Iramba ni nyumbani kwa Mawaziri watatu lakini inazidi kudorora!

Mwigulu ananunue upendo kwa Jk ? Unamjua vizuri Mwigulu na JK ni kama Ridhwani kikwete na JK , Mwigulu ni mtiifu kwa viongozi wake na jamii kwa ujumla

natamani mngeweza Kumfahamu Mwigulu nje ya siasa ni binadamu na nusu na kwanza ndio Waziri anaengoza kwa kupendwa na wabunge wenzie na System kwa sababu hanyanyui mabega na ni mwenye msaada kwa wenzie
Du!
 
Back
Top Bottom