Lyambalyetu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2021
- 265
- 240
Hii ni ajabu sana. Hivi majuzi eti Dkt Mwigulu aliamua kuzindua ujenzi wa barabara kutoka Sepuka hadi Ndago ili kuunganisha na Kizaga - pale junction ya barabara Kuu iendayo Magaharibi - Tabora na Shinyanga. Wakiwa katika uzinduzi huo Dkt Kitila akajinadi kuwa hawana tena siasa za majitaka kati yake na Mwigulu pale jimbo la Iramba na hivyo kuashiria kuwa Mwigulu arelax tu Jimbo la Iramba ni lake.
Kilichosemwa ni upuuzi mtupu - kwani Kitila na Mwigulu wake hawajijui kuwa hawapendwi tena na wananchi wanaendelea kuwaendekeza tu kwa sababu ya hofu ya kumwogopa Mwigulu. Mwigulu huyu amekwuwa akitisha sana watu eti ukitaka kugombea na kama unamfuata mamba kwenye kina kirefu.
Huyu Mwigulu hata watu wafe - kama ilivyotokea mwaka ule pale Ndago yeye anaona kipaumbele chake ni kupata tu madaraka ya ubunge. Mwigulu ni katili wa kutupa na uongozi amekuwa akipata kwa mbinu chafu chafu chafu chafu.
Huyu Kitila alijimaliza yeye mwenyewe kutokana na kutokuwa mtu wa msimamo. Huyu hafai kuwa kiongozi kwani kwake kuwageuka wafuasi wake kwa ajili ya maslahi binafsi ni kitu rahisi sana.
Kwa ujumla hawa watu wawili wanataka kujifanya siasa na uongozi kwa wananchi wa Iramba ni wao wawili tu. Mwigulu kafoka foka hapoo eti anaona kuna watu wameanza kuongelea mambo ya Uchaguzi. Hovyo kabisaa! Hata leo kanisani DOdoma - sehemu ya Ibada - Mwigulu kaonekana anaongelea mambo ya kampeni za Mwaka 2025. Yaani yote hiyo kutisha tisha watu tu.
Akiwa Iramba eti anasistiza anausuburi kwa hamu Uchaguzi wa 2025 na kuwalalamikia amabao wamweshaanza Kampeni. Yaani anazuia wenzake wakati yeye anajikampenia kuwa anasubiri kwa hamu Uchaguzi wa 2025 - hovyo kabisa.
Yaani wanasiasa wanadharau sana hadhira zinazowasikiliza ndiyo maana wanaropoka ropoka hovyo. Na mwaka 2025 Dkt, Mwigulu hupati ubunge wewe. NINAKUHAKIKISHIA. Humjui mama weweee!
Kilichosemwa ni upuuzi mtupu - kwani Kitila na Mwigulu wake hawajijui kuwa hawapendwi tena na wananchi wanaendelea kuwaendekeza tu kwa sababu ya hofu ya kumwogopa Mwigulu. Mwigulu huyu amekwuwa akitisha sana watu eti ukitaka kugombea na kama unamfuata mamba kwenye kina kirefu.
Huyu Mwigulu hata watu wafe - kama ilivyotokea mwaka ule pale Ndago yeye anaona kipaumbele chake ni kupata tu madaraka ya ubunge. Mwigulu ni katili wa kutupa na uongozi amekuwa akipata kwa mbinu chafu chafu chafu chafu.
Huyu Kitila alijimaliza yeye mwenyewe kutokana na kutokuwa mtu wa msimamo. Huyu hafai kuwa kiongozi kwani kwake kuwageuka wafuasi wake kwa ajili ya maslahi binafsi ni kitu rahisi sana.
Kwa ujumla hawa watu wawili wanataka kujifanya siasa na uongozi kwa wananchi wa Iramba ni wao wawili tu. Mwigulu kafoka foka hapoo eti anaona kuna watu wameanza kuongelea mambo ya Uchaguzi. Hovyo kabisaa! Hata leo kanisani DOdoma - sehemu ya Ibada - Mwigulu kaonekana anaongelea mambo ya kampeni za Mwaka 2025. Yaani yote hiyo kutisha tisha watu tu.
Akiwa Iramba eti anasistiza anausuburi kwa hamu Uchaguzi wa 2025 na kuwalalamikia amabao wamweshaanza Kampeni. Yaani anazuia wenzake wakati yeye anajikampenia kuwa anasubiri kwa hamu Uchaguzi wa 2025 - hovyo kabisa.
Yaani wanasiasa wanadharau sana hadhira zinazowasikiliza ndiyo maana wanaropoka ropoka hovyo. Na mwaka 2025 Dkt, Mwigulu hupati ubunge wewe. NINAKUHAKIKISHIA. Humjui mama weweee!