Sinoni
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 7,043
- 12,527
Vita zote Israel hua anashinda, h pray for Israel imeanza lini
Makombora ya Iran yalitakiwa yawakute hawa ndugu zako.
Vita zote Israel hua anashinda, h pray for Israel imeanza lini
Hamas hajashindaVita zote Israel hua anashinda, h pray for Israel imeanza lini
Mnachapika huko muda huuSafari hii hampigani na vikundi vya kuokoteza, safari hii mmekutana na watu wanaojitambua!
Ajabu sasa, safari hii Mzayuni ndio ameanza kulalamika kuhusu kushambuliwa makazi ya raia wake, vilio vimeanza kusikika mtandaoni huko.
Dunia inaenda kasi sana.
Mnachapika huko muda huuHamas hajashinda
Hezbollah hajashinda
Houth haijashinda
Bado mtoto mdogo sana mpaka mjinyeee mwaka huuDuuuuh!
Vyuma vimepenya Tehran huko!!!
USA anaendelea kumbeba mtoto wake mpendwa!!!
Phuk yuH USA!
Kaa hapo hapo usitoke, kama umewahi kucheza kula mbakishie baba...basi hii ndio ile hatua tunasema Israel ameangusha kile kijiti.Bado mtoto mdogo sana mpaka mjinyeee mwaka huu
wewe s400 hazifanyi kazi muda huu
Si wanasema raia wamejificha ndani ya mahandaki..Israel wanasema Iran anashambulia raia, badala ya jeshi. Kumbe wanajeshi wapo kwenye mapango na wanaendelea na operesheni, huku vituo vya kijeshi wameweka katikati ya miji karibu na maeneo yanayoishi raia wa kawaida.
Wanategemea Iran atafanya nini?
View attachment 3367428
Tupo!!!Kobazi mbona kimya?
Wangejikita kwenye reforms tungekuwa mbaliHeading"Iran itashambulia Iran",mtakuja mfe kwa presha za mambo ya,"nje za nchi nyinyi",😅😂🤣
Huyu ndiye rai mwenyeweSi wanasema raia wamejificha ndani ya mahandaki..