Rio Shabazz
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 1,334
- 2,169
Sina namna nzuri ya kuelezea lakini kwa kingereza ni SEXUAL TRANSMUTATION kitu kama hicho.
Kifupi mimi ni mtu niko horny 24/7 aisee!
Yaani ni motoooo!! Sijui ni tatizo au ni normal lakini nachojua ndio nilivo!
Wenda hata ningekuaga tajiri sema ndio hivo hiyo nguvu/Energy /Power ipo upande mwingine.
Nishawaihi kusikia watu wakisema mfano ukiweza ku redirect au kuibadili hii nguvu kwenda kwene biashara au masomo au vitu vya kujiendeleeza basi utafanikiwa sana Binafsi niliamini. Ngoja nikwambie kwanni.
Shule mi sikua mtu wa kusoma kifupi sikua naweza kusoma saa moja mmfululizo likaisha. Nikisoma nusu saa bas nishachoka na kupoteza interest.
(Aiseee😂😂😂😂hapa nilikua nawashangaa wanaosoma kuanzia saa 2usiku na kurudi saa8 usiku nilikua najiuliza wanasoma kinini sijui ila nachokumbuka wengine tumetoka sawa na GpA ya upper low😂😂😂)
Wapo wataosema hyo ni Attention deficit mental illness lakini siwalaumu nawaelewa pia.
Upande wa pili wakati nikishindwa kusoma zaidi ya saa moja Lakini nilikua naweza kuangalia na kupekua porn kuanzia saa3 usiku had saa 9 au saa kumi alfarjiri 😀CAN YOU IMAGINE HIYO ENERGY? masaa mangap hayo babuu.
Somaaaa hyooooo! Kuna energy kubwa sana huko kwene hiyo sector ninayo.
Wakati Nilishindwa kupaka rangi na kuweka tiles kwene kajumba kangu ila nilipanda ndege kwenda dar kwa ajili ya uzinzi ambao tulikua tunachat social media. budget 1.3M wakat budget ya kukarabat kajumba kangu iilikua kama 450k tu.
Hii investment hainilipi wanangu nawambia.
Asilimia kubwa la bundle natumia kuangalia hayo mambo yanayonifanya nakua horny. Ulimwengu wa xxx lets say budget ya bundle kwa mwezi ni kama 80k.Hapo lakini kiwanja changu hati ni 150k sijakikatia. Mambo ni mengi sana.
Ndipo nikaja kukutana na HIZI IDEA ZA KUHAMISHA ENERGY KUTOKA SECTOR MOJA YA MWILI HAD NYINGINE.
Vitu vilivyonimotivate mfano. Erick shigongo Aliwai sema “Right wanaume tungeweka nguvu tunazozitupia kwene mapenzi na ngono kwene biashara au kutafuta mafanikio wengi tungekua matajiri”
Sasa watalamu wa hivi vitu naombeni msaada. Uwe professional please maana kuna wale wakurahisisha.
Kifupi mimi ni mtu niko horny 24/7 aisee!
Yaani ni motoooo!! Sijui ni tatizo au ni normal lakini nachojua ndio nilivo!
Wenda hata ningekuaga tajiri sema ndio hivo hiyo nguvu/Energy /Power ipo upande mwingine.
Nishawaihi kusikia watu wakisema mfano ukiweza ku redirect au kuibadili hii nguvu kwenda kwene biashara au masomo au vitu vya kujiendeleeza basi utafanikiwa sana Binafsi niliamini. Ngoja nikwambie kwanni.
Shule mi sikua mtu wa kusoma kifupi sikua naweza kusoma saa moja mmfululizo likaisha. Nikisoma nusu saa bas nishachoka na kupoteza interest.
(Aiseee😂😂😂😂hapa nilikua nawashangaa wanaosoma kuanzia saa 2usiku na kurudi saa8 usiku nilikua najiuliza wanasoma kinini sijui ila nachokumbuka wengine tumetoka sawa na GpA ya upper low😂😂😂)
Wapo wataosema hyo ni Attention deficit mental illness lakini siwalaumu nawaelewa pia.
Upande wa pili wakati nikishindwa kusoma zaidi ya saa moja Lakini nilikua naweza kuangalia na kupekua porn kuanzia saa3 usiku had saa 9 au saa kumi alfarjiri 😀CAN YOU IMAGINE HIYO ENERGY? masaa mangap hayo babuu.
Somaaaa hyooooo! Kuna energy kubwa sana huko kwene hiyo sector ninayo.
Wakati Nilishindwa kupaka rangi na kuweka tiles kwene kajumba kangu ila nilipanda ndege kwenda dar kwa ajili ya uzinzi ambao tulikua tunachat social media. budget 1.3M wakat budget ya kukarabat kajumba kangu iilikua kama 450k tu.
Hii investment hainilipi wanangu nawambia.
Asilimia kubwa la bundle natumia kuangalia hayo mambo yanayonifanya nakua horny. Ulimwengu wa xxx lets say budget ya bundle kwa mwezi ni kama 80k.Hapo lakini kiwanja changu hati ni 150k sijakikatia. Mambo ni mengi sana.
Ndipo nikaja kukutana na HIZI IDEA ZA KUHAMISHA ENERGY KUTOKA SECTOR MOJA YA MWILI HAD NYINGINE.
Vitu vilivyonimotivate mfano. Erick shigongo Aliwai sema “Right wanaume tungeweka nguvu tunazozitupia kwene mapenzi na ngono kwene biashara au kutafuta mafanikio wengi tungekua matajiri”
Sasa watalamu wa hivi vitu naombeni msaada. Uwe professional please maana kuna wale wakurahisisha.