Ipo siku tutamkumbuka Rais Dkt. Magufuli tunayemdhihaki kila siku katika mitandao ya kijamii

Kazi anazozifanya Rais Dr Magufuli kwa sasa ipo siku tutakuja kumkumbuka kwenye maisha yetu pamoja na dhihaka za kila siku ambazo inaandikwa ktk mitandao ya kijamii.

Rais Dr John Magufuli ameikuta nchi ina nyufa kubwa sana sasa Rais ameanza kujenga msingi wa nyumba hapo lazima wanaoishi ktk hiyo nyumba watalalamika tu watapigwa na mvua, jua, watalala njaa, nk lakini ipo siku watamkumbuka tu kwa anayoyafanya leo.
Sasa mkuu kama kulikuwa na nyufa kila kona kwann tuliendelea kuamini serikali ya ccm iliyoeka misingi ya izo nyufa???
 
Kagera walipata tetemeko la ardhi zaidi ya raia 30 walipoteza maisha na wahanga wengine wakawa hawana mahala pa kuishi, akawambia kwamba yeye hakuleta tetemeko, ajabu nyumba za askali arusha ziliungua kwa moto faster akatoa pesa za kujenga nyumba nyingine za askali, kweli hatuwezi kusahau kiongozi mbaguzi.
Au kavunjia nyumba wakazi wa kimara hadi kibaha lkn mwanza akasema wasibomolewe kwakuwa ndio walimpa urais unadhani huyo tunaweza kumsahau?
Kiongozi mbaguzi lazima akumbukwe sana!
 
Kazi anazozifanya Rais Dr Magufuli kwa sasa ipo siku tutakuja kumkumbuka kwenye maisha yetu pamoja na dhihaka za kila siku ambazo inaandikwa ktk mitandao ya kijamii.

Rais Dr John Magufuli ameikuta nchi ina nyufa kubwa sana sasa Rais ameanza kujenga msingi wa nyumba hapo lazima wanaoishi ktk hiyo nyumba watalalamika tu watapigwa na mvua, jua, watalala njaa, nk lakini ipo siku watamkumbuka tu kwa anayoyafanya leo.
Umesema kitu kikubwa sana
 
Kazi anazozifanya Rais Dr Magufuli kwa sasa ipo siku tutakuja kumkumbuka kwenye maisha yetu pamoja na dhihaka za kila siku ambazo inaandikwa ktk mitandao ya kijamii.

Rais Dr John Magufuli ameikuta nchi ina nyufa kubwa sana sasa Rais ameanza kujenga msingi wa nyumba hapo lazima wanaoishi ktk hiyo nyumba watalalamika tu watapigwa na mvua, jua, watalala njaa, nk lakini ipo siku watamkumbuka tu kwa anayoyafanya leo.
Sitamsagau kwa kutufungia mitandao leo ili tusiwasiliane
 
Kazi anazozifanya Rais Dr Magufuli kwa sasa ipo siku tutakuja kumkumbuka kwenye maisha yetu pamoja na dhihaka za kila siku ambazo inaandikwa ktk mitandao ya kijamii.

Rais Dr John Magufuli ameikuta nchi ina nyufa kubwa sana sasa Rais ameanza kujenga msingi wa nyumba hapo lazima wanaoishi ktk hiyo nyumba watalalamika tu watapigwa na mvua, jua, watalala njaa, nk lakini ipo siku watamkumbuka tu kwa anayoyafanya leo.
Hizo nyufa so zilisababishwa na CCM? Basi acha waongoze wengine. Au mwingine kutoka CCM ambaye atajali haki, uhuru na amani. Hivi vitu vimetoweka naumia sana. Tumefikia mahali pa kutembeza vifaru na silaha kali kuwatisha unaowaita wananchi? Nawaza sana.
 
Kazi anazozifanya Rais Dr Magufuli kwa sasa ipo siku tutakuja kumkumbuka kwenye maisha yetu pamoja na dhihaka za kila siku ambazo inaandikwa ktk mitandao ya kijamii.

Rais Dr John Magufuli ameikuta nchi ina nyufa kubwa sana sasa Rais ameanza kujenga msingi wa nyumba hapo lazima wanaoishi ktk hiyo nyumba watalalamika tu watapigwa na mvua, jua, watalala njaa, nk lakini ipo siku watamkumbuka tu kwa anayoyafanya leo.
Umbwwa wewe

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Kwa aliyoyatenda lazima tumkumb ke. Raisi mkatili huwezi kuacha kumkumbuka kwa ukatili wake.
Ukatili ukatili ukatili uliokithiri. Yaani ukatili na roho mbaya. Huwa najiuliza chuki kubwa Kazkazini hasa wachagga walimkosea nini? Anatugawa waziwazi watanzania hatukazoea mgawanyo. Mwal Nywrere ikimpendeza Mungu akufufue uyaone.
 
Wewe ni mtu wa hovyo sana! Kama ilivyojinsia yako ndivyo kwa ukanda ulikotokea kwani hukuomba kuzaliwa kanda flani kama ulivyojikuta ni me/ke.iweje tubaguane kwa ukanda kisa siasa?.mbegu mnayoipanda naomba Mungu isiote, siasa za kujipendekeza zimeota mapembe.

Ubaguzi haufai kabisa
 
Atakumbukwa kwa mengi sana;
1. Kuminya demokrasia na kuzuia mikutano ya vyama pinzani.
2. Kufukuza watumishi wa umma wenye vyeti huku akimuacha Bashite anapeta.
3. Kudororesha uchumi wa nchi.
4. Watu kauwawa/kupotea na wengine kupigwa risasi hovyo hovyo.
5. Bomoa bomoa ya nyumba za wanyonge ilhali wengine wakiachwa kwa sababu walimpigia kura.
6. Kushindwa kuongeza mishahara na kupandisha madaraja watumishi wa umma kwa muda usiojulikana.
7. Ya Angela Kairuki, Ummy Mwalimu, Mnyarwanda na mdogo wake first lady.
8. Mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu.
9. Hotuba zilizojaa chuki, visasi, mikwara na ubabe wa kizamani.
10. Elimu ya PhD isiyoeleweka wala kutambulika.
11. Na mengine mengi ya ajabu ajabu.
Nikisoma haya moyo wangu unavuja damu
 
Mungu ambariki lissu.

Ila taarifa za awali nilizopata zimeniuma sanaaaa, yani uchaguzi ni maigizo,matokeo yametengenezwa tayari.

Eee Mungu wewe wajua CHADEMA yangu ipo ktk namna gani mioyoni mwa watu
 
Mungu ambariki lissu.

Ila taarifa za awali nilizopata zimeniuma sanaaaa, yani uchaguzi ni maigizo,matokeo yametengenezwa tayari.

Eee Mungu wewe wajua CHADEMA yangu ipo ktk namna gani mioyoni mwa watu

Wewe ndio muigizaji mkuu. Umetangaza wewe matokeo?
 
Back
Top Bottom