Lyambalyetu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2021
- 263
- 239
- Thread starter
- #61
Ni miti manyazi na udongo SIO CEMENT. Wewe unaziona kwa barabarani mimi nimeingia ndani ayake hadi na kulala.Mkuu umechemsha zile ni nyumba za miti na siyo tembe(miti na nyasi), kwa hiyo hali ya maisha ya Singida na Manyara, Arusha na Kilimanjaro zinalingana mkuu?