!
Nikacheka kinoma, ina maana wao walitegemea hawatojibiwa.
Kuna watu wanajiona wana haki kuliko wengine hapa duniani, lakini Zionists ni kiboko.
 
Vitu vipo njiani kuelekea Israel labda katika saa moja tutanza kuona vikishuka hapo Tela Aviv
Wamerusha zile manati zao ambazo hudondoka njiani kabla ya kuifikia Israel tena?
 
Back
Top Bottom