IPP yavamiwa

M-bongo

JF-Expert Member
Feb 29, 2008
338
71
Wana JF saa moja lilopita hapa kwetu tumevamiwa na Kapteni Komba akitaka mhariri wa Sema Usikike ili amtandike vibaoo kasheshe inaendelea
 
Inasikitisha sana kuona hata wanene wetu hawaelewi maana ya uhuru wa vyombo vya habari!! Pole mhariri. Komba kama una hoja si ufungue kesi mahakamani ambako utadai na fidia? Sasa ukiruhusiwa kumtandika vibao naye akakushtaki kwa kosa la shambulio si utakuwa umejinunulia kesi ya kuchukua sheria mkononi? Dhibiti hasira yako japo kwa Dakika 7 ili uwezetoa maamuzi sahihi na upate haki yako.

By the way--- kesi hiyo inahusiana na siasa?
 
Tehe hapo ujue kaandikwa, yeye nani mpaka amkate mtu vibao? sheria si ipo? nchii hii bana
 
Wana Jf saa moja lilopita hapa kwetu tumevamiwa na kapteni komba akita muhariri wa sema usikike iliamtandike vibaoo kasheshe inaendelea

M-Bongo
Tupe habari vizuri ili tukuelewe. Umeandika kama mtu mwenye wasiwasi utadhani wewe ndo unayetafutwa na Komba:D!
 
Sasa huyo komba kwa afya ipi amtandike vibao huyo mhariri... hebu mchangieni mumtandike yeye akaseme polisi... kumbukeni self defence kwa mwanaume ni honor/prestige
 
Khaaaa! sasa wewe M-bongo sasa ndio umebongolewa au? mbona umezimika?!
 
Mkuu naona unashindwa kutuletea taarifa za uhakika. Lakini taarifa nilizozipata sasa hivi kutoka kwa mdau mmoja aliyepo huko IPP ni kwamba Capt Komba aliingia kwenye ofisi za Gazeti la Sema Usikike akiwa amefura kwa hasira kutokana na habari iliyoandikwa kwenye toleo la leo yenye kichwa cha habari "MAHANGA, JOHN KOMBA WAPATA PIGO MAJIMBONI

* Wananchi wawashangaa kumtetea Edward Lowassa
*Wadai kumkingia kifua kashfa ya Richmond si sawa
*Wasema safari hii watewaengua majimbo yao.
* Wadai kuwa na wabunge wa aina hiyo ni fedheha kwao

Ila nimeambiwa Capt Komba keshaondoka sasa na hali ni shwari. Hakuna taarifa zaidi iwapo walifanikiwa kuonana na huyo mhariri au la.
 
Mkuu naona unashindwa kutuletea taarifa za uhakika. Lakini taarifa nilizozipata sasa hivi kutoka kwa mdau mmoja aliyepo huko IPP ni kwamba Capt Komba aliingia kwenye ofisi za Gazeti la Sema Usikike akiwa amefura kwa hasira kutokana na habari zilizoandikwa kwenye toleo la leo lenye kichwa cha habari "MAHANGA, JOHN KOMBA WAPATA PIGO MAJIMBONI

* Wananchi wawashangaa kumtetea Edward Lowassa
*Wadai kumkingia kifua kashfa ya Richmond si sawa
*Wasema safari hii watewaengua majimbo yao.
* Wadai kuwa na wabunge wa aina hiyo ni fedheha kwao

Ila nimeambiwa Capt Komba keshaondoka sasa na hali ni shwari. Hakuna taarifa zaidi iwapo walifanikiwa kuonana na huyo mhariri au la.
Mkuu angalau umetupa mwanga. Nimekutwanga senksi!
 
hakuna utamu kama kumchania shati mheshimiwa komba maana ni ze komedi proper
 
Inasikitisha sana kuona hata wanene wetu hawaelewi maana ya uhuru wa vyombo vya habari!! Pole mhariri. Komba kama una hoja si ufungue kesi mahakamani ambako utadai na fidia? Sasa ukiruhusiwa kumtandika vibao naye akakushtaki kwa kosa la shambulio si utakuwa umejinunulia kesi ya kuchukua sheria mkononi? Dhibiti hasira yako japo kwa Dakika 7 ili uwezetoa maamuzi sahihi na upate haki yako.

By the way--- kesi hiyo inahusiana na siasa?


....Kwa John Komba?....hapo Umenena teh teh teh!:D
 
Back
Top Bottom