Intelligence Justice
JF-Expert Member
- Oct 23, 2020
- 3,039
- 3,486
MkuuUkiangalia hii taarifa unajiuliza kutaja asili ya kihindi lengo lake lilikuwa ni nini? si walishasema Mtanzania?
Je, kosa lake linahusiana na Asili yake? Why wataje Asili ya Mhusika? Utagundua. Ni Ubaguzi. Na tukatae kabisa Ubaguzi. Siku nyingine Watandika Mtanzania Mwenye Asili ya Tanga amehukumiwa kwa sababu ya Ushoga.
View attachment 1912658
Hilo ni gazeti la wakenya linasadifu tabia zaoa za kuchochea chuki na kushushiana hadhi