Ipo siku tutamkumbuka Rais Dkt. Magufuli tunayemdhihaki kila siku katika mitandao ya kijamii

Mungu ambariki lissu.

Ila taarifa za awali nilizopata zimeniuma sanaaaa, yani uchaguzi ni maigizo,matokeo yametengenezwa tayari.

Eee Mungu wewe wajua CHADEMA yangu ipo ktk namna gani mioyoni mwa watu
Mawakala waupinzani wamenyimwa barua inshort uchaguzi ni maigizo
 
  • Masikitiko
Reactions: BAK
JPM
UTASHINDA UCHAGUZI USIJARI MKUU WANGU WAPIGA KURA WAKO TUPO

HATA LISSU ANAFAA LAKINI WEWE UNAFAA ZAIDI
 
Kazi anazozifanya Rais Dr Magufuli kwa sasa ipo siku tutakuja kumkumbuka kwenye maisha yetu pamoja na dhihaka za kila siku ambazo inaandikwa ktk mitandao ya kijamii.

Rais Dr John Magufuli ameikuta nchi ina nyufa kubwa sana sasa Rais ameanza kujenga msingi wa nyumba hapo lazima wanaoishi ktk hiyo nyumba watalalamika tu watapigwa na mvua, jua, watalala njaa, nk lakini ipo siku watamkumbuka tu kwa anayoyafanya leo

IMG_20201028_002359.jpg
 
Lissu kuwa Rais wa Tanzania ni sawa na kusema Tanzania inabeba Kombe la Dunia 2022 (Qatar).

Ni kitu ambacho tunajua fika hakiwezekani
 
No body is all bad, or all good.
Raisi wa Sasa mpaka Sasa kafanya Mengi mazuri . Na Kama akipata mda zaidi ninaamini atatenda Mengi zaidi mazuri.

Ila swala Moja tukubali, tukiwa nchi ya kidemokrasia tunajiongoza wenyewe (majority rule). Kama tunakubali hivyo.

Tuache, kwa sababu ambazo Majority wanaziamini, wachague wakuwaongoza kipindi Cha Miaka mitano ijayo.

Haimaanishi Hawa watu hawakubaliani na mazuri aliyoyafanya.

Dhihaka za mitandaoni au nje ya mitandao kwa ninavyoamini ni njia tu za kisiasa zankumpunguzia Umaarufu (kukubalika),

Lakini yapo Mengi mazuri ambayo hata wapinzani wake wakuu wanayakubali Sana Tena wanatamani wampongeze. Labda tu hawakubali namna alivyoyafanya.
Ndio maana tuna vyama vingi kila Mmoja ananadi sera zake ya namna ataliongoza Taifa.

Kwa maana hiyo lazima tumkumbuke kwa mazuri aliyoyafanya na tutajifuza kwa alipokosea, maana yeye Ni mwanadamu kama sisi, hatupaswi kumuhukumu. Kama hatukubaliane nae. Tumchangie mwingine Kama tunakubaliana nae as well tunandelea nae.

The day is later today after all.
 
Kazi anazozifanya Rais Dr Magufuli kwa sasa ipo siku tutakuja kumkumbuka kwenye maisha yetu pamoja na dhihaka za kila siku ambazo inaandikwa ktk mitandao ya kijamii.

Rais Dr John Magufuli ameikuta nchi ina nyufa kubwa sana sasa Rais ameanza kujenga msingi wa nyumba hapo lazima wanaoishi ktk hiyo nyumba watalalamika tu watapigwa na mvua, jua, watalala njaa, nk lakini ipo siku watamkumbuka tu kwa anayoyafanya leo.
Kwangu Magufuli ni dikteta tu, hata hao madikteta hukumbukwa ingawa ni kwa mabaya.
 
Kwa nini mitandao ya kijamii imefungiwa?
No body is all bad, or all good.
Raisi wa Sasa mpaka Sasa kafanya Mengi mazuri . Na Kama akipata mda zaidi ninaamini atatenda Mengi zaidi mazuri.

Ila swala Moja tukubali, tukiwa nchi ya kidemokrasia tunajiongoza wenyewe (majority rule). Kama tunakubali hivyo.

Tuache, kwa sababu ambazo Majority wanaziamini, wachague wakuwaongoza kipindi Cha Miaka mitano ijayo.

Haimaanishi Hawa watu hawakubaliani na mazuri aliyoyafanya.

Dhihaka za mitandaoni au nje ya mitandao kwa ninavyoamini ni njia tu za kisiasa zankumpunguzia Umaarufu (kukubalika),

Lakini yapo Mengi mazuri ambayo hata wapinzani wake wakuu wanayakubali Sana Tena wanatamani wampongeze. Labda tu hawakubali namna alivyoyafanya.
Ndio maana tuna vyama vingi kila Mmoja ananadi sera zake ya namna ataliongoza Taifa.

Kwa maana hiyo lazima tumkumbuke kwa mazuri aliyoyafanya na tutajifuza kwa alipokosea, maana yeye Ni mwanadamu kama sisi, hatupaswi kumuhukumu. Kama hatukubaliane nae. Tumchangie mwingine Kama tunakubaliana nae as well tunandelea nae.

The day is later today after all.
 
Kila mtu ana sababu zake za kumpenda au kumkataa, mim binafsi nathamin uhai wa watu wengine kuliko kitu chochote kile, yawezekana wewe unathamini miundombinu kuliko kitu chochote kile na ndio maana unampenda kupita kiasi.Iweje mtu afe au apotee na usiunde tume kuchunguza ? kazi ya kodi zetu ni hiyo, kulinda raia na mali zao.
 
Kazi anazozifanya Rais Dr Magufuli kwa sasa ipo siku tutakuja kumkumbuka kwenye maisha yetu pamoja na dhihaka za kila siku ambazo inaandikwa ktk mitandao ya kijamii.

Rais Dr John Magufuli ameikuta nchi ina nyufa kubwa sana sasa Rais ameanza kujenga msingi wa nyumba hapo lazima wanaoishi ktk hiyo nyumba watalalamika tu watapigwa na mvua, jua, watalala njaa, nk lakini ipo siku watamkumbuka tu kwa anayoyafanya leo.
Hata wakoloni walijenga vitu vingi lakini walipingwa
 
Back
Top Bottom