Hahaha mama debore umenichekesha aseee🤣🤣🤣We kaka nijibu jaman, nina haraka nimpe majibu mazuri mume wangu.
Hahaha mama debore umenichekesha aseee🤣🤣🤣We kaka nijibu jaman, nina haraka nimpe majibu mazuri mume wangu.
Huko hamna Techno,techno mwisho kariakoo au tafuta mtu anayeenda Nairobi akuletee hahah.Eti kaka, nikitaka kuagiza TECNO CAMON 11 Pro kupitia kwako/nje whatever itani cost shingapi??
Je kwa ushauri wako ni bora nichukue hapa bongo kuliko kuagiza???
Hiyo ni kwa mwaka jana, mwaka huu makampuni yamesha launch simu zenye kamera kali. i.e: Samsung galaxy S10, Mi 9, etc. Tunasubiri tuone flagship za Huawei.Mi sio mshabiki wa huawei ila P20 Pro haina mpambe kabisa!
Kwa Camera still P20 pro anakimbiza kwa lifelike images, nmeangalia comparison against s10+Hiyo ni kwa mwaka jana, mwaka huu makampuni yamesha launch simu zenye kamera kali. i.e: Samsung galaxy S10, Mi 9, etc. Tunasubiri tuone flagship za Huawei.
View attachment 1032439View attachment 1032441View attachment 1032442View attachment 1032446
Hii bei ya hii p20 kibongo inachezea sh. Ngapi mkuu?Kwa Camera still P20 pro anakimbiza kwa lifelike images, nmeangalia comparison against s10+
😂😂
Nadhani kwa bei inakaribiana na yale ma Iphone X ila kifupi ni 1M+Hii bei ya hii p20 kibongo inachezea sh. Ngapi mkuu?
Bei imechangamka hio.Nadhani kwa bei inakaribiana na yale ma Iphone X ila kifupi ni 1M+
Ina bei gani hii simu jamaniAchana na Tecno. Mwambie akuagizie Redmi Note 6 Pro, hakika hautojutia pesa yakoView attachment 1032379
$180
Hatimae MTEMI NA NGULU wa CAMERA kali amerudi tena na si mwingine bali ni NOKIA 9 PUREVIEW yenye 5 penta-lenes camera huku ikiwa ni simu ya kwanza duniani inayokusanya image kwenye camera moja.....kwa upande wa low light inakusanya mwanga mara 10 zaidi ya simu nyingine dunianiKwa Camera still P20 pro anakimbiza kwa lifelike images, nmeangalia comparison against s10+
Hatimae MTEMI NA NGULU wa CAMERA kali amerudi tena na si mwingine bali ni NOKIA 9 PUREVIEW yenye 5 penta-lenes camera huku ikiwa ni simu ya kwanza duniani inayokusanya image kwenye camera moja.....kwa upande wa low light inakusanya mwanga mara 10 zaidi ya simu nyingine dunianiView attachment 1032732
Boss hivi k5 pro kaipita note 6 pro kwenye nyanja gani japo naona k5 pro ina muonekano wa kizamani.
Boss hivi k5 pro kaipita note 6 pro kwenye nyanja gani japo naona k5 pro ina muonekano wa kizamani.
Hatimae MTEMI NA NGULU wa CAMERA kali amerudi tena na si mwingine bali ni NOKIA 9 PUREVIEW yenye 5 penta-lenes camera huku ikiwa ni simu ya kwanza duniani inayokusanya image kwenye camera moja.....kwa upande wa low light inakusanya mwanga mara 10 zaidi ya simu nyingine dunianiView attachment 1032732
Makampuni ya simu yanashindana kwa kubuni camera zenye uwezo mkubwa kila siku, lakini wakati mwingine kila simu ina uzuri na ubaya kwa namna yake,
Kwa wajuzi wabobezi wa mambo ya simu, mje na majibu ni simu ipi kwa sasa sokoni inaongiza kwa camera kali za mbele na nyuma, angalau 3 za juu.
I love u