TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,893
- 11,290
... safari yake haijaishia hapo... its from choir master to mbunge to a boxer!!From choir master to an MP....WHAT A JOKE!!!!!!
... safari yake haijaishia hapo... its from choir master to mbunge to a boxer!!From choir master to an MP....WHAT A JOKE!!!!!!
From choir master to an MP....WHAT A JOKE!!!!!!
Sasa huyo komba kwa afya ipi amtandike vibao huyo mhariri... hebu mchangieni mumtandike yeye akaseme polisi... kumbukeni self defence kwa mwanaume ni honor/prestige
Anataka kukumbushia enzi zila za U-koplo ktk geshi wa wananchi...!!! nadha kitumbua chake kinatishiwa kuwekwa mchanga!
Mkuu naona unashindwa kutuletea taarifa za uhakika. Lakini taarifa nilizozipata sasa hivi kutoka kwa mdau mmoja aliyepo huko IPP ni kwamba Capt Komba aliingia kwenye ofisi za Gazeti la Sema Usikike akiwa amefura kwa hasira kutokana na habari zilizoandikwa kwenye toleo la leo lenye kichwa cha habari "MAHANGA, JOHN KOMBA WAPATA PIGO MAJIMBONI
* Wananchi wawashangaa kumtetea Edward Lowassa
*Wadai kumkingia kifua kashfa ya Richmond si sawa
*Wasema safari hii watewaengua majimbo yao.
* Wadai kuwa na wabunge wa aina hiyo ni fedheha kwao
Nani atapigwa dongo; IPP walikotoka au Komba waliye naye CCM?Komedi wameshapata script for the week teh heh heh!
Haki ya Mungu, mambo gani Tanzania. Hon. Ngalo, please frame kesi hapo ya uvamizi kazini loss na damage kibao!! Unajua huyu Komba ni mwimbaji mzuri tena wa taarabuuuu (mipasho) kwa hiyo anatimiza jadi?? !! Halafu si unajua alikuwa jeshini?? Hajui maswala ya taratibu za sheria, ni command tu!!! Hata ukimtizama machoni kwa haraka haraka ni mtu wa mipasho tuuu?? Hana credibility kabisa!!! Hata hao wananchi wanaochagua hawa wabunge kama si swala la njaa na umaskini ambao unalazimisha mtu kuuza uhuru wake wa kupiga kura sijui watu wa design ya mnenguaji mkata viuno Komba angepitia dirisha lipi hadi aukwae ubunge!!
Angekuwa na busara na akili timamu angefungua kesi mahakamani adai alichotaka na si kuvamia ofisi za watu. I hope hakumimina mitusi pale!! Maana amekaa kimipasho mipasho sana!!
Kwa hili nadauti............. hivi KOMBA kweli ni wewe yule yule aliyepeleka AMBULANCE pale Lituhi...??? AU KOMBA MWINGINE....?? hivi kweli ni wewe uliyesoma shule ya msingi NKAYA kule Lituhi au ulisoma shule yoyote kule MARA.....??? Hivi wewe KOMBA ni yule MMANDA ....wa Ruvuma au MKURYA wa MARA...??? ............HIVI kweli hukubeba silaha yoyote katika hiyo vurugu uliyoifanya.......???Wana JF saa moja lilopita hapa kwetu tumevamiwa na Kapteni Komba akitaka mhariri wa Sema Usikike ili amtandike vibaoo kasheshe inaendelea
wote aiseeNani atapigwa dongo; IPP walikotoka au Komba waliye naye CCM?