Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,275
- 31,404
Akishaiweka hapa inakuwa ya wote kwa kujadili......hata kama yeye hachangii..............Mwenye thread yake kaondoka mnaendelea kutengeneza story!!!
Akishaiweka hapa inakuwa ya wote kwa kujadili......hata kama yeye hachangii..............Mwenye thread yake kaondoka mnaendelea kutengeneza story!!!
waandishi nao sometime hawana dogo wanakushushia heshima yako hivihivi katika jamii.Tehe hapo ujue kaandikwa, yeye nani mpaka amkate mtu vibao? sheria si ipo? nchii hii bana
Sometime YES but kwa hili la KOMBA...........kwa kweli amejishushia heshima yeye mwenyewewaandishi nao sometime hawana dogo wanakushushia heshima yako hivihivi katika jamii.
Good question hahahahhhNani atapigwa dongo; IPP walikotoka au Komba waliye naye CCM?
Tehe hapo ujue kaandikwa, yeye nani mpaka amkate mtu vibao? sheria si ipo? nchii hii bana
Ha ha ha ha ha ha kweli huyu ni mzee wa mipasho.
John anapepeta
Na nyie IPP wekeni security, hakuna kuingia ofisini bila appointment hata kama ni mbunge!
..Teh! teh! huyo John Komba mbona hajatangza kumchapa makofi Mpoki wa ze komedi?? anapoweka li-mustachi lake utadhani brashi ya kupakia rangi...hakuna utamu kama kumchania shati mheshimiwa komba maana ni ze komedi proper
Ahahahahahahaaah!!!
John anapepeta
John anapepeta